Tuesday, November 30, 2021

Messi hakustaili tuzo ya Ballon d’Or – Toni Kroos, Iker Casillas

Kiungo wa Real Madrid, Toni Kroos na Iker Casillas wameongoza kwa kukosoa maamuzi yaliyofanywa mpaka kumpatia tuzo ya Ballon d’Or, Lionel Messi wakisema hadharani bila kupepesa macho kuwa hakustahili. Mastaa hao wa soka wamedai kuwa licha ya ubora aliyokuwa nao Messi lakini Robert Lewandowski alistahili zaidi kutokana na uwezo mkubwa aliyoweza kuuonyesha . Mchezaji huyo …

The post Messi hakustaili tuzo ya Ballon d’Or – Toni Kroos, Iker Casillas appeared first on Bongo5.com.

China: Tazama mfungwa wa Korea Kaskazini alivyoruka nyaya za umeme na kutoroka jela

Zhu Xianjian alionekana akipita juu ya nyaya za umeme za jela hiyo na kutoka katika jela hiyo yenye ulinzi wa hali ya juu

Messi akustahili tuzo ya Ballon d’Or – Toni Kroos, Iker Casillas

Kiungo wa Real Madrid, Toni Kroos na Iker Casillas wameongoza kwa kukosoa maamuzi yaliyofanywa mpaka kumpatia tuzo ya Ballon d’Or, Lionel Messi wakisema hadharani bila kupepesa macho kuwa hakustahili. Mastaa hao wa soka wamedai kuwa licha ya ubora aliyokuwa nao Messi lakini Robert Lewandowski alistahili zaidi kutokana na uwezo mkubwa aliyoweza kuuonyesha . Mchezaji huyo …

The post Messi akustahili tuzo ya Ballon d’Or – Toni Kroos, Iker Casillas appeared first on Bongo5.com.

Sehemu ya mahojiano ya Wakili wa Sabaya, Mosses Mahuna na Sahidi wa 10

Kesi ya uhujumu uchumi Na 27/2021 inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya, Lengai Ole Sabaya na wenzake sita inaendelea katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha. Shahidi namba 10, ambaye ndiyr muathirika katika tukio hilo Francis Mrosso anendelea na kutoa ushahifi wake. Bongo5.com inakusogeza kuona namna Wakili wa mshtakiwa namba moja(Lengai Ole Sabaya) Wakili Msomi Mosses Mahuna  …

The post Sehemu ya mahojiano ya Wakili wa Sabaya, Mosses Mahuna na Sahidi wa 10 appeared first on Bongo5.com.

Yanga Yaiandalia Dozi Mbeya Kwanza

LEO Jumanne, Mbeya Kwanza watawakaribisha Yanga ambao ni vinara kwenye Ligi Kuu Bara, katika mchezo wa ligi hiyo utakaochezwa Uwanja wa Sokoine, Mbeya. Yanga ambayo...

The post Yanga Yaiandalia Dozi Mbeya Kwanza appeared first on Global Publishers.

Barbara: Wachezaji Wananiomba Waje Kucheza Simba

Mtendaji Mkuu wa Simba 'CEO' Barbara Gonzalez ameweka wazi kuwa kuelekea katika dirisha dogo la usajili amekuwa akipata usumbufu kutoka kwa mawakala wa wachezaji wakubwa...

The post Barbara: Wachezaji Wananiomba Waje Kucheza Simba appeared first on Global Publishers.

Omicron: WHO yaonya juu ya 'hatari kubwa ya kuambukizwa' kote ulimwenguni

"Omicron ina idadi isiyokuwa ya kawaida ya mabadiliko ambayo mengine yanaweza kuwa athari kubwa katika mwelekeo mwingine wa janga," WHO ilisema.

Ballon d'Or: Lionel Messi ndiye mchezaji bora wa mwaka kwa mara ya saba

Mshambuliaji wa Paris St-Germain na Argentina Lionel Messi ashinda taji la Ballon d'Or -linalopatiwa mchezaji bora wa mwaka duniani kwa mara ya saba

Yasome Hapa Magazeti ya Leo, Jumanne, Novemba 30, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Novemba 28, 26021. Usipitwe na Matukio, Install App Yako ya Kijanja...

The post Yasome Hapa Magazeti ya Leo, Jumanne, Novemba 30, 2021 appeared first on Global Publishers.

Mzozo wa Tigray: Tuhuma na kujitolea huku mapigano ya Ethiopia yakienea

Waethiopia waambia BBC wako tayari kufa ili kulinda nchi yao dhidi ya waasi.

Shahidi wa 10 aeleza alivyolazimishwa kutoa rushwa na kina Sabaya

Katika kesi ya Uhujumu Uchumi inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya,  Shahidi amesema alilazimishwa kutoa rushwa kwa kutishiwa kwamba atapotezwa au kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumi. Akizungumza leo, Shahidi, Francis Mrosso ameileza mahakama kwamba Sabaya alimuonya kwamba asipotoa milioni 90 angepotezwa. Amesema hata baada ya kutoka ofisini kwake akiwa na vijana …

The post Shahidi wa 10 aeleza alivyolazimishwa kutoa rushwa na kina Sabaya appeared first on Bongo5.com.

Shahidi aeleza sababu zilizomfanya ashindwe kuomba msaada wakati anatoa milioni 90 kwa kina Sabaya

Shahidi wa 10 Francis Mrosso, katika kesi ya Uhujumu Uchumi inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya, Lengai Ole Sabata amedai kuwa alishindwa kuomba msaada wakati pesa zake zinachukuliwa kwenye gari kwa kuwa alikuwa anahofu ya kupotezwa kama alivyokuwa ametahadharishwa awali. Mrosso amesema hayo baada ya kuulizwa ni kwanini wakati anamshusha kwenye gari kijana aliyetoka naye benki …

The post Shahidi aeleza sababu zilizomfanya ashindwe kuomba msaada wakati anatoa milioni 90 kwa kina Sabaya appeared first on Bongo5.com.

Monday, November 29, 2021

G7 Wakutana kwa Dharura

KUNDI la mataifa tajiri duniani ya G7 leo hii lifanya mkutano wa dharura kuhusu aina mpya ya kirusi cha Covid-19 ambacho kimebadilika kabisa kilichopewa jina...

The post G7 Wakutana kwa Dharura appeared first on Global Publishers.

Wanne Wauawa kwa Kupigwa Risasi na Majambazi – Video

Watu wanne wameuawa kwa kupigwa risasi na watu wanaodaiwa kuwa ni majambazi, tukio lililotokea huko nchini Kenya.   Wakazi wa eneo hilo wameeleza kwa uchungu...

The post Wanne Wauawa kwa Kupigwa Risasi na Majambazi – Video appeared first on Global Publishers.

Ziara ya Rais Museveni Chato, Tanzania

Tanzania imeahidi kuendelea kushirikiana na Uganda katika sekta mbalimbali ikiwa ni pamoja na elimu, biashara na uwekezaji, kwa faida ya mataifa hayo mawili. Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni akimkabidhi mfano wa funguo, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kama ishara ya makabidhiano ya Shule hiyo ya …

The post Ziara ya Rais Museveni Chato, Tanzania appeared first on Bongo5.com.

Walimu Wachangia Vyoo na Wanafunzi 500

Zaidi ya wanafunzi 500 wa Shule ya Msingi Omunga, kakika Wilaya ya Rorya, mkoani Mara, wanalazimika kuchangia vyoo na walimu wao kutokana na shule kukosa...

The post Walimu Wachangia Vyoo na Wanafunzi 500 appeared first on Global Publishers.

Omicron: Tunafahamu yapi kuhusu aina hii mpya ya kirusi cha Corona?

Wakati huo huo kuna maswali kuhusu kwa kasi gani kirusi hicho kinaweza kusambaa, uwezo wake wa kukwepa kinga iliyotokana na chanjo na kipi kitafanywa.

#LIVE : Rais Samia na Rais Museveni wakizundua Shule ya Msingi Museven, Chato…

RAIS SAMIA NA RAIS MUSEVENI WAKIZINDUA SHULE YA MSINGI MUSEVENI, CHATO MKOANI GEITA…

The post #LIVE : Rais Samia na Rais Museveni wakizundua Shule ya Msingi Museven, Chato… appeared first on Global Publishers.

Yasome Hapa Magazeti ya Leo, Jumatatu, Novemba 29, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Novemba 27, 26021. Usipitwe na Matukio, Install App Yako ya Kijanja...

The post Yasome Hapa Magazeti ya Leo, Jumatatu, Novemba 29, 2021 appeared first on Global Publishers.

Covid:Rais wa Afrika Kusini atoa wito wa kuondolewa kwa marufuku ya kusafiri kuhusu Omicron

Kirusi hicho kinachobadilika kwa haraka sana kiligunduliwa nchini Afrika Kusini mapema mwezi huu na kisha kuripotiwa kwa Shirika la Afya Duniani (WHO) Jumatano iliyopita.

Dkt.Abbasi Awataka Wasanii Kuipa Heshima Tasnia

Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan Abbasi, amewataka wasanii nchini kushiriki kuiendesha tasnia kwa weledi, kujenga umoja na kuiongezea thamani...

The post Dkt.Abbasi Awataka Wasanii Kuipa Heshima Tasnia appeared first on Global Publishers.

Sunday, November 28, 2021

Jukwaa La Taifa La Wanawake Wanaoishi Na Virusi Vya UKIMWI Lazinduliwa

Baraza la Watu wanaoishi na Virusi vya UKIMWI Tanzania ( NACOPHA) leo limezindua Jukwaa la Taifa la Wanawake wanaoishi na Virusi vya UKIMWI Tanzania, ambao...

The post Jukwaa La Taifa La Wanawake Wanaoishi Na Virusi Vya UKIMWI Lazinduliwa appeared first on Global Publishers.

Kirusi Kipya cha Covid-19: Abiria13 kutoka Afrika Kusini wakutwa na maambukizi Uholanzi

Aina mpya ya virusi vya corona Omicron imegunduliwa kwa watu 13 waliofika katika mji mkuu wa Uholanzi Amsterdam kwa ndege mbili kutoka Afrika Kusini.

Shabiki wa Yanga aukubali mziki wa Simba kwa Mkapa (+Video)

Shabiki wa Yanga SC amesema kuwa amekuja Uwanja wa Mkapa kiwasapoti Simba SC kwenye mchezo wa leo dhidi ya Red Arrows. "Nilianza kuupenda mpira alafu ndiyo nikachagua timu,"- Shabiki wa Yanga adai yeye sio kama wale wengine wanaoshabikia timu pinzani za nje bali Taifa kwanza na kwake imekuwa rahisi sababu alianza kuupenda mpira kisha ndiyo …

The post Shabiki wa Yanga aukubali mziki wa Simba kwa Mkapa (+Video) appeared first on Bongo5.com.

Kirusi Kipya cha Covid-19: Israeli kuweka marufuku kwa wageni wote kuingia nchini humo

Israel itapiga marufuku wageni kuingia nchini kwa siku 14 na kufanya ufuatiliaji ili kuzuia kuenea kwa aina mpya ya virusi vya Covid, vyombo vya habari vya ndani vimeeleza.

Kocha Simba Atamba Kuwapigwa Mapema Red Arrows

PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba SC, amesema ana dakika 180 za ushindi mbele ya Red Arrows ya Zambia ili kutinga hatua ya makundi ya...

The post Kocha Simba Atamba Kuwapigwa Mapema Red Arrows appeared first on Global Publishers.

Yasome Hapa Magazeti ya Leo, Jumapili, Novemba 28, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Novemba 28, 26021. Usipitwe na Matukio, Install App Yako ya Kijanja...

The post Yasome Hapa Magazeti ya Leo, Jumapili, Novemba 28, 2021 appeared first on Global Publishers.

Breaking: Rais Samia Ateua Viongozi Mbalimbali

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan leo Novemba 27, 2021 amefanya uteuzi wa Viongozi mbalimbali kama ifatavyo:-

The post Breaking: Rais Samia Ateua Viongozi Mbalimbali appeared first on Global Publishers.

Kirusi Kipya cha Covid-19: Aina ya mpya ya kirusi yatajwa kuwa ni 'ya kutia hofu' na kuitwa Omicron

Shirika la afya duniani (WHO) limetangaza aina mpya ya kirusi cha corona kuwa "ya kutia hofu" na kuipatia jina Omicron.

Saturday, November 27, 2021

Covid: Makumi wapatikana na virusi katika ndege iliyotoka Afrika kusini kwenda Uholanzi

Watu sitini na mmoja waliowasili mjini Amsterdam katika ndege mbili zilizotoka Afrika Kusini wamepatikana na virusi Covid-19, Dwamesema maafisa wa Uholanzi.

Hamisa Mobetto: Rick Ross anakuja kuwekeza Tanzania, amemtaja Rais Samia (+ Video)

Atakuja kuwekeza Tanzania, amemtaja mpaka Rais Samia Suluhu, anataka Tanzania iwe kama nyumbani kwake.

The post Hamisa Mobetto: Rick Ross anakuja kuwekeza Tanzania, amemtaja Rais Samia (+ Video) appeared first on Bongo5.com.

Performance Ya Kwanza Ya P Square Nchini Nigeria Baada Ya Maelewano

  Kundi la muziki la P-Square kutoka Nigeria sasa limerejea rasmi, hii ni baada ya kutangaza show yao ya kwanza pamoja tangu kumdi hilo  livunjike....

The post Performance Ya Kwanza Ya P Square Nchini Nigeria Baada Ya Maelewano appeared first on Global Publishers.

Lingard, Cavani katika rada za Barcelona

Barcelona wanahangaika kwa ajili ya kuwasaka wachezaji watakaoimarisha safu yao ya ushambulizi mwezi Januari na wanaangalia  uwezekano wa kuwasajili wachezaji  wa Manchester United, Jesse Lingard mwenye umri wa miaka 28, na mshambuliaji wa Uruguay mwenye umri wa miaka 34 Edinson Cavani. (Mundo Deportivo, via the Sun) Klabu anayotaka kuhamia mshambuliaji wa Norway Erling Braut Haaland …

The post Lingard, Cavani katika rada za Barcelona appeared first on Bongo5.com.

Kocha Simba Anasa Faili la Red Arrows

KOCHA Mkuu wa Klabu ya Simba, Mhispania Pablo Franco amefunguka kuwa amenasa mbinu zote ambazo wapinzani wake kwenye Kombe la Shirikisho kutoka Zambia, Red Arrows...

The post Kocha Simba Anasa Faili la Red Arrows appeared first on Global Publishers.

Ummy Mwalimu Aagiza Wanafunzi Wasisome Wakati Wa Likizo

Waziri wa Nchi OR-TAMISEMI, Ummy Mwalimu amewaagiza wakuu wa Mikoa na Wilaya kuhakikisha Wanafunzi wanapumzika wakati wa likizo Amesema ni muhimu kuwapatia Watoto muda wa...

The post Ummy Mwalimu Aagiza Wanafunzi Wasisome Wakati Wa Likizo appeared first on Global Publishers.

Unyanyasaji wa nyumbani: Mwanamke afichua jinsi alivyolazimishwa kutumiwa vibaya na kudhibiwa na mpenzi ambaye nusura ayaharibu maisha yake

Udhibiti wa mwenzi iwe mpenzi wa muda au mwenzi wa ndoa ni mojawapo ya ukatili unaofanyika katika familia na katika mahusiano baina ya wenzi.

Yasome Hapa Magazeti ya Leo, Jumamosi, Novemba 27, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Novemba 27, 26021. Usipitwe na Matukio, Install App Yako ya Kijanja...

The post Yasome Hapa Magazeti ya Leo, Jumamosi, Novemba 27, 2021 appeared first on Global Publishers.

Sijutii Kuachana Na Ben Pol

  Aliyewahi kuwa mke wa Msanii wa Bongo Fleva, Ben Pol aitwae Anerlisa yupo nchini Tanzania, amewasili Dar es Salaam muda mfupi uliopita na kufunguka...

The post Sijutii Kuachana Na Ben Pol appeared first on Global Publishers.

Friday, November 26, 2021

Masha Love: Sijafanya Sajari Wala Nini

MWANAMAMA Masha Love ambaye amejizolea umaarufu mkubwa Bongo kutokana na matiti yake kwa kuyaachia wazi bila kuyavalia kitu ndani, ameweka wazi kuwa, hajafanya upasuaji (sajari)...

The post Masha Love: Sijafanya Sajari Wala Nini appeared first on Global Publishers.

Gambo afanikisha Maulid ya Wilaya Arusha

Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo ameshiriki sadaka ya kufanikisha Maulid inayotarajiwa kufanyika kesho Novemba 27 katika msikiti wa Riyadh, Kata ya Muriet Wilaya ya Arusha. Akitoa sadaka hiyo leo Nov 26, Mh. Gambo amesema kwamba amefurahi kushiriki katika kufanikisha shughuli hiyo, ambayo itaendana na shughuli za kijamii. Amesema licha ya kufanyika kwa Maulid hapo …

The post Gambo afanikisha Maulid ya Wilaya Arusha appeared first on Bongo5.com.

PSG wazungumza na Zidane, United kumvuta Pochettino 

Paris St-Germain imefanya mazungumzo na Zinedine Zidane wakijiweka sawa na uwezekano wa kocha wao Mauricio Pochettino kuondoka na kujiunga na Manchester United. (Le Parisien, via Metro) Manchester City itapaswa kuongeza juhudi kumpa mkataba wa muda mrefu winga wa England Raheem Sterling, 26 ambaye anahusishwa na Barcelona, ili aweze kusalia klabuni hapo. (Telegraph – subscription required) Manchester United imeungana na vilabu …

The post PSG wazungumza na Zidane, United kumvuta Pochettino  appeared first on Bongo5.com.

Arnelisa: Sitaki tena kuwa kwenye mahusiano na Mtanzania (+ Video)

Akizungumzia comment za Watanzania Instagram ameonyesha kuwanyoshea mikono. “Sitaki tena mwanaume kutoka Tanzania sasa narudi Kenya”

The post Arnelisa: Sitaki tena kuwa kwenye mahusiano na Mtanzania (+ Video) appeared first on Bongo5.com.

B.1.1.529 : Fahamu aina mpya ya kirusi hatari cha corona kilichogunduliwa

Aina mpya ya kirusi cha Corona kilichogunduliwa hivi karibuni ambacho kina orodha ndefu ya mabadiliko ambayo yalielezewa na mwanasayansi mmoja kama ni "ya kutisha".

Yanga Hatarini Kumkosa Yacouba Msimu Mzima

LICHA ya mafanikio makubwa ya upasuaji wa goti aliofanyiwa kiungo Mburkinabe wa Yanga, Yacouba Songne, imeelezwa kuwa kiungo huyo yupo hatarini kukosa michezo iliyosalia ya...

The post Yanga Hatarini Kumkosa Yacouba Msimu Mzima appeared first on Global Publishers.

Virusi vipya vya Corona: England yapiga marufuku safari za ndege kutoka mataifa sita ya Afrika

Wasafiri wanaowasili nchini England kutoka mataifa tofauti ya Afrika watalazimika kujitenga huku kukiwa na onyo kuhusu aina mpya ya virusi vya corona.

Dk Julius Nguhulla azindua kitabu kiitwacho ‘Enhancing your knowledge in shipping’ (+Video) 

DK Julius Nguhulla amezindua kitabu kiitwacho ENHANCING YOUR KNOWLEDGE IN SHIPPING tukio lililofanyika Hyatt Regency Jijini Dar es Salaam leo Novemba 25, 2021 Akizungumza na waandishi wa Habari DK Nguhulla amesema kuwa ”Watu wanatakiwa wafundishwe kuhusu maarifa ya bandari na meli ” Wageni mbalimbali wamehudhuria tukuo hilo la uzinduzi wa kitabu huku mgeni rasmi akiwa …

The post Dk Julius Nguhulla azindua kitabu kiitwacho ‘Enhancing your knowledge in shipping’ (+Video)  appeared first on Bongo5.com.

Thursday, November 25, 2021

Kuondolewa marufuku kwa wasichana wa shule wanaopata mimba kwaibua hisia mseto Tanzania

Hapo jana Tanzania ilitangaza rasmi kuwaruhusu wanafunzi waliokatiza masomo yao kwa kwasababu ya kupata ujauzito wakiwa shuleni kurejea masomoni kupitia mfumo rasmi.

Kanye West akumbuka penzi zito la Kardashian 

Mwanamuziki wa miondoko ya kufoka foka nchini Marekani Kanye West amekiri kuwa alifanya makosa katika ndoa yake na Kim Kardashian. Amesema kuwa ni mpango wa Mungu yeye na mke wake Kim Kardashian kurudiana na kutengeneza maisha kwenye nyumba pamoja na watoto wao. Akiwa mjini Los Angeles kwenye sherehe za shukrani , Kanye west, 44 alisema …

The post Kanye West akumbuka penzi zito la Kardashian  appeared first on Bongo5.com.

Benki ya Dunia yaunga mkono hatua ya serikali ya Tanzania kuwarejesha wasichana shuleni

Benki ya Dunia imeunga mkono tangazo la Serikali ya Tanzania la kuondoa vikwazo vya upatikanaji wa elimu, vikiwemo vile ambavyo vimewazuia wasichana wajawazito au kina mama wachanga kuhudhuria shule katika mfumo rasmi.

Baada ya kuona video za CCTV Shahidi kesi ya Sabaya aiomba mahaka impe mapumziko ya kuendelea na ushahidi

Shahidi wa kumi katika kesi ya Uhujumu uchumi inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya na wenzake Sita, ameiomba mahakama ipange siku nyingine ili aweze kuendelea na ushahidi wake. Shahidi huyo amesema hayo Jana  Nov 24 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, ambapo amesema baada ya kuangalia matukio ya kwenye CCTV Camera …

The post Baada ya kuona video za CCTV Shahidi kesi ya Sabaya aiomba mahaka impe mapumziko ya kuendelea na ushahidi appeared first on Bongo5.com.

Wazijua bidhaa tatu zilizopanda bei Tanzania, Kenya na Uganda?

Gharama ya maisha imekuwa ikiongezeka katika miezi ya hivi karibuni katika mataifa ya eneo la Afrika Mashariki ya Kenya, Tanzania na Uganda. Hizi ni baadhi ya bidhaa ambazo zimeonekana kuongezeka bei katika nchi hizo tatu

Wednesday, November 24, 2021

Simba kinara mitandaoni, Kitu gani kinaifanya ifanya vizuri

Moja ya sehemu ya kutambua ni kwa namna gani watu wanakufuatilia na kupenda kazi unayofanya ni mitandao ya kijamii. Katika vilabu ambavyo vinafanya vizuri kwenye mitandao ya kijamii Afrika ukiitoa Al ahyl ya Misri ni @simbasctanzania ya Tanzania ambapo Instagram tu ina wafuasi mil 3.1 huku Al ahyl ikiwa na wafuasi mil 7.3. Huku Twitter @simbasctanzania wakiwa na followers …

The post Simba kinara mitandaoni, Kitu gani kinaifanya ifanya vizuri appeared first on Bongo5.com.

Tanzania kufuta marufuku kwa wasichana wa shule wanaopata mimba

Juni 2017 hayati Rais Magufuli alipiga marufuku wanafunzi wanaopata mimba kuendelea na masomo ya shule ya msingi na sekondari akisema ndani ya utawala wake hakuna mwanafunzi atakayepata mimba na kuruhusiwa kurudi shuleni.

20 Per Cent: Diamond na Harmonize kama ugomvi wao una faida wafanye (+ Video)

Huenda ndio game inavyotaka lakini kwa sababu wanajuana sana ugomvi huu huenda ukafika pabaya sana. Nawashauri kama wadogo zangu, wagombane kwa faida, kama ugomvi huu una faida basi sawa. – @twenty_power789

The post 20 Per Cent: Diamond na Harmonize kama ugomvi wao una faida wafanye (+ Video) appeared first on Bongo5.com.

Sasa rasmi wanafunzi wanaopata mimba Tanzania kurejea masomoni kwenye mfumo rasmi

Juni 2017 hayati Rais Magufuli alipiga marufuku wanafunzi wanaopata mimba kuendelea na masomo ya shule ya msingi na sekondari akisema ndani ya utawala wake hakuna mwanafunzi atakayepata mimba na kuruhusiwa kurudi shuleni.

Mwanamgambo mtoro wa Uganda: IS ilinilazimisha kupigana

ADF waliwahi kushindwa na mamlaka lakini sasa wameingia katikati mwa Uganda na kuonekana kuwa imara

Tuesday, November 23, 2021

Dart: Mpango wa kulishambulia jiwe kubwa la Dimorphos linalokaribia kugonga dunia kuanza

Chombo cha anga za mbali kiko tayari kuanza safari yake na kupima teknolojia ambayo siku moja inaweza kuhitajika kutambua mwamba unaozunguka uzio wa jua.

Rais Samia: Kweli Harmonize Tembo kwa kifua kile (+ Video)

“Nimemuona pia Konde Boy Tembo hapa (kwenye orodha ya Wasanii waliotoa burudani) na kwa kifua kile cha Harmo kweli yeye ni Tembo, – Rais Samia leo wakati akishiriki Maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani Kitaifa, Arusha.

The post Rais Samia: Kweli Harmonize Tembo kwa kifua kile (+ Video) appeared first on Bongo5.com.

Mpango wa nyuklia wa Iran: Fahamu kwanini tisho la shambulio la Israeli katika maeneo hayo laongezeka

Katika eneo la maji ya blu la bahari nyekundu nchini Israeli, Emirati na Bahraini vikosi vya wanamaji kwa mara ya kwanza baada ya siku chache tu zilizopita vilifanya mazoezi ya pamoja ya operesheni za usalama na meli ya kijeshi ya Marekani.

Yasome Hapa Magazeti ya Leo, Jumanne, Novemba 23, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Novemba 23, 2021. Usipitwe na Matukio, Install App Yako ya Kijanja...

The post Yasome Hapa Magazeti ya Leo, Jumanne, Novemba 23, 2021 appeared first on Global Publishers.

Manara: Usajili wa Chama Yanga, Biashara Tushamaliza

MSEMAJI wa Klabu ya Yanga, Haji Manara ameokoleza kile kinachoelezwa kuwa timu hiyo iko kwenye harakati za mwisho za kumsajili nyota wa kimataifa wa Zambia...

The post Manara: Usajili wa Chama Yanga, Biashara Tushamaliza appeared first on Global Publishers.

Monday, November 22, 2021

Shangwe la Morrison baada kuishinda Yanga katika kesi ya CAS (+Video)

SHANGWE LA WAKILI MSOMI BERNARD MORRISON BAADA YA KUSHINDA KESI YAKE DHIDI YA YANGA SC HUKO CAS Mzee wa kuwakera @bm3gh anashangili baada ya kushinda kesi yake CAS dhidi ya Yanga SC. Kwa upande wa mabosi zake Simba SC wameandika maneno machache tu ''Wakili Msomi'' Kuangalia video bofya HAPA

The post Shangwe la Morrison baada kuishinda Yanga katika kesi ya CAS (+Video) appeared first on Bongo5.com.

Hatupandi pikipiki kama Manara – Waziri Ndumbaro

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Damasi Ndumbaro amesema ataongoza watanzania wote watakaojitokeza kushiriki maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru kwa kupanda Mlima Kilimanjaro. Dkt. Ndumbaro ameitoa kauli hiyo akiwa jijini Arusba ambapo amesema kuwa zoezi la kupanda mlima Kilimanjaro litahusisha kutembea kwa miguu na siyo kupanda pikipiki kama Haji Manara alivyofanya kwenye ‘Marathon’ mwaka …

The post Hatupandi pikipiki kama Manara – Waziri Ndumbaro appeared first on Bongo5.com.

Eddy Kenzo awagaragaza Diamond, Alikiba na Harmonize tuzo za AFRIMA, Msanii bora Afrika Mashariki

Katika tuzo zilizofanyika usiku wa kuamkia leo katika jiji la Lagos nchini Nigeria, wasanii wengi walibahatika kupata tuzo lakini katika tuzo iliyozua gumzo ni ya msanii bora Afrika Mashariki ambapo ilikuwa inashindaniwa na Alikiba kutoka Tanzania, Diamond Platnumz Tanzania, Harmonize, Tanzania, Darassa Tanzania, Rayvanny Tanzania na Eddy Kenzo Uganda. Tuzo hiyo imeenda kwa msanii kutoka …

The post Eddy Kenzo awagaragaza Diamond, Alikiba na Harmonize tuzo za AFRIMA, Msanii bora Afrika Mashariki appeared first on Bongo5.com.

Kenya kama hujachanjwa hupati huduma Serikalini

Serikali ya Kenya imepanga maagizo ama masharti mapya mwezi ujao kuzuia wananchi ambao hawajachanjwa kupata huduma za serikali. Waziri wa afya Mutahi Kagwe alisema watu ambao hawajachanjwa watazuiwa kupata huduma za usafiri wa umma, ndege na treni. Wakenya watapaswa kuonyesha uthibitisho wa kupatiwa chanjo ili kutembelea Taasisi za serikali za elimu, uhamiaji, kodi na huduma …

The post Kenya kama hujachanjwa hupati huduma Serikalini appeared first on Bongo5.com.

Evelyn Joshua na mvutano wa uongozi ndani ya Kanisa alilolianzisha mumewe

Evelyn Joshua amekuwa kiongozi wa moja wa makanisa yenye ushawishi zaidi ya kiinjili, lakini mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 52 anakabiliwa na changamoto ya kuendeleza aliyoyaacha marehemu mumewe.

Miaka 60 ya Uhuru Wizara ya Maliasili na Utalii kukutana kileleni

Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Damas  Ndumbaro, amewataka watanzania kujitokeza kupanda mlima Kilimanjaro katika kuadhimisha miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika. Hata hivyo Waziri Ndumbaro ameongeza kuwa wizara hiyo imeazimia kupanda kilele cha Mlima Kilimanjaro na watanzania 300 na mpaka sasa waliojisajili ni zaidi ya 120 . Aidha Waziri huyo mwenye dhamana ameongeza kuwa …

The post Miaka 60 ya Uhuru Wizara ya Maliasili na Utalii kukutana kileleni appeared first on Bongo5.com.

Jeshi la Sudan lamrejesha madarakani Waziri Mkuu Abdalla Hamdok

Abdalla Hamdok aliachiliwa kutoka kifungo cha nyumbani mapema leo kabla ya kuonekana kwenye Televisheni katika hafla ya kutia saini makubaliano.

Sunday, November 21, 2021

Jeshi lakubali kumrejesha Waziri Mkuu madarakani, Sudan

Maafisa wa kijeshi na serikali nchini Sudan wamesema leo kuwa makubaliano yameafikiwa kati ya viongozi wa kijeshi na kiraia kumrejesha madarakani Waziri Mkuu aliyeondolewa madarakani katika mapinduzi ya Oktoba 25 Abdalla Hamdok. Viongozi hao wameongeza kuwa maafisa wa serikali na wanasiasa waliokamatwa tangu mapinduzi hayo wataachiwa huru kama sehemu ya makubaliano hayo kati ya jeshi …

The post Jeshi lakubali kumrejesha Waziri Mkuu madarakani, Sudan appeared first on Bongo5.com.

Maajabu: Mamilioni Ya Fedha Yamwagika Barabarani -Video

Tukio lisilo la kawaida limetokea katika Barabara ya Interstate 5, San Diego katika Jimbo la California nchini Marekani ambapo mamilioni ya dola za Kimarekani yamemwagika...

The post Maajabu: Mamilioni Ya Fedha Yamwagika Barabarani -Video appeared first on Global Publishers.

Mwenyekiti Simba Afunguka Chama Kurudi – Video

MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, Salim Abdallah Muhene “Try Again” leo Novemba 21, 2021 akiongea na wanachama wa klabu hiyo katika Mkutano Mkuu...

The post Mwenyekiti Simba Afunguka Chama Kurudi – Video appeared first on Global Publishers.

Manchester United wamtimua Ole Gunnar Solskjaer

Manchester United imeamua kuachana na kocha wake, Ole Gunnar Solskjaer kufuatia matokeo mabaya ya 4-1 dhidi ya Watford mchezo uliyopigwa jana usiku kwenye dimba la Vicarage Road. Kipigo hicho kutoka kwa Watford kimeripotiwa kuwa ndiyo kilichopelekea mabosi wa United kukosa la kufanya zaidi ya kufanya maamuzi magumu mbe ya kijana wao huyo ambaye amewahi kuitumikia …

The post Manchester United wamtimua Ole Gunnar Solskjaer appeared first on Bongo5.com.

Jeshi la Sudan kumrejesha madarakani Waziri Mkuu Abdalla Hamdok

Abdalla Hamdok amekuwa chini ya kifungo cha nyumbani tangu mapinduzi ya kijeshi ya mwezi uliyopita, hatua iliyozua maandamano.

Eric Omondi Kama Marioo

HOJA ya msanii wa Bongo Fleva anayekiwasha na ngoma yake ya Beer Tamu, Marioo, imeungwa mkono na mchekeshaji wa Kenya, Eric Omonid kuhusu hali ilivyo...

The post Eric Omondi Kama Marioo appeared first on Global Publishers.

Rais wa Uganda Yoweri Museveni awataka wasi wa ADF kujisalimisha

Rais wa Uganda Yoweri Museveni anasema kundi la waasi, Allied Democratic Forces linastahili kujisalimisha huku akisisitiza kuwa serikali yake imejitolea kukabiliana na ugaidi.

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Jumapili, Novemba 21, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Novemba 20, 2021. Usipitwe na Matukio, Install App Yako ya Kijanja...

The post Yasome Hapa Magazeti ya Leo Jumapili, Novemba 21, 2021 appeared first on Global Publishers.

Saturday, November 20, 2021

Corona yatikisa Ujerumani, Waziri wa Afya akiri hali mbaya 

Wimbi la nne la COVID-19 lasababisha idadi ya maambukizi kuongezeka zaidi Ujerumani. Waziri wa Afya asema hatua ya kufunga shughuli huenda isiepukike. Waziri wa Afya wa Ujerumani Jens Spahn amesema siku ya Ijumaa kwamba hali nchini Ujerumani imezidi kuwa mbaya kuliko wiki iliyopita na kuongeza kuwa taifa linakumbwa na 'hali ya dharura ya kitaifa’. Alipoulizwa …

The post Corona yatikisa Ujerumani, Waziri wa Afya akiri hali mbaya  appeared first on Bongo5.com.

Mshukiwa wa Mauaji ya Rais wa Haiti Afariki kwa COVID-19

Dragon, mmoja wa washukiwa wakuu wa mauaji ya kinyama ya Rais wa Haiti, Hayati Jovenel Moise, amefariki kwa ugonjwa wa COVID-19, juzi siku ya Jumatano,...

The post Mshukiwa wa Mauaji ya Rais wa Haiti Afariki kwa COVID-19 appeared first on Global Publishers.

Serikali na wadau kushirikiana kuwezesha umri wa kuolewa uanzie miaka 18

Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palagamba Kabudi amesema Serikali imepanga kutekeleza uamuzi wa Mahakama ya Rufani kwa kuandaa Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971, kuhusu umri wa kuolewa, limeripoti gazeti la Mwananchi nchini humo.

Tahadhari: Joto Kali Husababisha Nyoka Kuingia Majumbani

Kufautia joto kali linaloendelea katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania, wataalamu wa Afya, Usalama na Mazingira (HSE) wametoa ushauri wa tahadhari kwamba katika kipindi hiki, wanyama...

The post Tahadhari: Joto Kali Husababisha Nyoka Kuingia Majumbani appeared first on Global Publishers.

Uhamiaji : Safari ya ndege katika Mallorca ilivyofichua njia mpya hatari na ya ajabu inayotumiwa na wahamiaji kuingia Ulaya

Tarehe 5 Novemba majiira ya mchana, ndege ya Air Arabia Maroc Airbus A320 iliondoka mjini Casablanca Morocco kuelekea nchini Uturuki.

Unyama! Baba wa Kambo Aua Watoto Wawili wa Mkewe

WATOTO wawili wa familia moja wameuawa na baba yao wa kambo kwa kuwaziba midomo na kukosa pumzi baada ya kutokea kutoelewana kati yake mkewe ambaye...

The post Unyama! Baba wa Kambo Aua Watoto Wawili wa Mkewe appeared first on Global Publishers.

Fahamu namna wafungwa walivyotumia njia za kushangaza kutoroka gerezani

Mmoja wa watoro wa gerezani wanaojulikana sana katika historia. Ni Joaquin "El Chapo" Guzman. Mlanguzi huyu wa dawa za kulevya amezipa hekaheka jela mbili za Mexico zenye ulinzi mkali.

Milipuko ya Uganda :Mhubiri wa kiislamu anayehusishwa na jihadi auawa kwa kupigwa risasi

Maafisa walisema Sheikh Muhammad Abas Kirevu alikuwa amewaandikisha vijana kujiunga na seli za kigaidi zinazoendeshwa na Allied Democratic Forces (ADF) - waasi ambao wameahidi utiifu kwa kundi la Islamic State.

Simba Yaibuka na Ushindi wa 3-1 Dhidi ya Ruvu Shooting

KIKOSI cha Simba kimeibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Ruvu Shooting kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa CCM Kirumba. Simba...

The post Simba Yaibuka na Ushindi wa 3-1 Dhidi ya Ruvu Shooting appeared first on Global Publishers.

Sindano ya kudhibiti virusi vya HIV kwa muda mrefu zaidi yaidhinishwa Uingereza

Taasisi inayosimamia madawa nchini Uingereza inasema ina ufanisi sawa na ule wa vidonge vya kila siku isipokuwa inasaidia kuondoa mzigo wa kumeza vidonge kila siku .

Friday, November 19, 2021

MUSIC VIDEO: Alino Alino Ft. Official Lyyn – Your Body

Msanii wa muziki kutoka Cameroon, @iamalinoalino ameachia video ya wimbo wake mpya unaoitwa ‘YOUR BODY’ akiwa amemshirikisha mrembo kutoka Tanzania @officiallyyn na anakukaribisha utazame kichupa hicho. Audio ya ngoma hii imegongwa Zimbabwe na Producer Elcee Gweja na kuongozwa na Director Mtanzania @Ommy.4k. Bofya link hapo chini kuitazama full video au Bofya link kwenye Bio yake …

The post MUSIC VIDEO: Alino Alino Ft. Official Lyyn – Your Body appeared first on Bongo5.com.

MUSIC VIDEO: Mudy Best – Ipo siku

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, @mudy_best1___ ameachia video ya wimbo wake mpya inayokwenda kwa jina la ‘IPO SIKU’ na anakualika kuitazama. Producer wa ngoma hii ni @zest_soundkiller na mixing imefanywa na @laizerclassic na @samooverossa_ huku video ikiongozwa na @creatorpro5. Bofya link hapo chini au tembelea kwenye page ya @mudy_best1___ hapa IG na kisha bofya …

The post MUSIC VIDEO: Mudy Best – Ipo siku appeared first on Bongo5.com.

Malkia Karen: Baba wa Mtoto Mnampa Ninyi?

MSANII wa kike wa Bongo Fleva, Careen Gardner almaarufu Malkia Karen anasema kuwa, anawashangaa mno watu wanaompangia mtoto wake baba, jambo ambalo linamuumiza kwani kama...

The post Malkia Karen: Baba wa Mtoto Mnampa Ninyi? appeared first on Global Publishers.

Marekani yaiondolea vikwazo Burundi

Marekani imemaliza vikwazo vilivyowekwa dhidi ya Burundi miaka sita iliyopita, ikitoa mfano wa mageuzi nchini humo. Taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani ilibainisha kuwa Rais Joe Biden alibatilisha amri iliyoidhinisha vikwazo hivyo. Ilikubali uchaguzi wa mwaka jana ambao ulimleta Rais Évariste Ndayishimiye na mageuzi ambayo amefuata “katika sekta nyingi”. “Tunatambua hatua zilizoafikiwa …

The post Marekani yaiondolea vikwazo Burundi appeared first on Bongo5.com.

Pablo Awasoma Ruvu Shooting Kwa Video

HUKU wakijipanga na mchezo wa leo Ijumaa dhidi ya Ruvu Shooting kocha mkuu wa Simba, Pablo Franco amefichua kuwa ameisoma timu hiyo kupitia video walipocheza...

The post Pablo Awasoma Ruvu Shooting Kwa Video appeared first on Global Publishers.

Pablo Awataja Mastaa Watatu Simba

KOCHA Mkuu wa Simba, Pablo Franco, mapema tu ameonekana kuridhishwa na viwango vya baadhi ya mastaa wa timu hiyo, huku akianza kuwataja watatu aliowaona siku...

The post Pablo Awataja Mastaa Watatu Simba appeared first on Global Publishers.

Waliochanja pekee ruksa kuingia kumbi za starehe, masharti mapya ya Corona Ujerumani

Viongozi wa kitaifa na wa majimbo nchini Ujerumani wamekubaliana kuhusu mpango mpya wa kudhibiti maambukizi ya virusi vya corona ikiwa ni pamoja na kuhimiza watu wanaosita kuchanjwa kupokea chanjo. Hayo yanajiri wakati taifa hilo likipambana na wimbi la nne la maambukizi ambapo ndani ya saa 24 zilizopita, zaidi ya watu 65,000 walirekodiwa kuambukizwa. Chini ya …

The post Waliochanja pekee ruksa kuingia kumbi za starehe, masharti mapya ya Corona Ujerumani appeared first on Bongo5.com.

Uvujaji wa data DR Congo: Mamilioni ya fedha yalitumwa kwa washirika wa Joseph Kabila

Dadake Bw Kabila, Gloria Mteyu, alimiliki 40% ya operesheni ya BGFI DR Congo, iliyoanzishwa mwaka wa 2010.

Thursday, November 18, 2021

Harmonize: Ukianza Ku-Shine Lazima Ugombane Na Diamond

MWANAMUZIKI Harmonize, leo Alhamisi, Novemba 18, 2021 amerejea nchini akitokea Marekani alipokwenda kufanya shoo zake baada ya kutua nchini amezungumza na wanahabari katika Uwanja wa...

The post Harmonize: Ukianza Ku-Shine Lazima Ugombane Na Diamond appeared first on Global Publishers.

Wafungwa 3 wanaohusishwa na ugaidi waliotoroka jela ya Kamiti Kenya wakamatwa

Watatu hao Musharaf Abdalla maarufu Alex Shikanda , Joseph Ouma na Mohammed Ali Abikar walikamatwa katika eneo la Kitui.

Harmonize Atua Bongo, Amlipua Diamond, Aanika Ukweli -Video

MWANAMUZIKI Harmonize, leo Alhamisi, Novemba 18, 2021 amerejea nchini akitokea Marekani alipokwenda kufanya shoo zake baada ya kutua nchini ameongea na wanahabari katika Uwanja wa...

The post Harmonize Atua Bongo, Amlipua Diamond, Aanika Ukweli -Video appeared first on Global Publishers.

Aweso Atinga Dawasa Usiku.. Atoa Maagizo Mazito Kwa Menejimenti

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso (Mb) usiku wa kuamkia leo Novemba 18, 2021 ametinga kwenye Ofisi za DAWASA kuwekea msisitizo mambo mbalimbali kwenye kipindi hiki...

The post Aweso Atinga Dawasa Usiku.. Atoa Maagizo Mazito Kwa Menejimenti appeared first on Global Publishers.

Rais Samia Aagiza Tafiti za Saratani

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ameagiza kufanyika kwa utafiti wa kina kuhusu ongezeko la wagonjwa wa saratani katika ukanda...

The post Rais Samia Aagiza Tafiti za Saratani appeared first on Global Publishers.

Msanii wa Baba levo Oti: Nataka nikamshtaki anilipe ushahidi ninao, ameniharibia maisha yangu (+ Video)

Aliyekuwa msanii wa @officialbabalevo anayeitwa @oti_tz_ ameeleza alivyotapeliwa na Baba levo kiasi cha milioni 12 na kumbwaga. Ameniharibia maisha yangu Rayvanny alitaka kunisaidia akamshambulia na maneno mtandaoni sijaongea na Diamond.

The post Msanii wa Baba levo Oti: Nataka nikamshtaki anilipe ushahidi ninao, ameniharibia maisha yangu (+ Video) appeared first on Bongo5.com.

Mgogoro wa Ethiopia wa Tigray: Jinsi TPLF ilivyolizidi maarifa jeshi la Ethiopia

Mwaka mmoja uliopita ilikiondoa chama cha Tigray People's Liberation Front (TPLF) kama chama tawala katika eneo la kaskazini la Tigray - sasa wapiganaji wa kundi hilo wanachukua miji katika njia ya kuelekea mji mkuu, Addis Ababa.

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Alhamisi, Novemba 18, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Novemba 18, 2021. Usipitwe na Matukio, Install App Yako ya Kijanja...

The post Yasome Hapa Magazeti ya Leo Alhamisi, Novemba 18, 2021 appeared first on Global Publishers.

Wafungwa hatari watoroka gereza la Kamiti Kenya, Msako mkali wafanyika

Wasimamizi saba wa magereza wamekamatwa nchini Kenya baada ya wanamgambo watatu wa Kiislamu wanaotajwa kuwa hatari kutoroka katika gereza lenye ulinzi mkali nje kidogo ya mji mkuu, Nairobi. Waliotoroka ni pamoja na Mohamed Ali Abikar, ambaye alihukumiwa kwa kuhusika kwake katika shambulio la Chuo Kikuu cha Garissa mnamo 2015 ambapo watu 148 waliuawa. Mamlaka imelaumu …

The post Wafungwa hatari watoroka gereza la Kamiti Kenya, Msako mkali wafanyika appeared first on Bongo5.com.

Abrahamu: Fahamu dini mpya inayozua mjadala Mashariki ya kati

Katika maadhimisho ya miaka kumi ya nyumba ya familia ya Misri , kampeni ya umoja wa kidini ilianza nchini humo , lakini Imamu mkuu wa Al -Azhar, Ahmed Al Tayyib , aliikosoa dini mpya ya Abrahamu inayodaiwa kuzua mjadala katika eneo la mashariki ya kati.

Wednesday, November 17, 2021

Watatu Wafariki kwa Kufukiwa na Kifusi Sikonge

WATU watatu wamefariki dunia wakiwemo watoto wawili na mwanafunzi mmoja wa shule ya msingi majengo wilaya ya sikonge mkoani Tabora baada ya kufukiwa na kifusi...

The post Watatu Wafariki kwa Kufukiwa na Kifusi Sikonge appeared first on Global Publishers.

Pingamizi la Sabaya Lakataliwa, Ushahidi wa Benki Wapokelewa

Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imepokea vielelezo vya shahidi wa tisa wa upande wa Jamhuri, Marry Mayoka Kimasa chini ya Kifungu cha sheria ya ushahidi...

The post Pingamizi la Sabaya Lakataliwa, Ushahidi wa Benki Wapokelewa appeared first on Global Publishers.

ADF: Lifahamu kundi la waasi kutoka Uganda linaloshirikiana na Islamic State

Kati ya makundi yenye sifa mbaya zaidi yanayoendesha shughuli zao DRC ni lile la kutoka nchini Uganda la Allied Democratic Forces (ADF). Kundi hilo la kiislamu liliundwa miaka ya 1990 na mara nyingi lilihusika na mizozo ya ndani na taifa la Uganda.

Jack Patrick Kuwataja Wauza Unga Bongo?

BAADA ya kufanikiwa kuyachomoka maisha ya jela aliyosota nayo kwa miaka takriban 7, msanii wa Bongo, Jacqueline Fitzpatrick 'Jack Patrick' amezidi kuzua sintofahamu. Inaelezwa kwenye...

The post Jack Patrick Kuwataja Wauza Unga Bongo? appeared first on Global Publishers.

Mawakili kesi ya Sabaya waweka pingamizi nyaraka za ushahidi zisipokelewe, mahakama kuamua leo

Mawakili wa upande wa Utetezi, katika Kesi ya Uhujumu Uchumi inayomkabili aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya na wenzake Sita wameweka pingamizi la kupokelewa kwa ushahidi ambazo ni nyaraka za Benki kutoka tawi la kwa Mromboo, Arusha. Akiweka pingamizi hilo, ambalo limeungwa mkono na Mawakili wengine, Wakili wa mshtakiwa namba moja …

The post Mawakili kesi ya Sabaya waweka pingamizi nyaraka za ushahidi zisipokelewe, mahakama kuamua leo appeared first on Bongo5.com.

Nchi 10 za Afrika Zafuzu Mechi za Mtoano Kombe la Dunia

  Nchi 10 za Afrika zimefuzu mechi za mtoano kuelekea katika Mashindano ya Kombe la Dunia yatakayofanyika Qatar mwakani kuanzia Novemba 21 mpaka Disemba 18,...

The post Nchi 10 za Afrika Zafuzu Mechi za Mtoano Kombe la Dunia appeared first on Global Publishers.

Milipuko Uganda : Kundi la IS lasema lilitekeleza mashambulizi ya kujitoa mhanga jijini Kampala

Mashambulizi yalikuja ndani ya dakika tatu za kila moja. Mabomu zaidi yamepatikana katika maeneo mengine ya jiji, maafisa walisema.

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Jumatano, Novemba 17, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Novemba 17, 2021. Usipitwe na Matukio, Install App Yako ya Kijanja...

The post Yasome Hapa Magazeti ya Leo Jumatano, Novemba 17, 2021 appeared first on Global Publishers.

Fahyma ‘Atamuua’ Paula

MADAI kwamba, mwanamitindo Fahyma amerudiana na baba wa mtoto wake, Rayvann zinatajwa kuwa zitamuua mpenzi wa sasa wa jamaa huyo, Paula Kajala.   Tangu kuondoka...

The post Fahyma ‘Atamuua’ Paula appeared first on Global Publishers.

Waliofariki kwa Mlipuko Uganda Wafikia Sita – Pichaz

Watu 6 wamethibitika kufariki dunia mpaka sasa huku wawili kati yao wakiwa maafisa polisi, kufuatia milipuko miwili kutokea jijini Kampala nchini Uganda karibu na Bunge...

The post Waliofariki kwa Mlipuko Uganda Wafikia Sita – Pichaz appeared first on Global Publishers.

Mazungumzo ya Biden nanXi : China yaionya Marekani dhidi ya uhuru wa Taiwan

Xi Jinping na Joe Biden wamefanya mkutano muhimu na kuzungumzia juu ya uhuru wa Taiwan.

Tuesday, November 16, 2021

Tecno Canon 18 kuja na Gimbal Kamera

Kuelekea mwisho wa mwaka 2021 kampuni ya simu za mkononi TECNO yenye mashabiki wengi hasa upande wa simu janja inatarajiwa kuzindua toleo jipya la mfululizo wa simu zake aina ya TECNO Camon 18 yenye ubora ulioboreshwa hasa upande wa picha na video. Series ya CAMON imekuwa ikiaminika kuwa na simu zenye kamera kali kutoka kwenye …

The post Tecno Canon 18 kuja na Gimbal Kamera appeared first on Bongo5.com.

Shahidi kesi ya Sabaya athibitisha kutoa millioni 90 kwenye boksi

Kesi ya Uhujumu uchumi Na.27/2021 inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya Lengai Ole Sabaya na wenzake sita, imeendelea leo ambapo Meneja wa Benki ya CRDBA ameweka wazi kuwa aliidhinisha kiasi cha milioni 90 kutolewa kwenye Akaunti ya mteja wao, Francis Mroso. Mbele ya Hakimu Mwandamizi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Dk. Patricia Kisinda, Shahidi ambaye ni …

The post Shahidi kesi ya Sabaya athibitisha kutoa millioni 90 kwenye boksi appeared first on Bongo5.com.

Mazungumzo ya Biden na Xi Jinping: China yaionya Marekani dhidi ya kupigania uhuru wa Taiwan

Xi Jinping na Joe Biden wamefanya mkutano muhimu na kuzungumzia juu ya uhuru wa Taiwan.

Nguruwe Abakwa Akisubiri Kuchinjwa

MKAZI wa Kijiji cha Mavanga kilichopo katika kata ya Mavanga wilayani Ludewa mkoani Njombe anayefahamika kwa jina la Afro Nyigu (31) anashikiliwa na jeshi la polisi...

The post Nguruwe Abakwa Akisubiri Kuchinjwa appeared first on Global Publishers.

Marioo awapa makavu wasanii wakubwa Tanzania, hawataki kutu-support

Ameongea hayo kwenye post aliyoiweka Insta Stori yake akieleza namna wasanii wachanga wanavyokosa sapoti kutoka kwa kaka zao yaani wasanii wakubwa nchini. Alichoandika @marioo_tz unapa BIG YES 👍 OR BIG NO 👎 na kwanini..?

The post Marioo awapa makavu wasanii wakubwa Tanzania, hawataki kutu-support appeared first on Bongo5.com.

Milipuko miwili yaripotiwa katikati mwa jiji la Kampala Uganda

Ripoti zinaonyesha kuwa mlipuko mmoja ulitokea kwenye jumba la maduka karibu na kituo cha Polisi cha Central na mwingine karibu na Bunge

Marekani yakasirishwa na uchafu wa jaribio la makombora ya satelaiti ya Urusi

"Jaribio hilo hadi sasa limezalisha zaidi ya vipande 1,500 vya uchafu wa obiti unaofuatiliwa na mamia ya maelfu ya vipande vya uchafu mdogo wa obiti ambao sasa unatishia maslahi ya mataifa yote."

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Jumanne, Novemba 16, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Novemba 16, 2021. Usipitwe na Matukio, Install App Yako ya Kijanja...

The post Yasome Hapa Magazeti ya Leo Jumanne, Novemba 16, 2021 appeared first on Global Publishers.

Rais Samia Akutana Na Mkurugenzi Mtendaji Benki Ya Dunia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, leo Novemba 15, 2021 amekutana na kuzungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Sera za Maendeleo...

The post Rais Samia Akutana Na Mkurugenzi Mtendaji Benki Ya Dunia appeared first on Global Publishers.

Monday, November 15, 2021

Mwanafunzi Auawa Kisa Buku 3

Mwanafunzi wa kidato cha tatu shule ya Sekondari Suye jijini Arusha, Evance Florian (17) ameuawa kwa kipigo ikielezwa kuwa chanzo ni deni la Sh3000.  ...

The post Mwanafunzi Auawa Kisa Buku 3 appeared first on Global Publishers.

Mazoezi ya kijeshi ya pamoja kati ya Israel na mataifa ya Ghuba yaitia wasiwasi Iran

Mazoezi hayo ya siku tano katika bahari ya Red Sea yalishirikisha meli za kijeshi kutoka UAE , Bahrain na Marekani. Lilianza siku ya Jumatano na kushirikisha , kupanda , kusaka na mbinu za kuishika ili kuhakikisha kuna uhuru baharini.

MUSIC VIDEO: Vasmo – Unaniona 

Msanii wa muziki wa Gospel Tanzania, @vasmo_t ameachia video ya wimbo wake mpya wa ‘UNANIONA’ na anakukaribisha uitazame na uache maoni yako. Audio ya ngoma hii imetengenezwa na @gripamusic huku video ikiongozwa na @joowzeytz. Mtunzi wa wimbo huu ni @emmanuelgripa, Na maudhui ni kuwapa moyo wafanyabiashara wadogo wadogo, Unaweza kutazama full video kwa kubofya link …

The post MUSIC VIDEO: Vasmo – Unaniona  appeared first on Bongo5.com.

Pingamizi Jingine la Mbowe ‘Lauma Chuma’

Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Joachim Tiganga ametoa uamuzi kuhusu Shahidi aliyejitambulisha kama askari H4323 DC Msemwa wa kituo cha Polisi Oyster Bay ambaye...

The post Pingamizi Jingine la Mbowe ‘Lauma Chuma’ appeared first on Global Publishers.

Austria yatangaza Lockdown kwa watu ambao hawajachanjwa

Takriban watu milioni mbili ambao hawajachanjwa kikamilifu dhidi ya Covid-19 wamewekwa chini ya zuio la kutotoka nje nchini Austria huku nchi hiyo ikikabiliwa na kuongezeka kwa visa vya ugonjwa huo . “Hatuchukui hatua hii kirahisi, lakini kwa bahati mbaya ni muhimu,” Kansela Alexander Schallenberg alisema. Watu ambao hawajachanjwa wataruhusiwa tu kuondoka nyumbani kwa sababu chache, …

The post Austria yatangaza Lockdown kwa watu ambao hawajachanjwa appeared first on Bongo5.com.

Harmonize: Ulinalipa watu wanitukane bado unahitaji heshima gani

UJUMBE MTATA WA HARMONIZE KUPITIA INSTA STORY YAKE. Hicho ndicho alichoandika staa wa Bongo Fleva @harmonize_tz kupitia Insta Story yake , unahisi anamlenga msanii gani..?

The post Harmonize: Ulinalipa watu wanitukane bado unahitaji heshima gani appeared first on Bongo5.com.

Tajiri Aandaa Kufuru Yanga

KATIKA kuelekea usajili wa dirisha la Januari, mwaka huu wadhamini wa Yanga, Kampuni ya GSM, wamewahakikishia mashabiki wa timu hiyo kufanya usajili mkubwa na wa...

The post Tajiri Aandaa Kufuru Yanga appeared first on Global Publishers.

Wanajeshi wawili wa Uganda wahukumiwa kifo Somalia

Raia hao waliuawa kinyume cha sheria wakati wa mapigano ya risasi huko Golweyn kati ya wanajeshi wake na wanamgambo wa al-Shabab, AU inasema.

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa Wikienda kirahisi zaidi hapa

jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazet la Ijumaa Wikienda kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= iOS  https://apple.co/38HjiCx Android  http://bit.ly/38Lluc8...

The post Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa Wikienda kirahisi zaidi hapa appeared first on Global Publishers.

Maluma aupiga mwingi kwa Rayvanny, aonyesha upendo na ushirikiano wa hali ya juu

Tangu siku ya kwanza wanakutana ameonyesha ushirikiano na upendo mkubwa sana kwa @rayvanny hata namna walivyokuwa wakifunisha Kiswahili. Jambo hili limekuwa gumu sana kwa wasanii wakubwa kama @maluma kuonyesha upendo na ushirikiano kwa wasanii ambao hawana ukubwa kama wa kwao. @maluma unampa maksi ngapi kwa namna alivyoonyesha ushirikiano na @rayvanny ..?

The post Maluma aupiga mwingi kwa Rayvanny, aonyesha upendo na ushirikiano wa hali ya juu appeared first on Bongo5.com.

Wafungwa 68 wafariki dunia, 25 wajeruhiwa Ecuador (+Picha)

Mamlaka nchini Ecuador imesema kuwa kiasi cha wafungwa 68 wameuawa na wengine 25 kujeruhiwa wakati wa makabiliano kati ya magenge ya uhalifu katika gereza la Guayas N1 la mji wa bandari wa Guayaquil katika Pwani ya Pacifiki. Ofisi ya mwendesha mashtaka imesema kuwa idadi hiyo ya vifo ni kulingana na taarifa za awali na kuongeza …

The post Wafungwa 68 wafariki dunia, 25 wajeruhiwa Ecuador (+Picha) appeared first on Bongo5.com.

Saif al-Islam Gaddafi: Mwana wa kiume wa kiongozi wa zamani wa Libya kugombea urais

Saif al-Islam Gaddafi, ambaye anatafutwa na mahakama ya KimataIfa ya Uhalifu wa Jinai ICC, amejisajili kugombea urais.

Sunday, November 14, 2021

Stars Yatoshana Nguvu Na Madagascar, DR Congo Waongoza Kundi

TIMU ya taifa ya Tanzania leo Novemba 14 imelazimisha sare ya kufungana bao 1-1 mbele ya Madagascar kwenye mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia....

The post Stars Yatoshana Nguvu Na Madagascar, DR Congo Waongoza Kundi appeared first on Global Publishers.

Breaking: Vibanda Vyaungua Mwenge Wafanyabiashara Wakishuhudia -Video

 MOTO Mkubwa ambao chanzo chake kinadaiwa kuwa ni shoti ya umeme umeteketeza stendi ya Mabibo iliyopo Mwenge jijini Dar… ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL...

The post Breaking: Vibanda Vyaungua Mwenge Wafanyabiashara Wakishuhudia -Video appeared first on Global Publishers.

Mtoto wa Gaddafi awania urais Libya

Mtoto wa kiume wa kiongozi wa zamani wa Libya Muammar Gaddafi, Seif al- Islam ametangaza rasmi nia yake ya kuwania urais katika uchaguzi uliopangwa kufanyika mwezi Desemba. Seif al- Islam al-Gaddafi mwenye umri wa miaka 49, amejitokeza na kuonekana katika mkanda wa vidio uliotolewa na ofisi inayosimamia uchaguzi, akitia saini nyaraka katika kituo cha uchaguzi …

The post Mtoto wa Gaddafi awania urais Libya appeared first on Bongo5.com.

Makamu wa Rais Kuelekea Singapore Kushiriki Majadiliano ya Kiuchumi Leo

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango leo Novemba 14, 2021 anatarajia kuondoka Nchini kuelekea Sentosa Island Nchini Singapore kushiriki...

The post Makamu wa Rais Kuelekea Singapore Kushiriki Majadiliano ya Kiuchumi Leo appeared first on Global Publishers.

COP26: Mambo 5 muhimu katika makubaliano ya mwisho ya kilele cha mkutano wa mabadiliko ya tabia nchi

Nchi zilizoendelea pia zinahimizwa angalau kuongeza mara mbili kiasi cha ufadhili wa pamoja unaolenga kusaidia mataifa yanayoendelea kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa ifikapo 2025.

Wanajeshi watinga hoteli ya Taifa Stars Madagascar (+Video)

Hali ilivo Nchini Madagascar Wanajeshi wanataka kuwachukua wachezaji wa Taifa Stars kwa Nguvu wakisema wana corona (Aishi Manula,Mbwana Samatta na Bakari Mwamnyeto ). Ikumbukwe Tanzania ina kibarua jioni dhidi ya Madagascar mchezo wa kukamilisha ratiba hatua ya makundi ya kufuzu kombe la dunia. Kuangalia video bofya HAPA

The post Wanajeshi watinga hoteli ya Taifa Stars Madagascar (+Video) appeared first on Bongo5.com.

Nafasi ya kazi Abt Associates, Procurement Manager

Job Description Under the supervision of the Country Finance & Admin Manager, the Procurement Manager is responsible for the procurement function of the project. Specific duties...

The post Nafasi ya kazi Abt Associates, Procurement Manager appeared first on Global Publishers.

Rais Samia aalivyopokea kifimbo cha malkia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, apokea Kifimbo cha Malkia (Queen's Baton Relay) kama ishara ya uzinduzi wa michezo ya Jumuiya ya Madola, wakati kilipowasili Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 13 Novemba, 2021.  

The post Rais Samia aalivyopokea kifimbo cha malkia appeared first on Bongo5.com.

Buchosa Wafurahishwa na Kauli ya Bashe

Buchosa. Wananchi wa Jimbo la Buchosa wilaya ya Sengerema mkoa wa Mwanza wamefurahishwa na kauli ya Naibu Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe aliyoitoa jana Ijumaa,...

The post Buchosa Wafurahishwa na Kauli ya Bashe appeared first on Global Publishers.

Tuki-‘stop’ bodaboda tutapunguza ajali asilimia 70 – MOI

Usafiri maarufu, pendwa na wa haraka, bodaboda unatajwa kama chanzo cha  kuchangia ajali kwa asilimia 70 zinazotokea nchini Tanzania. Hayo yamebainishwa naMkurugenzi Mtendaji Taasisi ya Tiba ya Mifupa (MOI) Dk. Respicious Boniface, katika kongamano la tatu la kuzuia na kudhibiti magonjwa yasiyoambuliza Jijini Arusha Dk. Boniface amebainisha kuwa kati ya majeruhi 600 wa ajali kwa …

The post Tuki-‘stop’ bodaboda tutapunguza ajali asilimia 70 – MOI appeared first on Bongo5.com.

Saturday, November 13, 2021

Misri: Nge waua watatu na kujeruhi mamia huko Aswan

Watu watatu mpaka sasa wamethibitishwa kufariki na wengine 450 wamejeruhiwa kwa kuumwa na nge, afisa wa wizara ya afya Misri amesema.

Mikoa 11 Kukosa Umeme kwa Saa 12

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawafahamisha wateja wake kuwa, Jumatatu Novemba 15, 2021 kutakuwa na matengenezo ya njia ya kusafirisha umeme wa kilovolti 220 kutoka...

The post Mikoa 11 Kukosa Umeme kwa Saa 12 appeared first on Global Publishers.

Aunt, Kusah vs Ruby Kimeumana!

MAMBO yanazidi kuharibika baina ya mastaa watatu ambao mapenzi yamewatoa uvumilivu na kuwa kwenye vute nikuvute kisha kuanikana hadharani na sasa vita inazidi kuwa kali...

The post Aunt, Kusah vs Ruby Kimeumana! appeared first on Global Publishers.

Surua yaibuka Afghanistan, maelfu wafariki

Shirika la Afya Duniani, WHO, linasema maelfu ya Waafghani wameathirika na mripuko wa maradhi ya surua na karibu watu 100 wamefariki dunia mwaka huu. WHO inatahadharisha kwamba huenda watu wengi wakafariki dunia iwapo hatua za haraka hazitochukuliwa. Shirika hilo la afya limesema mripuko huo unatia hofu kwa kuwa Afghanistan kwa sasa inakabiliwa na tatizo kubwa …

The post Surua yaibuka Afghanistan, maelfu wafariki appeared first on Bongo5.com.

Nabi Anataka Rekodi ya Pasi Bongo

KOCHA wa Yanga, Nasrredine Mohamed Nabi, amefunguka kuwa anahitaji timu yake iwe na uwezo mkubwa zaidi wa kumiliki mpira na kuwa na rekodi ya kupiga...

The post Nabi Anataka Rekodi ya Pasi Bongo appeared first on Global Publishers.

KAGERA: Wanandoa wamuua bosi wao kwa kutowalipa mshahara

Wanandoa wawili ambao walikuwa wakifanya kazi za vibarua, wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Kagera kwa tuhuma za kumuua mwajiri wao Theopista Laurent, mwenye umri wa miaka 71 mkazi wa Kijiji cha Buharata wilaya ya Missenyi, wakidai kawatumikisha muda mrefu bila kuwalipa ujira wao. Kwa mujibu wa Eatv. Tv. Kamanda wa Polisi mkoani Kagera Awadhi …

The post KAGERA: Wanandoa wamuua bosi wao kwa kutowalipa mshahara appeared first on Bongo5.com.

Bandari ya Bagamoyo: Ujenzi wake umekumbwa na nini?

Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ulizinduliwa mwaka 2015, miaka minne baadae ukasimamishwa kwa madai ya kuwa na masharti ya 'hovyo, lakini Rais Samia Suluhu amefufua matumaini ya kuendelezwa ujenzi wake utakagharimu zaidi ya dola bilioni 10 za kimarekani.

Yasome Hapa Magazeti ya Leo, Novemba 13, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Novemba 13, 2021. Usipitwe na Matukio, Install App Yako ya Kijanja...

The post Yasome Hapa Magazeti ya Leo, Novemba 13, 2021 appeared first on Global Publishers.

Nunua na Soma Gazeti la Championi kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la championi kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= iOS : https://apple.co/38HjiCx Android : http://bit.ly/38Lluc8 Nunua...

The post Nunua na Soma Gazeti la Championi kirahisi zaidi hapa appeared first on Global Publishers.

Watoto 3,524 Wamebakwa, 637 Wamelawitiwa, 130 Wamechomwa Moto

Jumla ya watoto 6,168 wamefanyiwa ukatili wa kijinsia kati ya Januari hadi Desemba 2021, Bunge limeelezwa leo Ijumaa Novemba 12, 2021. Kati ya hao, watoto wa...

The post Watoto 3,524 Wamebakwa, 637 Wamelawitiwa, 130 Wamechomwa Moto appeared first on Global Publishers.

Friday, November 12, 2021

Aliyezawadiwa Kitabu cha Shigongo Afunguka

MWANDISHI mahiri wa vitabu Afrika Mashariki na Kati, Eric Shigongo, kupitia magazeti bora ya michezo ya Spoti Xtra na Championi, anatoa zawadi za vitabu kwa...

The post Aliyezawadiwa Kitabu cha Shigongo Afunguka appeared first on Global Publishers.

Maisha gerezani: Kwa nini magereza ya Amerika ya Kusini yana msongamano mkubwa?

Ghasia za magereza mwishoni mwa mwezi Septemba na kusababisha vifo vya takriban watu 120 nchini Ecuador ni tukio la tatu la aina hiyo ambalo nchi hiyo ya Amerika Kusini imeshuhudia katika kipindi cha mwaka huu pekee. Lakini Ecuador kuna hali mbaya zaidi kwenye ukanda huo.

Nafasi ya Kazi DANGOTE, Deputy Manager Electrical (Power Plant)

Description   Managing any power plant/process plant electrical systems planning, resourcing, execution of preventive& breakdown maintenance activities. Managing operation &maintenance, testing & functional troubleshooting/ repair...

The post Nafasi ya Kazi DANGOTE, Deputy Manager Electrical (Power Plant) appeared first on Global Publishers.

Bamba Tanzania Kero Zinaendelea

RIPOTI kutoka mtaani inasema kuwa huduma ya Miito Bomba kutoka Bamba Tanzania imekuwa ikishika kasi na mashabiki mbalimbali wamekuwa wakijiunga na huduma hiyo.   Mashabiki...

The post Bamba Tanzania Kero Zinaendelea appeared first on Global Publishers.

Live: Ndugai Amwonya Jenerali Ulimwengu, | Uhaba Mafuta, Front Page

 KARIBU Utazame ‘255 FRONT PAGE’ Kipindi bora cha Asubuhi kutoka Global Radio, ujipatie uchambuzi wa masuala mbalimbali ya kisiasa pamoja na yale yaliyojiri katika...

The post Live: Ndugai Amwonya Jenerali Ulimwengu, | Uhaba Mafuta, Front Page appeared first on Global Publishers.

Rais Kagame: 'Tutaingilia popote ili kulinda amani na Usalama'

Rwanda imepeleka wanajeshi wake karibu 1,000 nchini Msumbiji, kama hatua ya kusaidia kukabiliana na ugaidi kwneye jimbo la Cabo Delgado, Kaskazini mwa nchi hiyo.

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la Ijumaa kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= iOS : https://apple.co/38HjiCx...

The post Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa kirahisi zaidi hapa appeared first on Global Publishers.

IGP Sirro Apangua Baadhi ya Makamanda wa Polisi wa Mikoa

The post IGP Sirro Apangua Baadhi ya Makamanda wa Polisi wa Mikoa appeared first on Global Publishers.

Thursday, November 11, 2021

Tiba mbadala zitumike hospitali – Prof. Ndalichako

Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia imeshauri tiba mbadala ziingizwe kwenye mfumo rasmi wa matibabu nchini katika kutibu magonjwa yasiyoambukiza. Hayo yameelezwa katika hotuba ya Waziri wa Elimu Prof. Joyce Ndalichako, iliyosomwa na Naibu Katibu Mkuu wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. James Mdoe, katika ufunguzi wa Kongamano la tatu la Kuzuia na Kudhibiti magonjwa …

The post Tiba mbadala zitumike hospitali – Prof. Ndalichako appeared first on Bongo5.com.

Wawili Watupwa Jela kwa Kufanya Ngono Barabarani

WAPENZI wawili Hafashimana Paskari (29) mkazi wa Kijiji cha Migeshi, Rwaramba nchini Unganda na mwanadada Muhawenimana Colodine Mukamurenzi (24) mkazi wa Kijiji cha Nyakinama wamehukumiwa...

The post Wawili Watupwa Jela kwa Kufanya Ngono Barabarani appeared first on Global Publishers.

Moto wa Ajabu Wailaza Nje Familia

Familia mmoja Manispaa ya Musoma Mkoani Mara imelazimika kulala nje kutokana na nyumba waliyokuwa wanaishi kuwaka moto wa ajabu ambao unaunguza Nguo,Magodoro na baadhi ya...

The post Moto wa Ajabu Wailaza Nje Familia appeared first on Global Publishers.

FW de Klerk:Rais wa zamani wa Afrika Kusini afariki akiwa na umri wa miaka 85

FW de Klerk, rais wa zamani wa Afrika Kusini na mzungu wa mwisho kuiongoza nchi hiyo, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 85.

DRC: Watoto takribani 7000 wameugua ugonjwa usiojulikana

Afisa wa afya katika Jimbo la Kwilu, takriban kilomita 680, mashariki mwa Mji Mkuu wa DRC, Kinshasa alimeviambia vyombo vya habari kuwa karibu watoto 7,000 waliambukizwa na kwa sasa wanatibiwa. Dalili ni pamoja na homa kali na kuhara. Mlipuko huo ulianza Agosti mwaka huu. Novemba 7 mwaka jana, sampuli zilifika katika Taasisi ya Kitaifa ya …

The post DRC: Watoto takribani 7000 wameugua ugonjwa usiojulikana appeared first on Bongo5.com.

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la spotixtra kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= iOS : https://apple.co/38HjiCx Android : http://bit.ly/38Lluc8 Nunua...

The post Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi hapa appeared first on Global Publishers.

Barakah The Prince – Namkumbuka (Official Music Video)

 Msanii wa Bongo Fleva, Barakah Da Prince Novemba 11, 2021 ameachia video ya ‘Namkumbuka’ ambayo inaendelea kufanya vizuri kwenye mtandao wa Youtube.

The post Barakah The Prince – Namkumbuka (Official Music Video) appeared first on Global Publishers.

Boeing kuwafidia waliopoteza ndugu katika ajali ya ndege ya Ethiopia

Boeing imefikia makubalano na familia za watu waliopoteza wapendwa wao 157 katika ajali ya ndege ya Ethiopia 737 Max iliyopata ajali mwaka 2019.

Yasome Hapa Magazeti ya Leo, Novemba 11, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Novemba 11, 2021. Usipitwe na Matukio, Install App Yako ya Kijanja...

The post Yasome Hapa Magazeti ya Leo, Novemba 11, 2021 appeared first on Global Publishers.

United yajipanga kumuuza Pogba, tetesi zote za soka Ulaya hizi hapa

Manchester United wanajiandaa kumuuza kiungo wa kati wa Ufaransa Paul Pogba, 28, mwezi Januari dirisha la uhamisho litakapofunguliwa, kabla ya mkataba wake kumalizika mwisho wa msimu huu. (Star) Kocha wa Leicester City Brendan Rodgers anapigiwa upato kuchukua nafasi ya Ole Gunnar Solskjaer kama meneja wa Manchester United. (Eurosport) Everton na Newcastle United wanataka kumsajili kiungo …

The post United yajipanga kumuuza Pogba, tetesi zote za soka Ulaya hizi hapa appeared first on Bongo5.com.

Mbosso ft Zuchu – For Your Love (Galagala) Music Video

 Staa wa muziki wa Bongo Fleva, Mbosso ameachia video yake ya wimbo wake mpya wa For Your Love (Galagala) ambao amemshirikisha Mwanadada wa moto...

The post Mbosso ft Zuchu – For Your Love (Galagala) Music Video appeared first on Global Publishers.

Kampuni ya simu Infinix kutambulisha toleo la NOTE 11 Novemba 11

Kampuni ya simu Infinix inaonekana kutumia njia mbalimbali kufikisha ujumbe Kwa wateja wake. Hivi punde Infinix imeonekana kuweka post kupitia kurasa ya @infinixmobiletz zinazoashiria ujio wa Infinix NOTE 11 na Infinix NOTE 11 pro zikiwa na sifa hizi AMOLED DISPLAY 6.7 fhd+ na Gaming processor Helio G96. Muitikio ukoje? Muitikio unaonekana ni mkubwa kiasi ya …

The post Kampuni ya simu Infinix kutambulisha toleo la NOTE 11 Novemba 11 appeared first on Bongo5.com.

Wednesday, November 10, 2021

Championi, Spoti Xtra Yamwaga Zawadi ya Vitabu vya Shigongo

DROO ya kwanza ya promosheni ya Shinda Zawadi ya Kitabu cha Shigongo, imefanyika leo Novemba 10, 2021 ambapo jumla ya washindi watano wamepatikana, huku Dar...

The post Championi, Spoti Xtra Yamwaga Zawadi ya Vitabu vya Shigongo appeared first on Global Publishers.

Niger: Watoto 25 wamefariki baada ya darasa kuungua moto

Watoto wapatao 25 wenye umri kati ya miaka mitano na sita wamefariki baada ya darasa lao kuungua moto. Wengine kadhaa walijeruiwa wakati wa ajali hiyo ya moto ambayo ilitokea Jumatatu asubuhi wakati watoto wakiwa darasani wakisoma katika shule iliyopo eneo la Maradi. Chanzo cha moto huo bado hakijafahamika bado. Nchini Niger, madarasa huwa yanajaa na …

The post Niger: Watoto 25 wamefariki baada ya darasa kuungua moto appeared first on Bongo5.com.

Beki Ampigia Magoti Bosi Simba

BEKI wa kimataifa wa Simba, raia wa DR Congo, Enock Inonga kabla ya kwenda kuungana na kikosi cha timu yake ya Taifa ya DR Congo,...

The post Beki Ampigia Magoti Bosi Simba appeared first on Global Publishers.

Stanislav Petrov: Mtu ambaye aliokoa dunia

Huu ulikuwa wakati ambapo mishipa ya mtu ilikuwa inakaribia kapasuka. Kulingana na mwana wa Luteni Stanislav Petrov -mwanamume aliyezuia uwezekano wa vita vya kinyuklia mwaka 1983.

Kocha Mpya Simba Alivyotua Dar Leo -Video

Kocha mpya wa Simba, Pablo Franco Martine amewasili nchini Tanzania leo saa 4:00 asubuhi akitokea kwao Hispania kupitia Dubai-Zanzibar kisha Dar es Salaam.

The post Kocha Mpya Simba Alivyotua Dar Leo -Video appeared first on Global Publishers.

Magari yanayotumia mafuta mwisho 2040, wanaoyatengeneza waahidi 

Makampuni sita ya magari yataahidi kusita kutengeneza magari yanayotumia mafuta ifikapo mwaka 2040, katika mkutano wa kilele wa mabadiliko ya tabianchi COP26 ili kupunguza uzalishaji wa gesi chafu. Duru zinazohusika na makubaliano hayo zimesema kwamba makampuni mawili makubwa ya magari ya Toyota na Volkswagen pamoja na masoko makuu ya magari nchini China, Marekani na Ujerumani …

The post Magari yanayotumia mafuta mwisho 2040, wanaoyatengeneza waahidi  appeared first on Bongo5.com.

Ligi ya England, jee Liverpool kuwemo nne bora?

Baada ya kumtimua Roy Hodgson na nafasi yake kuchukuliwa na Kenny Dalglish, Liverpool sasa inaanza kurejea katika eneo lake la msimamo wa Ligi kuu ya Soka ya England.

Alipochukua nafasi ya umeneja Kenny Dalglish, bado Liverpool ilikuwa haijazinduka kutoka usingizini, ila sasa ukungu wa kuona nyavu za wapinzani machoni mwa wachezaji umetoka na wanafunga katika karibu kila mechi, mfungaji wao mkuu akiwa Raul Meireles.

Hivi karibuni waliilaza Fulhma bao 1-0, baadae wakashukia Stoke kwa mabao 2-0 na mfupa mkubwa uliokuwa pengine ukiwatia hofu mashabiki wake, Chelsea, wakauweza baada ya kushinda ugenini bao 1-0.

Kinachoonekana ni Liverpool wanaelekea kurejea eneo lao la nne bora kwani kwa sasa wanashikilia nafasi ya sita ya msimamo wa ligi.

Jee kasi hii itadumu hadi mwishoni mwa Ligi, nionavyo mimi wanazidi kuimarika kila kukicha na hilo linawezekanha.

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Jumatano, Novemba 10, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Novemba 10, 2021. Usipitwe na Matukio, Install App Yako ya Kijanja...

The post Yasome Hapa Magazeti ya Leo Jumatano, Novemba 10, 2021 appeared first on Global Publishers.

WARIDI WA BBC : Nilipofika Gerezani , lilikuwa sio jambo rahisi kumtazama baba ana kwa ana

Damaris Kimani anapoyasimulia maisha yake, unaweza kufikiria kana kwamba unafuatilia sinema ya maisha , lakini ni hali halisi aliyoishi katika maisha ya miaka 21 ya uhai wake.

Tuesday, November 2, 2021

COP26: Viongozi wa Ulimwengu waahidi kukomesha ukataji miti kufikia 2030

Wataalamu walikaribisha hatua hiyo, lakini walionya mpango wa awali mwaka 2014 "umeshindwa kupunguza ukataji miti hata kidogo" na kujitolea kunahitajika kutekelezwa.

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Jumanne Novemba 2, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Novemba 2, 2021. Usipitwe na Matukio, Install App Yako ya Kijanja...

The post Yasome Hapa Magazeti ya Leo Jumanne Novemba 2, 2021 appeared first on Global Publishers.

Ligi ya England, jee Liverpool kuwemo nne bora?

Baada ya kumtimua Roy Hodgson na nafasi yake kuchukuliwa na Kenny Dalglish, Liverpool sasa inaanza kurejea katika eneo lake la msimamo wa Ligi kuu ya Soka ya England.

Alipochukua nafasi ya umeneja Kenny Dalglish, bado Liverpool ilikuwa haijazinduka kutoka usingizini, ila sasa ukungu wa kuona nyavu za wapinzani machoni mwa wachezaji umetoka na wanafunga katika karibu kila mechi, mfungaji wao mkuu akiwa Raul Meireles.

Hivi karibuni waliilaza Fulhma bao 1-0, baadae wakashukia Stoke kwa mabao 2-0 na mfupa mkubwa uliokuwa pengine ukiwatia hofu mashabiki wake, Chelsea, wakauweza baada ya kushinda ugenini bao 1-0.

Kinachoonekana ni Liverpool wanaelekea kurejea eneo lao la nne bora kwani kwa sasa wanashikilia nafasi ya sita ya msimamo wa ligi.

Jee kasi hii itadumu hadi mwishoni mwa Ligi, nionavyo mimi wanazidi kuimarika kila kukicha na hilo linawezekanha.

Blog ya Bongo5.com yatajwa kuwania tuzo za AEAUSA na blog hizi za nje ya Tanzania

Mbali na kutajwa wasanii mbalimbali kuwania tuzo ambazo hufanyika kila mwaka zinazotolewa na jarida kutoka nchini Marekani la African Entertainment Awards USA AEAUSA kwa mwaka 2021. Blog kutoka Tanzania ya Bongo.com imekuwa ni blog pekee kutoka nchini kutajwa katika tuzo hizo ambapo ipo katika kipengele cha BEST DIGITAL NEWS PLATFORM ambapo inachuana na blog hizi:- …

The post Blog ya Bongo5.com yatajwa kuwania tuzo za AEAUSA na blog hizi za nje ya Tanzania appeared first on Bongo5.com.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...