Friday, December 31, 2021

Mvutano wa Ukraine: Putin amwambia Biden vikwazo vipya vinaweza kuvunja uhusiano

Kuwepo kwa wanajeshi hao kumezua wasiwasi katika nchi za Magharibi, huku Marekani ikimtishia Bw Putin kwa vikwazo "kama ambavyo hajawahi kuviona" ikiwa Ukraine itashambuliwa.

Kesho tutakutana na timu ngumu – Kocha Pablo, kuhusu Simba SC Vs Azam 

Mabingwa watetezi wa ligi kuu Tanzania Bara, Simba SC hapo kesho watakuwa na kibarua kizito cha kuwavaa matajiri wa jiji la Dar es Salaam Azam FC kwenye utakaopigwa katika dimba la Mkapa.   Kuelekea mchezo huo Kochha Mkuu wa Mabingwa hao wa Nchi, Pablo Franco amsema kuwa hapo kesho watakutana na timu ngumu hivyo wanahitaji …

The post Kesho tutakutana na timu ngumu – Kocha Pablo, kuhusu Simba SC Vs Azam  appeared first on Bongo5.com.

🔴#LIVE: Dodoma Jiji Wakiwasili Kwa Kishindo Kwa Mkapa, Tayari Kuvaana Na Yanga SC..



The post 🔴#LIVE: Dodoma Jiji Wakiwasili Kwa Kishindo Kwa Mkapa, Tayari Kuvaana Na Yanga SC.. appeared first on Global Publishers.

MUSIC VIDEO: Plan Madini – Niroge

Anaitwa Plan Madini moja kati ya wasanii wa muziki wa Bongo Fleva waliofanya vizuri sana kwenye gemu kwa mwaka 2021. Hapa anakukaribisha ufunge mwaka kwa kutazama video ya wimbo wake mpya wa ‘NIROGE’. Mdundo umegongwa na Java na kufanyiwa mixing na Mr T Touch, Huku video ikiongozwa na Joowzey. Gusa link hapa chini kutazama video …

The post MUSIC VIDEO: Plan Madini – Niroge appeared first on Bongo5.com.

Namungo Watangaza Makocha Wapya

Klabu ya Namungo imetangaza benchi jipya la ufundi la klabu hiyo. Imemtambulisha Hanour Janza ambaye ni raia wa Zambia kuwa Kocha Mkuu wa klabu hiyo...

The post Namungo Watangaza Makocha Wapya appeared first on Global Publishers.

Rais wa zamani Afghanistan akanusha kuondoka na mamilioni ya fedha

Rais wa zamani wa Afghanistan Ashraf Ghani amesema hakuwa na chaguo jingine ila kuondoka haraka Kabul wakati Wataliban waliukaribia mji huo mkuu. Ghani amekanusha kuwa kulikuwa na mazungumzo yaliyokuwa yanaendelea wakati huo ya makubaliano ya kuwachia madaraka kwa amani, kama walivyodai maafisa wa zamani wa Afghanistan na Marekani. Katika mahojiano na shirika la utangazaji la …

The post Rais wa zamani Afghanistan akanusha kuondoka na mamilioni ya fedha appeared first on Bongo5.com.

CCM Wamkomalia Ndugai

SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai ameendelea kukaliwa 'koo' na chama chake baada ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Singida kusema, hakitakubali kuona...

The post CCM Wamkomalia Ndugai appeared first on Global Publishers.

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Desemba 31, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Desemba 31, 2021. Usipitwe na Matukio, Install App Yako ya Kijanja...

The post Yasome Hapa Magazeti ya Leo Desemba 31, 2021 appeared first on Global Publishers.

Ibrahim Ajib Asajiliwa Azam FC, Atangazwa Rasmi

KIUNGO wa mpira Ibrahim Ajib baada ya kusitisha mkataba wake na mabosi wake wa zamani Simba ametambulishwa ndani ya kikosi cha Azam FC.   Ajib...

The post Ibrahim Ajib Asajiliwa Azam FC, Atangazwa Rasmi appeared first on Global Publishers.

Charles Hilary Ateuliwa Ikulu

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Mwinyi, amemteua Charles Martin Hilary kuwa Mkurugenzi wa Idara ya mawasiliano Ikulu Zanzibar. Taarifa...

The post Charles Hilary Ateuliwa Ikulu appeared first on Global Publishers.

Mbaroni kwa Kukutwa na Dola Bandia

JESHI la Polisi Mkoa wa Tabora limemkamata mwanaume mmoja aliyefahamika kwa jina la Edson Mathayo (33) mkazi wa Ndalla Tabora akituhumiwa kukutwa na noti bandia...

The post Mbaroni kwa Kukutwa na Dola Bandia appeared first on Global Publishers.

Siasa za Tanzania: Majibizano ya Spika Ndugai na Rais Samia na fukuto la siasa za 2022 na 2025.

Hali hii inaweza kuongeza wasiwasi juu ya uhalisia wa tarakimu za kiuchumi zilizoko hadharani dhidi ya kile kinachoongelewa na viongozi wawili hawa

Thursday, December 30, 2021

Ashraf Ghani: Rais wa zamani wa Afghanistan asimulia Taliban walivyomfanya atoroke nchi

Ashraf Ghani amefichua jinsi alivyoamka asubuhi ya Agosti 15 bila "kujua" itakuwa siku yake ya mwisho nchini Afghanistan.

Fanmi Ayike: Mhandisi, muimbaji anayezungumzia ‘Ife’ mapenzi

Miongoni mwa wasanii wa Injili na wenye ushawishi mkubwa kwenye jamii na anafanya vyema ndani na nje ya nchini ya Nigeria basi hutokosa kumtaja Injinia, dokta na Balozi, OlufunmilayoWaheed-Adekojo maarufu kama Funmi Ayinke. Funmi Ayinke ambaye kwa sasa anatamba na wimbo wake mpya wa 'IFE' (The Only Thing That Matters) ambao ni wimbo unaopatikana kwenye …

The post Fanmi Ayike: Mhandisi, muimbaji anayezungumzia 'Ife' mapenzi appeared first on Bongo5.com.

Siasa za Tanzania: Majibizano ya Spika Ndugai na Rais Samia na fukuto la siasa za 2022 na 2025

Hali hii inaweza kuongeza wasiwasi juu ya uhalisia wa tarakimu za kiuchumi zilizoko hadharani dhidi ya kile kinachoongelewa na viongozi wawili hawa

Ibrahim Ajibu atua Azam FC

Uongozi wa klabu ya Azam FC umethibitisha kumsajili aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Simba SC, Ibrahim Ajib ‘Cadabra’ kwa kandarasi ya mwaka mmoja. ”Tumeingia mkataba wa mwaka mmoja na kiungo mshambuliaji, Ibrahim Ajibu ‘Cadabra’. Karibu Azam FC, fundi wa mpira! @ibrahimajibu23! ,” – Ujumbe kutoka Azam FC. Wakati huo kwa upande wa Msimbazi Simba SC imethibitisha …

The post Ibrahim Ajibu atua Azam FC appeared first on Bongo5.com.

Tutajie maproducer watano waliofanya vizuri 2021

Ngoma zote unazoziona zinafanya vizuri katika muziki ujue zimetayarishwa na maproducers wa hapa hapa Tanzania na wengine wa nje. Tunataka kujua ukiwa kama shabiki na mdau ni maproducer gani/watayarishaji wapi wa muziki waliofanya vizuri kwa mwaka 2021.

The post Tutajie maproducer watano waliofanya vizuri 2021 appeared first on Bongo5.com.

Sakata la Deni la Taifa “Tukope Tusikope”?

MGONGANO wa mawazo kuhusu nchi kukopa au kutokukopa uliojitokeza kati ya Spika wa Bunge, Job Ndugai na Rais Samia Suluhu Hassan umezidi kushika kasi.  ...

The post Sakata la Deni la Taifa “Tukope Tusikope”? appeared first on Global Publishers.

Ghislaine Maxwell akutwa na hatia kumsaidia Jeffrey Epstein kuwanyanyasa kingono wasichana

Maxwell hakuonyesha dalili zozote za hisia wakati hukumu hiyo ikisomwa siku ya Jumatano, akimimina tu glasi ya maji ambayo aliivuta mara mbili.

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Desemba 30, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Desemba 30, 2021. Usipitwe na Matukio, Install App Yako ya Kijanja...

The post Yasome Hapa Magazeti ya Leo Desemba 30, 2021 appeared first on Global Publishers.

Je, chanjo za mRNA zinaweza kutufanya kuwa na nguvu zaidi ya binadamu?

Ni mabadiliko makubwa kiasi kwamba inazua maswali makubwa sana, ya kusisimua: je, chanjo za mRNA zinaweza kutoa tiba ya saratani, VVU, magonjwa ya kitropiki, na hata kutupa kinga ya kipekee kuliko ile ya binadamu?

Uchimbaji salama wa migodi ni ajenda ya kudumu – Dkt. Biteko (+Video)

Wachimbaji wa madini wametakiwa kuzingatia uchimbaji salama katika maeneo ya migodi yao ili waweze kufanya shughuli za uchimbaji madini kwa tija na migodi iendelee kubaki salama. Hayo yamesemwa na Waziri wa Madini Dkt. Doto Biteko Desemba 29, 2021 alipokutana na kuzungumza na wachimbaji wa madini ya dhahabu katika eneo la machimbo la  Nyamalimbe Makarashani lililopo …

The post Uchimbaji salama wa migodi ni ajenda ya kudumu – Dkt. Biteko (+Video) appeared first on Bongo5.com.

Wednesday, December 29, 2021

Rasmi: Mshery Mali ya Wananchi

KLABU ya Yanga imemtambulisha rasmi golikipa wao mpya, Aboutwalib Hamidu Mshery ambaye amesajiliwa katika dirisha hili dogo la usajili akitokea Mtibwa Sugar.   Utambulisho huo...

The post Rasmi: Mshery Mali ya Wananchi appeared first on Global Publishers.

Diwani Mstaafu Mtarawanje ashinda kesi ya rushwa iliyokuwa ikimkabili kwa miaka 2

ALIYEWAHI kuwa Diwani wa Kata ya Kijichi Manispaa ya Temeke jijini Dar es Salaam, Elias Mtarawanje ameshinda kesi iliyochukua takriban miaka miwili iliyokuwa inamkabili ya tuhuma za kupokea rushwa kwa nyakati tofauti na hivyo kuachiwa huru. Akizungumza na mwandishi wa habari hizi jijini Dar es salaam Wakili Dkt Aloys Rugazia ambaye amesimamia shauri la Mtarawanje …

The post Diwani Mstaafu Mtarawanje ashinda kesi ya rushwa iliyokuwa ikimkabili kwa miaka 2 appeared first on Bongo5.com.

92 Wafariki kwa Virusi vya LASSA

WATU 92 raia wa Nigeria wamefariki kuanzia Januari 2021 mpaka sasa kutokana na virusi vya Lassa. Taarifa zinaeleza kua majimbo ya Bauchi na Ebonyi yanaongoza...

The post 92 Wafariki kwa Virusi vya LASSA appeared first on Global Publishers.

Anayedaiwa kumuua mama yake mzazi Arusha, anatoa ushirikiano mzuri kwa polisi (+ Video)

Polisi mkoa wa Arusha wamesema kwamba mtoto anayetuhumiwa kumuua mama yake ambaye alikuwa mfanyabiashara wa madini aitwaye Ruth Mmasi, na kisha kumtupa kwenye shimo la choo, anaendelea kutoa ushirikiano kwa polisi hali iliyopelekea kupata baadhi ya vielelezo vinavyohusiana na tukio hilo.   Taarifa hiyo imetolewa leo Desmba 28, 2021, na Kamanda wa Polisi mkoa wa …

The post Anayedaiwa kumuua mama yake mzazi Arusha, anatoa ushirikiano mzuri kwa polisi (+ Video) appeared first on Bongo5.com.

Mukoko Agomea Mkataba Mpya Yanga

HABARI si njema kwa mashabiki wa Yanga kutokana na kudaiwa kuwa kiungo mkabaji wa timu hiyo, MukokoTonombe kugomea mkataba mpya kikosini hapo. Mukoko ndani ya...

The post Mukoko Agomea Mkataba Mpya Yanga appeared first on Global Publishers.

Je, chanjo za mRNA zinaweza kutufanya kuwa 'Superhuman'?

Ni mabadiliko makubwa kiasi kwamba inazua maswali makubwa sana, ya kusisimua: je, chanjo za mRNA zinaweza kutoa tiba ya saratani, VVU, magonjwa ya kitropiki, na hata kutupa kinga ya kipekee kuliko ile ya binadamu?

#LIVE: Samia, Ndugai lugha Gongana, Sakata la Nabii Mwingira Giza Nene | FRONT

SAMIA, NDUGAI LUGHA GONGANA, SAKATA LA NABII MWINGIRA GIZA NENE, POLISI YATOA TAMKO | FRONT Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi, Front Page. Hapa utapata...

The post #LIVE: Samia, Ndugai lugha Gongana, Sakata la Nabii Mwingira Giza Nene | FRONT appeared first on Global Publishers.

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Desemba 29, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Desemba 29, 2021. Usipitwe na Matukio, Install App Yako ya Kijanja...

The post Yasome Hapa Magazeti ya Leo Desemba 29, 2021 appeared first on Global Publishers.

Kanye Anunua Mjengo wa Bilioni 10

Rapa Kanye West ameripotiwa kununua Nyumba yenye thamani ya Dola milioni 4.5 (sawa na zaidi ya Tsh Bilioni 10) kando ya nyumba anayoishi aliyekuwa mke...

The post Kanye Anunua Mjengo wa Bilioni 10 appeared first on Global Publishers.

Tuesday, December 28, 2021

Waziri Biteko atoa siku saba kwa wamiliki wa mashamba na wenye leseni za uchimbaji kutatua migogoro (+Video)

Waziri wa Madini, Dk Dotto Biteko amewaagiza wamiliki wa mashamba na wenye leseni za uchimbaji mpaka ifikapo Januari 7, 2022 wawe wamefikia makubaliano ya kumaliza migogoro waliyonayo ili kuwezesha shughuli za uchimbaji madini kuendelea katika eneo hilo. Dk. Biteko ametoa agizo hilo leo Jumanne Desemba 28, 2021 wakati akizungumza na wachimbaji katika eneo la Kinyambwiga lililopo Kata …

The post Waziri Biteko atoa siku saba kwa wamiliki wa mashamba na wenye leseni za uchimbaji kutatua migogoro (+Video) appeared first on Bongo5.com.

Jionee Hapa Makundi ya Ligi ya Mabingwa

LEO Desemba 28, 2021 makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika na tayari timu ambazo zimetinga kwenye hatua ya makundi yapo namna hii:-

The post Jionee Hapa Makundi ya Ligi ya Mabingwa appeared first on Global Publishers.

Rais Samia: Kwa njia yoyote tutakopa tutaangalia njia rahisi zitakazotufaa

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema kwa vyovyote itakavyokuwa ni lazima ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) kutoka jijini Dar es Salaam hadi mkoani Mwanza ukamilike kwa wakati na fedha zitakazotumika ni mikopo yenye masharti nafuu.

Hakuna miradi iliyosimama, waliodhani tutasimamisha miradi ili wapate ya kusema hilo suala halipo – Rais Samia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema kuwa miradi yote iliyoanzishwa inaendelea na hakuana miradi iliyosimama hivyo waliodhani miradi itasimama ili kupata cha kusema hilo swala halipo. Rais Samia ameyasema hayo hii leo Ikulu jijini Dar es Salaam katika hafla ya utiaji saini mkataba wa ujenzi …

The post Hakuna miradi iliyosimama, waliodhani tutasimamisha miradi ili wapate ya kusema hilo suala halipo – Rais Samia appeared first on Bongo5.com.

Yanga SC: Sure Boy Sio wa Majaribio

UONGOZI wa Klabu ya Yanga umetamba kuwa usajili wa dirisha dogo ambao wanaendelea kuufanya sio wa wachezaji wa majaribio, bali wanashusha vyuma kweli ambavyo vinakuja...

The post Yanga SC: Sure Boy Sio wa Majaribio appeared first on Global Publishers.

Mauaji Ya Wanandoa Nchini Zambia Siku Ya Christmas

  Steven Yamba(44) mfanyabiashara wa nchini Zambia ameripotiwa kumshushia kipigo kikali mke wake wa ndoa Kangwa Mwango(33) na kufariki asubuhi saa tatu juzi tarehe 25...

The post Mauaji Ya Wanandoa Nchini Zambia Siku Ya Christmas appeared first on Global Publishers.

Covid: Ufaransa yazidisha vikwazo huku ongeko la Omicron likiripotiwa

Sheria mpya pia ni pamoja na mipaka ya mikusanyiko ya nje ya umma - ambayo itazuiliwa kwa watu 5,000 - na marufuku ya kula na kunywa kwenye safari za mwendo mrefu.

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Desemba 28, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Desemba 28, 2021. Usipitwe na Matukio, Install App Yako ya Kijanja...

The post Yasome Hapa Magazeti ya Leo Desemba 28, 2021 appeared first on Global Publishers.

Rais Farmajo atangaza tena kumsimamisha kazi Waziri Mkuu Roble

Rais wa Somalia anayemaliza muda wake Mohamed Abdullahi Farmajo anasema amemsimamisha kazi Waziri Mkuu wa Somalia Mohamed Hussein Roble, ambaye aliongoza mchakato wa uchaguzi, kufuatia madai ya "ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka."

Monday, December 27, 2021

Kenya: Baba Aua Mwanaye Kwa Kumsumbua Usingizini

Wapelelezi kutoka Idara ya Makosa ya Jinai (DCI) wamefichua kwamba wamemkamata mzee wa miaka 73, James Tarus, kwa kumuua mwanae. Kijana huyo ambaye alikuwa mlevi...

The post Kenya: Baba Aua Mwanaye Kwa Kumsumbua Usingizini appeared first on Global Publishers.

Data zaonyesha idadi ya ‘views’ anaopata Diamond kupitia nyimbo zake YouTube yashuka kwa kipindi cha miaka 2(Video)

Diamond Platnumz ambaye ni Rais wa WCB, ni msanii anayeongoza kwa kupata views wengi kupitia kazi zake za muziki anazoziweka katika mtandao wa YouTube licha ya idadi ya views kushuka maradufu kutoka mwaka 2019 hadi mwaka 2021. Nyimbo zake mpya katika pindi cha mwaka 2020, 2021 zimeshindwa kupata views wengi YouTube hali ambayo imeanza kuzua …

The post Data zaonyesha idadi ya ‘views’ anaopata Diamond kupitia nyimbo zake YouTube yashuka kwa kipindi cha miaka 2(Video) appeared first on Bongo5.com.

Mfanyabiashara wa Madini Aliyedaiwa Kuuawa na Mwanaye Azikwa – Video

MFANYABIASHARA wa madini ya Tanzanite, Ruth Mmassy anayedaiwa kuuawa na mtoto wake amezikwa leo Jumatatu Desemba 27, 2021 katika kijiji cha Mikungani, Wilayani Arumeru, Mkoani...

The post Mfanyabiashara wa Madini Aliyedaiwa Kuuawa na Mwanaye Azikwa – Video appeared first on Global Publishers.

Rais Samia afanya teuzi kadhaa ikiwemo ya Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi

Rais Samia Suluhu amemteua Jaji Jacob Mwambegele kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), akichukua nafasi ya Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufani, Semistocles Kaijage ambaye amemaliza muda wake. Jaji Mwambegele ni Jaji wa Mahakama ya Rufani na Mjumbe wa NEC.  

The post Rais Samia afanya teuzi kadhaa ikiwemo ya Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi appeared first on Bongo5.com.

Askofu Akemea Wanachuo Kuishi Kinyumba

ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu la Katoliki la Arusha, Mhashamu Isack Amani ameonya wanafunzi wa vyuo vikuu nchini kuacha mara moja tabia ya kuishi kinyumba...

The post Askofu Akemea Wanachuo Kuishi Kinyumba appeared first on Global Publishers.

Album bora ya mwaka ‘Made in Lagos’ by Wizkid – AEAUSA

Staa wa muziki kutoka nchini Nigeria Wizkid amefanikiwa kushinda tuzo mbili baada ya kushinda tuzo ya msanii bora wa kiume ambayo ilikuwa inashindaniwa na wasanii kadhaa katika tuzo za African Entertainment Awards USA (AEAUSA) zilizotolewa usiku wa jana huko New Jersey nchini Marekani pia amefanikiwa kushinda tuzo ya katika kuipengele cha album bora ya mwaka …

The post Album bora ya mwaka ‘Made in Lagos’ by Wizkid – AEAUSA appeared first on Bongo5.com.

Desmond Tutu: Afrika Kusini yamuomboleza shujaa aliyepinga ubaguzi wa rangi

Kifo cha Tutu kimekuja wiki chache tu baada ya kile cha rais wa mwisho wa enzi ya ubaguzi wa rangi wa Afrika Kusini, FW de Klerk, aliyefariki akiwa na umri wa miaka 85.

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Desemba 27, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Desemba 27, 2021. Usipitwe na Matukio, Install App Yako ya Kijanja...

The post Yasome Hapa Magazeti ya Leo Desemba 27, 2021 appeared first on Global Publishers.

Sunday, December 26, 2021

Askofu Tutu afariki dunia akiwa na umri wa miaka 90

Askofu Desmond Tutu wa Afrika Kusini, ambaye ni mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 90. Rais Cyril Ramaphosa ametangaza tanzia hiyo leo akimtaja Askofu Tutu kama kiongozi aliyekuwa dira ya kimaadili ya nchi hiyo. Ramaphosa amesema kifo hicho ni ukurasa mwingine wa majonzi kwa taifa hilo wakati …

The post Askofu Tutu afariki dunia akiwa na umri wa miaka 90 appeared first on Bongo5.com.

Zaidi ya wanajeshi 10,000 wa Urusi wamaliza luteka yao karibu na Ukraine

Urusi imetangaza kwamba zaidi ya wanajeshi wake 10,000 wamemaliza luteka yao karibu na mpaka na Ukraine, na kwamba wanarudi katika kambi zao za kawaida. Hayo yanajiri mnamo wakati mataifa ya Magharibi yamekuwa yakiishutumu Urusi kwa kupanga kuivamia Ukraine. Kupitia taarifa yake, wizara ya Ulinzi ya Urusi imesema luteka hizo za vikosi vya wilaya za kusini …

The post Zaidi ya wanajeshi 10,000 wa Urusi wamaliza luteka yao karibu na Ukraine appeared first on Bongo5.com.

Kocha Simba Amaliza Kila Kitu

KAZI imeanza huko Simba SC. Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia kocha mkuu wa timu hiyo, Pablo Franco kukabidhi rasmi ripoti ya usajili wa majembe mapya katika...

The post Kocha Simba Amaliza Kila Kitu appeared first on Global Publishers.

Askofu wa Afrika Kusini Desmond Tutu ameaga dunia akiwa na miaka 90

Askofu wa Afrika Kusini Desmond Tutu, Mshindi wa tuzo ya Nobel ambaye aliisaidia Afrika Kusini kumaliza ubaguzi wa rangi amefariki akiwa na umri wa miaka 90

Mashine Mpya Yaahidi Mabao Yanga

JEMBE jipya la Yanga, Chico Ushindi amefunguka kuhitaji kutengeneza nafasi nyingi za mabao ambazo pindi atakapoanza kuitumikia rasmi Yanga ambazo zitawafanya mastraika wa timu hiyo...

The post Mashine Mpya Yaahidi Mabao Yanga appeared first on Global Publishers.

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Desemba 26, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Desemba 26, 2021. Usipitwe na Matukio, Install App Yako ya Kijanja...

The post Yasome Hapa Magazeti ya Leo Desemba 26, 2021 appeared first on Global Publishers.

Mji aliyozaliwa Yesu, Bethlehem washerehekea Krismasi

Licha ya mwaka wa pili wa kuwepo kwa masharti ya kusafiri kwa sababu ya COVID -19, mji wa Bethlehem, eneo ambako alizaliwa Yesu, lilifufua sherehe zake za kila mwaka za mkesha wa Krismasi. "Mwaka jana, sherehe zetu zilikuwa kwa njia ya mtandao, lakini mwaka huu tunaonana uso kwa uso na ushiriki na mkubwa," Meya wa …

The post Mji aliyozaliwa Yesu, Bethlehem washerehekea Krismasi appeared first on Bongo5.com.

Aliyelala Kitandani Mbeya Ajikuta Ameamkia Masasi Juu ya mti

SAILI Juma (27) mkazi wa Mbeya ambaye mapema wiki hii alilala kitandani nyumbani kwao Mbeya na ghafla akaamkia juu ya mti Masasi mkoani Mtwara akiwa...

The post Aliyelala Kitandani Mbeya Ajikuta Ameamkia Masasi Juu ya mti appeared first on Global Publishers.

Saturday, December 25, 2021

Wakristo kote duniani waadhimisha sikukuu ya Krismasi

Watu wa tabaka mbalimbali walikusanyika katika maeneo ya ibada Jumamosi kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Yesu Kristo zaidi ya miaka 2000 iliyopita. Wengine, kwa mujibu wa vyanzo mabalimbali vya habari walihudhuria hafla mbalimbali katika majumba ya starehe na kwingineko kuadhimisha siku hiyo. Picha by monkeybusinessimages Mjini Roma, Italia, kiongozi mkuu wa kanisa Katoliki Papa Francis, …

The post Wakristo kote duniani waadhimisha sikukuu ya Krismasi appeared first on Bongo5.com.

James Webb: Chombo cha anga za juu cha Webb chafanya safari ya kihistoria

Chombo cha anga za mbali cha thamani ya dola bilioni 10 cha James Webb kimeondoka duniani kuelekea anga za mbali na kinatarajiwa kuonesha nyota za kwanza zinavyoangaza dunia.

Pumbulu: Mila ya Kisukuma Baada ya Mwanamke Kufariki Akijifungua

MILA na Desturi zina mchango mkubwa katika jamii endapo zitaenziwa kwa kuheshimu haki zingine za binadamu, hata hivyo wakati mwingine jamii hutumia haki za kitamaduni...

The post Pumbulu: Mila ya Kisukuma Baada ya Mwanamke Kufariki Akijifungua appeared first on Global Publishers.

Virusi vya corona:Tanzania yatangaza masharti mapya ya Covid-19 kwa wasafiri wa kimataifa

Tanzania imetoa masharti mapya ya usafiri kwa wasafiri wanaoingia na kutoka nchini humo kama hatua ya kudhibiti maambukizi ya virusi vya Covid -19.

Vieira: AFCON Inastahili Heshima Zaidi

Meneja wa klabu ya Crystal Palace, Patrick Vieira amesema kuwa michuano ya AFCON inastahili heshima zaidi. Vieira anategemea kupoteza wachezaji wake watatu michuano hiyo itakapoanza...

The post Vieira: AFCON Inastahili Heshima Zaidi appeared first on Global Publishers.

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Desemba 25, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Desemba 25, 2021. Usipitwe na Matukio, Install App Yako ya Kijanja...

The post Yasome Hapa Magazeti ya Leo Desemba 25, 2021 appeared first on Global Publishers.

Sure boy kutoka Azam atua Yanga, aandika ujumbe huu

Kupitia ukurasa wa Instagram wa klabu ya Yanga wameandika kuwa:- Zawadi ya mapema msimu huu wa Sikukuu kwa Wananchi. @sure8boy is now green & yellow🔰 Tunawatakia Kheri na Fanaka ya Sikukuu ya Christmas. Lakini kupitia ukurasa wa Instagram wa Sure boy ameandika maneno haya:- Assalam Alaykum, Nitumie Fursa Hii Kushukuru Management, Technical Staff, Makocha, Viongozi, …

The post Sure boy kutoka Azam atua Yanga, aandika ujumbe huu appeared first on Bongo5.com.

Mwanamke mjamzito miongoni mwa 15 walioshtakiwa kwa mashambulizi Uganda

Mashambulizi ya mwezi Oktoba na milipuko mitatu ya kujitoa mhanga katika mji mkuu, Kampala, mwezi Novemba yalitisha mamlaka kuhusu mbinu za kundi hilo zinazobadilika.

Virusi vya Corina: UAE yasitisha safari za ndege kutoka Kenya, Tanzania, Ethiopia na Nigeria

Hatua hiyo inajumuisha kusimamisha kuingia nchini humo kwa wasafiri waliokuwa katika nchi hizo nne siku 14 kabla ya kusairi UAE.

MUSIC VIDEO: Waristar – X-Mas & Mwaka mpya

Katika kipindi hiki cha kusherehekea msimu wa Sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya, Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Waristar anakukaribisha amekuletea zawadi ya video ya wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la ‘X-Mas na Mwaka Mpya’ na anakukaribisha uutazame hapa chini; Video ya ngoma hii imeongozwa na Kilonzo huku Audio ikigongwa na Sam Touch.

The post MUSIC VIDEO: Waristar – X-Mas & Mwaka mpya appeared first on Bongo5.com.

Friday, December 24, 2021

Mlemavu, Ombaomba Ajenga Nyumba Mbili za Zaidi ya Tsh Mil 100

Mary Stephano ni mlemavu wa miguu ambaye shughuli yake kubwa ni ombaomba, kazi anayoifanya katikati ya jiji la Mwanza. Mary amesema katika kazi hiyo ambayo...

The post Mlemavu, Ombaomba Ajenga Nyumba Mbili za Zaidi ya Tsh Mil 100 appeared first on Global Publishers.

Omicron: Marekani kuondoa vikwazo vya usafiri kwa mataifa ya Kusini mwa Afrika

Akithibitisha hatua hiyo, mshauri mkuu wa Ikulu ya White House, Dk Anthony Fauci, alisema mapema mwezi huu "ilifanyika wakati tulikuwa gizani" kuhusu Omicron.

Mukandara, Zitto Kuunda Kikosi Kazi

MSAJILI wa vyama vya siasa Tanzania, Jaji Francis Mutungi ameteua kikosi kazi cha watu 23 kinachojumuisha makundi mbalimbali cha kupitia hoja zilizotolewa katika mkutano wa...

The post Mukandara, Zitto Kuunda Kikosi Kazi appeared first on Global Publishers.

Man United kumvuta Dembele Old Trafford, Cavani apiganiwa na klabu za Hispania

Sevilla wamejiunga na Barcelona katika kinyang’anyiro cha usajili wa mshambuliaji wa Uruguay na  Manchester United, Edinson Cavani, 34,(Mundo Deportivo – in Spanish) AC Milan wanamatumaini ya kumsajili winga wa Chelsea na Morocco Hakim Ziyech, 28. (Calciomercato – in Italian) Liverpool wanapania kumnunua kiungo wa kati wa Real Madrid na Ufaransa Eduardo Camavinga, 19. (El Nacional …

The post Man United kumvuta Dembele Old Trafford, Cavani apiganiwa na klabu za Hispania appeared first on Bongo5.com.

Aweso: Jamii Ishirikishwe Kutunza na Kulinda Vyanzo vya Maji

WAZIRI wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (MB) amefanya ufunguzi wa jukwaa la wadau wa sekta mtambuka ambalo limewahusisha wadau wakubwa wa matumizi ya Maji Bonde...

The post Aweso: Jamii Ishirikishwe Kutunza na Kulinda Vyanzo vya Maji appeared first on Global Publishers.

Shaa na Master Jay Kinazidi Kuumana

MWANAMAMA wa kitambo kunako Bongo Fleva, Shaa, kupitia ukurasa wake wa Instagram amemtaka mzazi mwenzake, Producer Master J akamuone mtoto wake na kuacha kuposti picha...

The post Shaa na Master Jay Kinazidi Kuumana appeared first on Global Publishers.

Maandamano baada ya vikosi vya usalama vya Sudan kulaumiwa kwa ubakaji

Wanawake na wasichana walidaiwa kunyanyaswa kingono na vikosi vya usalama wakati wa maandamano siku ya Jumapili.

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Desemba 24, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Desemba 24, 2021. Usipitwe na Matukio, Install App Yako ya Kijanja...

The post Yasome Hapa Magazeti ya Leo Desemba 24, 2021 appeared first on Global Publishers.

Thursday, December 23, 2021

Apewa Tsh 40,000 Kutekeleza Mauaji

Jeshi la Polisi mkoani Njombe linamshikilia mkazi mmoja wilayani Ludewa majina yanahifadhiwa kwa sababu ya uchunguzi, akituhumiwa kuhusika na mauaji ya mtu mwenye umri wa...

The post Apewa Tsh 40,000 Kutekeleza Mauaji appeared first on Global Publishers.

Mke wa Rais wa Ufaransa kufungua mashtaki ya kusingiziwa alibadili jinsia

Brigitte Macron anatazamiwa kuchukua hatua za kisheria kuhusu madai ya mtandao kwamba yeye ni mwanamke aliyebadili jinsia na alizaliwa akiwa mwanaume. Mke wa rais wa Ufaransa amelengwa kwenye mitandao ya kijamii kwa madai hayo ya uwongo, baada ya kuchapishwa kwenye tovuti ya mrengo wa kulia mnamo Septemba na kusambazwa na wananadharia wa njama. Uvumi huo …

The post Mke wa Rais wa Ufaransa kufungua mashtaki ya kusingiziwa alibadili jinsia appeared first on Bongo5.com.

Chama Mikononi Mwa Barbara Simba

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa, ishu nzima ya usajili wa majembe mapya kwenye kikosi cha timu hiyoakiwemo kiungo Mzambia, Clatous Chama kwa sasa inashughulikiwa...

The post Chama Mikononi Mwa Barbara Simba appeared first on Global Publishers.

Roma akerwa na watu kumsema Lulu Diva mitandaoni kuwa hajajenga kwao

Rapa wa muziki wa Bongo Fleva Roma Mkatoliki ametoa ya moyoni kwa kinachoendelea mitandaoni kwa baadhi ya watu kumsema Lulu Diva kutojenga nyumbani kwao Muheza Tanga wakati yanafanyika mazishi ya mama yake mzazi. Kupitia ukurasa wake wa Twitter Roma ameandika kwamba “Tunapofiwa/kupata matatizo yanayopelekea mkafika nyumbani kwetu, please fikeni na mshiriki kwenye matatizo hayo tu mkimaliza …

The post Roma akerwa na watu kumsema Lulu Diva mitandaoni kuwa hajajenga kwao appeared first on Bongo5.com.

Simba, Yanga Kukutana Mapinduzi Cup

Mwenyekiti wa Kamati ya Kombe la Mapinduzi, Aimane Duwa amesema maandalizi ya mashindano hayo yanaendelea vizuri na kuweka wazi timu zilizothibitisha ushiriki wao ni kumi...

The post Simba, Yanga Kukutana Mapinduzi Cup appeared first on Global Publishers.

Nafasi ya Kazi  Serengeti Breweries Limited, Mechanical Technician

Job Description : About us ​From Arthur Guinness to Johnnie Walker, our business was founded on people of great character, and in 250 years, nothing's...

The post Nafasi ya Kazi  Serengeti Breweries Limited, Mechanical Technician appeared first on Global Publishers.

Je, Shirika la ndege Tanzania linatoka Shimoni kwenda gizani?

Serikali ya Tanzania imeendelea kuagiza ndege za aina mbalimbali zikiwemo zingine nne mpya licha ya Shirika lake la ndege (ATCL) kutengeneza hasara ya mamilioni ya dola katika kipindi cha miaka mitano mpaka kumi mfululizo.

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Desemba 23, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Desemba 23, 2021. Usipitwe na Matukio, Install App Yako ya Kijanja...

The post Yasome Hapa Magazeti ya Leo Desemba 23, 2021 appeared first on Global Publishers.

Koffi afunguka unyanyasaji wanawake kingono

PAMOJA na Mahakama ya Rufaa nchini Ufaransa kumuondolea mwanamuziki Koffi Olomide wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kosa la unyanayasaji wa kingono, lakini imemtia hatiani...

The post Koffi afunguka unyanyasaji wanawake kingono appeared first on Global Publishers.

Wednesday, December 22, 2021

Mvua Yakosesha Makazi Kaya 65

ZAIDI ya kaya 65 katika Kijiji cha Imbilili Kata ya Signo wilayani Babati mkoani Manyara, zimekosa makazi baada ya nyumba zao kuezuliwa na upepo mkali...

The post Mvua Yakosesha Makazi Kaya 65 appeared first on Global Publishers.

Professor Jay aachia mpya ya moto ‘Hands Up’, awatetea mashabiki wa muziki, kiki na mengine (Video)

Msanii wa muziki Professor Jay ameachia video ya wimbo wake mpya ‘Hands Up’ ambapo ndani ya limbo huh amezungumza mengi kuhusu muziki na maisha ya wasanii. Video hiyo kwa sasa inapatikana kupitia link iliyopo kwenye bio yake

The post Professor Jay aachia mpya ya moto ‘Hands Up’, awatetea mashabiki wa muziki, kiki na mengine (Video) appeared first on Bongo5.com.

RC Mtaka: Msiwarundike Walimu Shule Moja

MKUU wa Mkoa wa Dodoma nchini Tanzania, Antony Mtaka, ameuagiza uongozi wa ofisi ya mkurugenzi wa jiji na afisa elimu kuhakikisa wanawasambaza walimu wa sekondari...

The post RC Mtaka: Msiwarundike Walimu Shule Moja appeared first on Global Publishers.

NMB yashinda tuzo ya benki salama zaidi nchini

NMB ndiyo benki salama zaidi nchini kwa miaka miwili mfululizo baada ya leo kutangaza kupokea tuzo ya ubora huo mwaka huu kutoka jarida la Global Finance la New York Marekani. Ushindi wa Tuzo ya Benki Salama Zaidi Tanzania ni ushahidi mwingine wa utayari wa NMB kulihudumia taifa, uimara wake kifedha na kuendelea kuongoza sokoni. Akitangaza …

The post NMB yashinda tuzo ya benki salama zaidi nchini appeared first on Bongo5.com.

DRC ndani ya EAC: Nini maana yake?

Wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) leo wanatarajia kukubali Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kuwa mwanachama wake wa sita katika mojawapo ya matukio yenye maana kubwa kiuchumi, kisiasa na kijamii katika eneo la Maziwa Makuu.

Job, Mwamnyeto Kuongezewa Nguvu Yanga

UONGOZI wa Yanga umefunguka kuwa kuna uwezekano mkubwa wakaingia sokoni na kusajili beki mmoja wa kati mwenye uwezo mkubwa ili kuwa msaada kwa Dickson Job...

The post Job, Mwamnyeto Kuongezewa Nguvu Yanga appeared first on Global Publishers.

Bidhaa 10 mwiba kwa watanzania

Katika kipindi cha hivi karibuni bidhaa mbalimbali zimeonekana kuwa mwiba kwa bei yake kupanda nchini Tanzania.

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Desemba 22, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Desemba 22, 2021. Usipitwe na Matukio, Install App Yako ya Kijanja...

The post Yasome Hapa Magazeti ya Leo Desemba 22, 2021 appeared first on Global Publishers.

Mama mzazi wa Lulu Diva azikwa leo Muheza Tanga (+Picha)

Mamia wamejitokeza kushiriki kuuzika mwili wa mama mzazi wa msanii wa Bongo Fleva na filamu, Lulu Diva ambaye mezikwa leo Desemba 21, 2021 huko Muheza Mkoani Tanga. Picha zote by Clouds Tv Miongoni mwao wakiwemo wasanii wenzake wa bongo fleva na filamu pamoja na watu mashuhuri nchini. Picha zote by Clouds Tv Mama mzazi wa …

The post Mama mzazi wa Lulu Diva azikwa leo Muheza Tanga (+Picha) appeared first on Bongo5.com.

Simba, Yanga Zakutana Kwa Kiungo Matata

UONGOZI wa kiungo fundi kutoka katika klabu ya DC Motema Pembe ya nchini DR Congo, Karim KimvuidKiekie umeweka wazi kuwa wapo kwenye mazungumzo na Simba...

The post Simba, Yanga Zakutana Kwa Kiungo Matata appeared first on Global Publishers.

Kiasi kikubwa cha maji chagunduliwa katika sayari ya Mars

Jopo la wanasayansi kwa ushirikiano na Shirika la anga za mbali la Ulaya (ESA) kwa ushirikiano na Shirika la anga za mbali la Urusi (Roscosmos) wametangaza uvumbuzi wa kiwango kipya kikubwa cha maji katika sayari ya Mars. Maji hayo yamemepatikana kwenye sakafu ya korongo la Valles Marineris , wenye korongo kubwa na lenye kimo kirefu …

The post Kiasi kikubwa cha maji chagunduliwa katika sayari ya Mars appeared first on Bongo5.com.

Ndoa Yavunjwa kwa Talaka ya tsh Tril 1.4

Wakati watu wakiendelea kufunga ndoa za gharama, pia kuna ndoa ambazo zinaendelea kuvunjika kwa gharama kubwa. Huko nchini Uingereza aliyekuwa mke wa zamani wa mtawala...

The post Ndoa Yavunjwa kwa Talaka ya tsh Tril 1.4 appeared first on Global Publishers.

Tuesday, December 21, 2021

Je,ni matukio yapi makubwa yaliyojiri Tanzania mwaka wa 2021?

Mwaka unaokamilika wa 2021 ulikuwa na panda shuka nyingi kwa Tanzania.Miongoni mwa matukio makubwa yaliyotokea nchini humo ni kuaga dunia kwa rais John Pombe Magufuli.

Rais Samia Afanya Ziara Katika Kituo cha Redio cha TBC Dar

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Desemba 21, 2021 amefanya ziara ya kutembelea Kituo cha Redio cha TBC Taifa...

The post Rais Samia Afanya Ziara Katika Kituo cha Redio cha TBC Dar appeared first on Global Publishers.

Boeing na Airbus zaionya Marekani kuhusu usalama wa 5G

Makampuni hayo makubwa mawili ya utengenezaji ndege duniani yanasema teknolojia hiyo inaweza kuwa na athari mbaya kwa sekta ya usafiri wa anga.

Infinix HOT 11 baada ya kuadimika yarudi tena 

Baada ya sintofahamu nyingi kuhusu kuadimika kwa toleo la modeli mpya ya Infinix HOT 11 sasa rasmi zimeanza kupatika tena sokoni. Infinix HOT 11 ilizinduliwa rasmi 14/12/2021 kwa ushirika wa Infinix na Tigo na kuwa adimu kwa muda wa siku kadhaa baada ya uzinduzi sasa modeli hiyo inayosifika kwa kuwa na camera kali zaidi yaendelea …

The post Infinix HOT 11 baada ya kuadimika yarudi tena  appeared first on Bongo5.com.

Yanga Yamuwinda Kipa wa Ruvu Shooting

Mabosi wa Yanga wanafikiria uwezekano wa kumpata mlinda lango wa Ruvu Shooting Mohammed Makaka kuchukua nafasi ya kipa namba moja wa klabu hiyo Diarra Djigui...

The post Yanga Yamuwinda Kipa wa Ruvu Shooting appeared first on Global Publishers.

Lori la mafuta lalipuka, watu 90 wafariki Haiti

Naibu meya wa mji Cap-Haitien, nchini Haiti Patrick Almonor amesema idadi ya watu waliokufa baada ya lori la mafuta kulipuka wiki iliyopita imeongezeka na kufika watu 90. Naibu huyo wa meya anahofia kuwa idadi hiyo huenda ikaongezeka kutokana na majeruhi wengi ambao bado wamelazwa hospitali kufuatia mkasa huo wa moto. Kwa mujibu wa ripoti ya …

The post Lori la mafuta lalipuka, watu 90 wafariki Haiti appeared first on Bongo5.com.

Vladimir Putin wa Urusi anapanga nini?

"Ikiwa Ukraine itawahi kujiunga na Nato au ikiwa Nato itatengeneza miundombinu ya kijeshi huko, tutashikilia bunduki kwa kichwa cha Marekani. Tuna uwezo wa kijeshi.

Kauli Aliyoambiwa Lulu Diva na Mama Yake Mzazi

Lulu Diva anasema mama yake alikuwa anampa sapoti kubwa kwenye mambo anayoyafanya pia alikuwa anatamani kufanya vitu vingi lakini hali ya afya na umri ulikuwa...

The post Kauli Aliyoambiwa Lulu Diva na Mama Yake Mzazi appeared first on Global Publishers.

Monday, December 20, 2021

Dalili za Omicron: Je mafua ni dalili ya virusi vya corona?

Je mafua yanaweza kuwa dalili ya Omicron?

Mayele aionya Simba

MSHAMBULIAJI kinara wa mabao ndani ya klabu ya Yanga mpaka sasa, Fiston Mayele amewaonya wapinzani wao kwenye mbio za ubingwa msimu huu wakiwemo watani zao...

The post Mayele aionya Simba appeared first on Global Publishers.

Vita vya Ethiopia :Mji wa kihistoria wa Lalibela warejea mikononi mwa serikali

Lalibela, maarufu kwa makanisa yake ya mwamba ambayo yalianza karne ya 12 na 13, iliteuliwa kuwa kituo cha urithi wa ulimwengu cha UNESCO mnamo 1978.

Emirates yasitisha safari za ndege kutoka Kenya kwenda Dubai kwa saa 48

Safari za ndege zenye usafiri wa abiria kuingia na kupitia Dubai kutoka Kenya zimesitishwa kwa muda wa saa 48 kuanzia leo. Kulingana na agizo kutoka kwa Mamlaka ya Usafiri wa Anga ya Dubai, wateja hawatakubaliwa kusafiri kwa ndege za Emirates jijini Nairobi wakati huu. Hakuna sababu maalum iliyotolewa. Katika taarifa kwenye tovuti yake, Emirates ilisema …

The post Emirates yasitisha safari za ndege kutoka Kenya kwenda Dubai kwa saa 48 appeared first on Bongo5.com.

Kilimanjaro: Askari aliyesifia gongo atimuliwa kazi (+ Video)

Konstebo wa polisi Ramadhani Khalfan Said aliyetajwa na Rais Samia Suluhu Hasssan wiki iliyopita kuwa anasifia gongo akiwa amevaa sare za polisi, amefukuzwa kazi kwa kwenda kinyume na mwenendo mwema wa jeshi hilo. Vyanzo mbalimbali vinadai kuwa, awali askari huyo mwenye namba G 2308, alishtakiwa kijeshi kwa kosa la utovu wa nidhamu akiwa amevaa sare …

The post Kilimanjaro: Askari aliyesifia gongo atimuliwa kazi (+ Video) appeared first on Bongo5.com.

Majembe mapya Yanga kuanzia Mapinduzi Cup

RASMI uongozi wa Yanga umefunguka kuwa kuna uwezekano mkubwa wa wachezaji wapya watakaosajiliwa na timu hiyo katika dirisha hili dogo la usajili kutumika katika michuano...

The post Majembe mapya Yanga kuanzia Mapinduzi Cup appeared first on Global Publishers.

Cryptocurrency: Je, Afrika iko tayari kwa sarafu za kidijitali?

'Najua bado nchi nyingi, ikiwemo Tanzania, hazijakubali au kuanza kuzitumia sarafu hizo. Hata hivyo wito wangu kwa Benki Kuu ni vyema muanze kufanyia kazi maendeleo hayo. Kujitayarisha tu, kuwa tayari,' alisema Rais Samia

Omicron inasambaa kama kasi ya radi, Ulaya – Waziri Mkuu wa Ufaransa

Ufaransa imeendelea kutangaza masharti mbalimbali ikiwa ni juhudi za kuzuia kusambaa kwa kirusi kipya cha Corona kinachofahamika kama Omicron. Mamlaka nchini Ufaransa imewataka watu kupata chanjo dhidi ya Corona kabla ya likizo za sikukuu huku maambukizi yakiongezeka na Serikali ikijaribu kuepusha kuwepo kwa ‘lockdown’. "Wimbi la tano liko hapa,” Waziri Mkuu Jean Castex aliongea hayo …

The post Omicron inasambaa kama kasi ya radi, Ulaya – Waziri Mkuu wa Ufaransa appeared first on Bongo5.com.

Sunday, December 19, 2021

Kwanini abiria wanaotoka Tanzania kwenda Dubai watakiwa kupima Uviko 19 mara mbili kabla ya safari?

Wizara ya afya nchini Tanzania imefunga mashine nyingine kubwa na ya kisasa kwa ajili ya kupima kipimo cha haraka cha UVIKO-19 kwa wasafiri wanaoenda nchi za Falme za Kiarabu ikiwemo Dubai.

Marioo: Mwaka 2022 Tuzo Zitakuwa Za Kutoshaza

MUZIKI ni ajira, lakini pia ni biashara kubwa ndiyo maana nchini Nigeria wanaichukulia serious tofauti nawengi wanavyoiona!   Kila mwaka wanazaliwa wasanii wapya ambao wanakuja...

The post Marioo: Mwaka 2022 Tuzo Zitakuwa Za Kutoshaza appeared first on Global Publishers.

Uhasama wa Harmonize na Diamond Wafika Pabaya

MSANII Harmonize au Harmo aliachana na Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB) miaka miwili iliyopita na kuibua uhasama, lakini mwaka huu uhasama huo umefika pabaya...

The post Uhasama wa Harmonize na Diamond Wafika Pabaya appeared first on Global Publishers.

Fahamu Dubai ilivyokuwa jiji lenye maghorofa marefu katika miaka michache

Katika wiki ya kwanza ya Agosti mwaka huu, Nicole Smith Ludwick, mkazi wa mji mdogo katika jimbo la Georgia nchini Marekani, alipanda hadi juu ya jengo refu zaidi duniani, Burj Khalifa, na kusema, "Halo mama, niko juu ya dunia.'

Prisons: Yanga SC Hawatutishi, Tunawapiga

  KUELEKEA mchezo wa ligi kuu dhidi ya Yanga, Tanzania Prisons wametamba kuwa wapinzani wao hawawatishi na watahakikisha wanavunja rekodi yao ya kutofungwa tangu kuanza...

The post Prisons: Yanga SC Hawatutishi, Tunawapiga appeared first on Global Publishers.

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Desemba 19, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Desemba 19, 2021. Usipitwe na Matukio, Install App Yako ya Kijanja...

The post Yasome Hapa Magazeti ya Leo Desemba 19, 2021 appeared first on Global Publishers.

Saturday, December 18, 2021

Covid-19: Omicron inasambaa Ufaransa kwa kasi ya radi,Waziri mkuu

Aina ya Corona ya Omicron "inasambaa kwa kasi ya radi'' katika Ulaya na huenda ikawa ndio watu wengi watakayougua zaidi nchini Ufaransa kufikia mwanzoni mwa mwaka ujao , Waziri mkuu wa Ufaransa Jean Castex ametahadharisha..

Malkia Karen Anataka Watoto Wanne

Masuala ya uzazi yameonekana kumnogea msanii @malkiakaren baada ya kuweka wazi kutamani kupata watoto wanne pekee kwenye maisha yake. Malkia Karen ameshea hilo kwenye ‘Insta Story’ yake...

The post Malkia Karen Anataka Watoto Wanne appeared first on Global Publishers.

Mganga Mkuu wa Serikali, Dkt Aifello Sichalwe aelezea kuhusu kuongezeka kwa visa vya mafua

Serikali kupitia Wizara ya Afya imetolea ufafanuzi juu ya hali inayoendelea hivi sasa kuhusiana na ongezeko la wananchi kupata dalili za mafua. Serikali imesema hiyo ni hali ya kawaida kila mwaka ambayo huchangiwa na mabadiliko ya hali ya hewa.

The post Mganga Mkuu wa Serikali, Dkt Aifello Sichalwe aelezea kuhusu kuongezeka kwa visa vya mafua appeared first on Bongo5.com.

Kichanga Chakutwa Kimetupwa Mtoni – Video

UNYAMA! MWILI wa mtoto mchanga umekutwa ukielea juu ya maji katika ukingo wa mto eneo la Tandale Chama jijini asubuhi ya leo. Inadaiwa kuwa mama...

The post Kichanga Chakutwa Kimetupwa Mtoni – Video appeared first on Global Publishers.

Kisa Yanga, Simba Wamficha Chama

UONGOZI wa Simba umetamba kuwa mipango yao ya usajili inakwenda vizuri katika dirisha dogo wakipanga kufanya kwa siri huku wakitamka kiungo wao wa zamani anayekipiga...

The post Kisa Yanga, Simba Wamficha Chama appeared first on Global Publishers.

Klabu 15 zakubali kuvaa logo ya GSM, NBC Premier League yenye timu 16 

Klabu 15 kati ya 16 zinazoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara zimeridhia kutumia Logo ya GSM katika bega la kushoto kasoro moja.

The post Klabu 15 zakubali kuvaa logo ya GSM, NBC Premier League yenye timu 16  appeared first on Bongo5.com.

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Desemba 18, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Desemba 18, 2021. Usipitwe na Matukio, Install App Yako ya Kijanja...

The post Yasome Hapa Magazeti ya Leo Desemba 18, 2021 appeared first on Global Publishers.

Korea Kaskazini: Marufuku Wananchi Kucheka kwa Siku 11

Serikali ya Korea Kaskazini imepiga marufuku Wananchi wake kucheka, kunywa pombe na kufanya sherehe yoyote kwa muda wa Siku 11 ikiwa ni maadhimisho ya Miaka...

The post Korea Kaskazini: Marufuku Wananchi Kucheka kwa Siku 11 appeared first on Global Publishers.

Friday, December 17, 2021

Ujenzi wa uwanja kuanza baada ya CEO Barbara kutolewa kwa Mkapa, Simba wafunguka (+Video)

Uongozi wa klabu ya Simba SC kupitia kwa Mwenyekiti wake Murtaza Ally  Mangungu umesema kuwa huwenda ujenzi wa uwanja umeanza baada ya kuzuiliwa CEO wa klabu hiyo Barbara kuingia katika dimba la Benjamin Mkapa kuutazama mchezo wao dhidi ya Yanga lakini mipango yao ilikuwa ni ya muda mrefu. Mangungu ameyasema hayo alipokuwa akijibu swali la …

The post Ujenzi wa uwanja kuanza baada ya CEO Barbara kutolewa kwa Mkapa, Simba wafunguka (+Video) appeared first on Bongo5.com.

Mkenya wa Kagera Yuko Siriazi na Simba

KOCHA Mkuu wa Kagera Sugar, Mkenya Francis Baraza ameweka wazi kuwa wameanza maandalizi ya mechi yao na Simba itakayopigwa Jumamosi hii huku lengo lao likiwa...

The post Mkenya wa Kagera Yuko Siriazi na Simba appeared first on Global Publishers.

Uwanja wa Simba kugharimu Tsh Bilioni 30, na kuingiza idadi hii ya mashabiki (+Video)

Klabu ya Simba imesema kuwa ujenzi wa uwanja wao utagharimu zaidi ya tshilingi bilioni 30 za kitanzania huku wakitarajiwa kuingia watazamaji elfu 30, hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa timu hiyo Murtaza Ally Mangungu wakati wa uzinduzi wa kampeni ya kuchangia ujenzi waa dimba hilo lililopo Bunju Dar es Salaam.

The post Uwanja wa Simba kugharimu Tsh Bilioni 30, na kuingiza idadi hii ya mashabiki (+Video) appeared first on Bongo5.com.

Ujerumani yaipongeza Tanzania mapambano dhidi ya Corona

Balozi wa Ujerumani nchini Tanzania Mhe. Regina Hess, ameipongeza Serikali ya Tanzania kwa juhudi inazochukua kupambana na ugonjwa wa Uviko-19 ambazo zimezaa matunda kufuatia uwepo wa visa vichache vya ugonjwa huo vilivyorekodiwa wimbi lililopita. Mhe. Hess amesema Serikali ya Ujerumani inaridhishwa na hatua mbalimbali ambazo zimechukuliwa na Tanzania katika kupamabana na Uviko-19, ikiwemo elimu kwa …

The post Ujerumani yaipongeza Tanzania mapambano dhidi ya Corona appeared first on Bongo5.com.

🔴#LIVE: Sakata La Polepole Kuitwa Kujieleza Ishu Ya Maudhui Mtandaoni, TCRA Wanazungumza Muda Huu…

Mbunge Humphrey Polepole, ameitwa kujieleza mbele ya TCRA, ambapo TCRA wameeleza makosa yote anayotuhumiwa nayo ya maudhui mtandaoni anayotakiwa kuyatolea ufafanuzi. 

The post 🔴#LIVE: Sakata La Polepole Kuitwa Kujieleza Ishu Ya Maudhui Mtandaoni, TCRA Wanazungumza Muda Huu… appeared first on Global Publishers.

Kauli ya Rais Samia inaleta matumaini gani kwa siasa za Tanzania?

Mkutano ulioitishwa na ofisi ya msajili wa vyama vya siasa na wadau wa siasa unaendelea jijini Dodoma, Tanzania. Ulianza Jumatano, Desemba 15 na ulitarajiwa kudumu kwa siku tatu hadi Ijumaa Desemba 17, 2021.

Itakutoa Machozi: Kijana Asimulia; “Nilikuwa Handsome, Ghafla Nimekuwa Kilema” – Video

 GLOBALJAMII wiki hii na Daniel Joseph (26) Mkazi wa Dar es salaam ambaye amepoteza muonekano wake halisia baada kupata ajali ya shoti ya umeme...

The post Itakutoa Machozi: Kijana Asimulia; “Nilikuwa Handsome, Ghafla Nimekuwa Kilema” – Video appeared first on Global Publishers.

Vita nchini Ethiopia: Jinsi Waziri Mkuu Abiy alivyoongoza vita kuwasukuma nyuma waasi

"Wale wanaotaka kuwa miongoni mwa watototo wa Ethiopia, watakaokumbukwa na historia, simameni na kutetea nchi yenu leo, tukutane mstari wa mbele," alisema

Curry Aweka Rekodi NBA

STAA wa Golden State Warriors, Stephen Curry, ameweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza mwenye 3-pointi nyingi ndani ya NBA.   Curry aliweka rekodi hiyo...

The post Curry Aweka Rekodi NBA appeared first on Global Publishers.

Thursday, December 16, 2021

Harmonize awaomba mashabiki wake waende kwenye show ya Alikiba

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Harmonize awaomba mashabiki wake waende kwenye show ya Alikiba Mwanza..! Aandika ujumbe huu:- KONDEGANG F.C. IN MWANZA ….!!! PLEASE MAKE SURE YOU PULL UP 4 THE KING  @officialalikiba TOMORROW

The post Harmonize awaomba mashabiki wake waende kwenye show ya Alikiba appeared first on Bongo5.com.

Kimbunga kizito chaipiga Ufilipino (+Picha)

Kimbunga kikali kimepiga kusini mwa Ufilipino leo na kinaelekea katika mikoa mingine ya kisiwa hicho ambako karibu watu 100,000 wamehamishwa kutoka maeneo yenye kitisho kikubwa ambayo huenda yakaathirika na mafuruko makubwa, maporomoko ya ardhi na mawimbi makali. Watabiri wa hali ya hewa wanaasema Kimbunga Rai, ambacho kilikuwa na upepo uliovuma kilometa 185 kwa saa kilipiga …

The post Kimbunga kizito chaipiga Ufilipino (+Picha) appeared first on Bongo5.com.

'Taliban hawakuingia Kabul kwa nguvu, niliwaita' - asema rais wa zamani Hamid Karzai

Aliyekuwa rais wa Afghanistan Hamid Karzai amesema kwamba aliwataka wapiganaji wa Taliban kuingia mji mkuu wa Kabul ili kuzuia ghasia na wizi.

USAJILI: Rasmi TFF yafungua dirisha dogo la usajili

Dirisha dogo la usajili kwa klabu za Ligi Kuu ya NBC, Championship, First League na Ligi Kuu ya Wanawake ya Serengeti  Lite limefunguliwa rasmi leo Desemba 16, 2021 na kutarajiwa kufungwa Januari 15, 2022. Taarifa kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF zinasema kuwa katika kipindi hicho klabu zinatakiwa kutumia kufanya na kukamilisha usajili …

The post USAJILI: Rasmi TFF yafungua dirisha dogo la usajili appeared first on Bongo5.com.

Serikali Yatoa Muongozo Kwa Madalali Nchini

SERIKALI imetoa muongozo wa kusimamia shughuli za udalali nchini kwa lengo la kuwawezesha madalali kufanya kazi zitakazoleta tija kwa serikali na jamii kwa ujumla.  ...

The post Serikali Yatoa Muongozo Kwa Madalali Nchini appeared first on Global Publishers.

Barcelona kumsajili, Haaland huku Madrid kumshusha Mbappe Santiago Bernabéu

Barcelona wanajiandaa kumnunua mshambuliaji wa Borussia Dortmund na Norway Erling Braut Haaland, 21.(Sport) Manchester City pia wanavutiwa na Haaland lakini wanaweza kutokuwa tayari kutumia pesa za kutosha kumpata.(Manchester Evening News) Arsenal, Tottenham na Manchester United wako tayari kumtaka Dusan Vlahovic baada ya habari kwamba mshambuliaji huyo wa Serbia mwenye umri wa miaka 21 alikataa “mkataba …

The post Barcelona kumsajili, Haaland huku Madrid kumshusha Mbappe Santiago Bernabéu appeared first on Bongo5.com.

Russia Ukraine: EU kuionya Moscow dhidi ya kuivamia Ukraine

Idara za kijasusi za nchi za Magharibi zinaamini kuwa hadi wanajeshi 100,000 wa Urusi wamekusanyika karibu na mipaka ya Ukraine.

Aguero atangaza kustaafu soka, sababu ni matatizo ya moyo

Mshambuliaji wa Barcelona na timu ya taifa ya Argentina Sergio Kun Aguero ametangaza kustaafu soka kutokana na kuwa na matatizo ya moyo. Aguero ametangaza uamuzi huo leo mbele ya Rais wa Barcelona Joan Laporta pamoja na wachezaji wenzake wakati akizungumza na wana habari.

The post Aguero atangaza kustaafu soka, sababu ni matatizo ya moyo appeared first on Bongo5.com.

Kimeweka historia ya kupita karibu zaidi kwenye jua

Shirika la anga za mbali la Marekani (Nasa) limeitaja kuwa historia – mara ya kwanza kwa chombo cha anga za mbali kupita katika anga ya nje ya jua. Kiwango hicho kiliafikiwa na chombo cha Parker Solar Probe, kilichovuka kwa muda mfupi kwenda eneo linalozunguka nyota yetu ambalo wanasayasi wanaliita corona. Hilo lilitokea mwezi Aprili na …

The post Kimeweka historia ya kupita karibu zaidi kwenye jua appeared first on Bongo5.com.

Hamilton apewa hadhi ya Sir, sasa kuitwa Sir Lewis Hamilton 

Derava wa magari maarufu ya Formula One, Lewis Hamilton ametunukiwa heshima ya ‘Sir’ siku ya Jumatano Disemba 15, 2021. Hamilton mwenye umri wa miaka 36, sasa atatambulika kama Sir Lewis Hamilton baada ya kupewa heshima hiyo na mwana mfalme wa Wales kutokana na mafanikio yake makubwa kwenye mchezo huo wa mbio za magari shere iliyofanyika …

The post Hamilton apewa hadhi ya Sir, sasa kuitwa Sir Lewis Hamilton  appeared first on Bongo5.com.

Wednesday, December 15, 2021

Mtanzania Ateuliwa UN

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres leo Desemaba 15, 2021 amteua Bi.Joyce Msuya wa Tanzania kuwa Katibu Mkuu Msaidizi wa Masuala ya Kibinadamu...

The post Mtanzania Ateuliwa UN appeared first on Global Publishers.

Polisi Waua Majambazi Wawili kwa Risasi

Jeshi la Polisi nchini Kenya, limewaua kwa kuwapiga risasi watu wawili wanaodhaniwa kuwa ni majambazi, katika majibizano ya risasi yaliyotokea katika Mji wa Ruaka, Kaunti...

The post Polisi Waua Majambazi Wawili kwa Risasi appeared first on Global Publishers.

Teknolojia inayosaidia wanawake kuwa salama wakiwa mitaani.

Nusu ya wanawake wote wamehisi kukosha usalama kwa kipindi fulani wakitembea peke yao gizani, kwa mujibu wa takwimu za ofisi ya kitaifa.

Chombo cha Parker chaweka historia kwa kupita anga ya jua

Shirika la anga za mbali la Marekani (Nasa) limeitaja kuwa historia - mara ya kwanza kwa chombo cha anga za mbali kinapita katika anga ya nje ya jua.

Msako Mkali Kumtafuta Mwizi wa Chatu wa Kifalme

JESHI la Polisi nchini Uingereza limesema linaendesha msako mkali kumtafuta mwizi wa chatu wa kifalme ambao walichukuliwa kutoka katika eneo la Hillmorton eneo la Rugby,...

The post Msako Mkali Kumtafuta Mwizi wa Chatu wa Kifalme appeared first on Global Publishers.

Hofu yaibuka kutokea kwa Tsunami, tetemeko kubwa lapiga chini ya bahari Indonesia

Indonesia imeongeza tahadhari ya Tsunami kufuatia tetemeko kubwa la ardhi la chini ya bahari la kipimo cha richta 7.3 katika kisiwa cha Flores. Hali hiyo ilisdababisha taharuki katika eneo hilo ambalo mara kwa mara hushuhudia mitetemeko ya ardhi inayosababisha vifo. Hata hivyo hakuna uharibifu wala waliokufa kufuatia tetemeko hilo la hapo jana. Kwa mujibu wa …

The post Hofu yaibuka kutokea kwa Tsunami, tetemeko kubwa lapiga chini ya bahari Indonesia appeared first on Bongo5.com.

Covid:Omicron inasambaa kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa, WHO yasema

Kirusi aina ya Omicron kiligunduliwa kwa mara ya kwanza nchini Afrika Kusini mnamo Novemba, na nchi hiyo imeshuhudia ongezeko la maambukizi.

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Desemba 15, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Desemba 15, 2021. Usipitwe na Matukio, Install App Yako ya Kijanja...

The post Yasome Hapa Magazeti ya Leo Desemba 15, 2021 appeared first on Global Publishers.

Utovu wa Nidhamu, Aubameyang Avuliwa Unahodha Arsenal

KLABU YA ARSENAL imemvua unahodha Pierre-Emerick Aubameyang na hatacheza kwenye mechi ya Ligi Kuu ya Uingereza dhidi ya West Ham kesho Jumatano usiku.   “Kufuatia...

The post Utovu wa Nidhamu, Aubameyang Avuliwa Unahodha Arsenal appeared first on Global Publishers.

Tuesday, December 14, 2021

Arsenal yampokonya unahodha wa timu Pierre Emerick Aubameyang

Arsenal wamempokonya unahodha wa timu hiyo mashambuliaji wao Pierre Emrick Aubameyang baada ya kukosa nidhamu.

Baada ya Kufeli Mara 3, Hatimaye Kim Afaulu Mtihani wa Sheria

MREMBO na Mjasiriamali huyo jana ametangaza kupitia Instagram kuwa amefaulu mtihani wa wanasheria wa jimbo la California nchini Marekani ujulikanao kama baby bar.   "OMFGGGG...

The post Baada ya Kufeli Mara 3, Hatimaye Kim Afaulu Mtihani wa Sheria appeared first on Global Publishers.

Barcelona, Juventus zapigana vikumbo kuwania saini ya Cavani

Mustakabali wa Edinson Cavani unaweza kuwa mapema tu mwezi Januari ushafahamika huku klabu ya Corinthians ikiwa ni moja ya timu kadhaa zinazohitaji saini yake, wakati Juventus na Barcelona zikifahamika pia kumuwania nyota huyo wa Manchester United. Kandarasi ya Cavani na Manchester United inafikia mwisho mwezi Juni 2022 na amekuwa na nafasi chache za kucheza tangu …

The post Barcelona, Juventus zapigana vikumbo kuwania saini ya Cavani appeared first on Bongo5.com.

Tatjana Schoenmaker: Mafanikio ya Olimpiki bado 'yanahisi si ya kweli' kwa Muafrika Kusini

Muogeleaji wa Afrika Kusini, Tatjana Schoenmaker, mteule wa BBC wa Mwanaspoti Bora wa Mwaka wa Kiafrika, kuhusu jinsi ambavyo bado anatatizika kukubali mafanikio yake ya Olimpiki.

Niliwahi kuwa dereva taxi – Rais Putin wa Urusi

Rais wa Urusi Vladimir Putin amezungumzia majuto yake kuhusu kuanguka kwa Umoja wa Kisovieti mwaka 1991, akifichua kwamba alilazimika kufanya kazi ya udereva wa teksi ili kujiongezea kipato. Matatizo ya kiuchumi yaliyosababishwa na kuanguka kwa muungano huo yaliwalazimisha Warusi wengi kutafuta njia mpya za kupata pesa. Bw Putin alielezea kuvunjika kwa nchi hiyo kama kuporomoka …

The post Niliwahi kuwa dereva taxi – Rais Putin wa Urusi appeared first on Bongo5.com.

Mama Awanyonga Wanaye 2 Kisha Kuwachoma Moto;-Video

Mama awanyonga wanaye 2 kisha kuwachoma moto,”Akachukua godoro, akawasha moto” 

The post Mama Awanyonga Wanaye 2 Kisha Kuwachoma Moto;-Video appeared first on Global Publishers.

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Desemba 14, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Desemba 14, 2021. Usipitwe na Matukio, Install App Yako ya Kijanja...

The post Yasome Hapa Magazeti ya Leo Desemba 14, 2021 appeared first on Global Publishers.

Koffi Olomidé afutiwa kosa la ubakaji lakini ahukumiwa kwa kuwazuilia wacheza densi

Mahakama ya Ufaransa imemuondolea mashtaka ya ubakaji Koffi Olomidé lakini ikamtia hatiani kwa kuwashikilia wacheza densi wanne bila hiari yao.

Droo ya Champions League: Chelsea v Lille, Man Utd v Atletico, Man City v Sporting, Liverpool v Inter

Mabingwa wa kombe la klabu bingwa Ulaya Chelsea watacheza dhidi ya mabingwa wa Ufaransa Lille katika michuano ya kufuzu katika robo fainali ya kombe la klabu bingwa Ulaya baada ya droo ya mechi hizo za muondoano kufanyika kwa mara ya pili.

Elon Musk: Ongezeni Watoto

Mjasiriamali na tajiri namba moja duniani Elon Musk amesema ustaarabu utaisha iwapo watu hawatakuwa na watoto zaidi na kusisitiza kuwa idadi ya watu Tsh bilioni...

The post Elon Musk: Ongezeni Watoto appeared first on Global Publishers.

Lwandamina aachia ngazi Azam FC

Kocha mkuu wa Azam FC, George Lwandamina, ametangaza kujiuzulu nafasi yake klabuni hapo leo Jumatatu Disemba 13, 2021. Lwandamina ameiandikia barua Bodi ya Azam FC na kuishukuru kwa nafasi iliyompa ya kufanya kazi na vijana hao wa Chamazi. Kwa mujibu wa taarifa ya klabu hiyo, kocha huyo raia wa Zambia amechukua uamuzi huo kwa maslahi …

The post Lwandamina aachia ngazi Azam FC appeared first on Bongo5.com.

UCL: Man U Yapewa Atletico, PSG v Madrid

BAADA ya kupangwa kisha kufutwa tena, hii ndio droo ya mwisho (ya marudio) mechi za 16 Bora Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya. Bayern x RB...

The post UCL: Man U Yapewa Atletico, PSG v Madrid appeared first on Global Publishers.

Monday, December 13, 2021

Rais Ramaphosa Anatibiwa Corona

Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amepimwa na kukutwa na Covid-19 na anatibiwa kwa dalili zisizo kali. Ramaphosa alianza kujisikia vibaya siku ya Jumapili baada...

The post Rais Ramaphosa Anatibiwa Corona appeared first on Global Publishers.

Washindi Afrimma: Diamond Platinumz, Nandy, Sauti Sol na Wizkid wang'aa

Wasanii wa muziki wa Bongo Fleva Diamond Platinumz na Nandy kutoka Tanzania wameibuka washindi katika tuzo za Afrimma Awards 2021.

Hii ndio droo mpya ya 16 bora michuano ya UEFA

Droo mpya ya 16 bora michuano ya UEFA baada ya kurudiwa.  

The post Hii ndio droo mpya ya 16 bora michuano ya UEFA appeared first on Bongo5.com.

Naahidi kuchangia Bilioni 2 – Mo Dewji

Rais wa heshima wa klabu ya Simba na aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Mo Dewji amefungua milango kwa wanachama, mashabiki na wapenzi wa timu hiyo kuchangia ujenzi wa uwanja wao wa Mo Simba Arena uliyopo Bunju Jijini Dar Es Salaam. ”Nimepokea maoni mengi ya WanaSimba wenzangu wakishauri tujenge uwanja wetu na wako tayari …

The post Naahidi kuchangia Bilioni 2 – Mo Dewji appeared first on Bongo5.com.

Vladimir Putin: 'Niliendesha magari ya teksi ili kujikimu kimaisha miaka ya 1990'

"Wakati mwingine nililazimika kupata pesa za ziada," alisema. "Namaanisha, kupata pesa za ziada kwa gari, kama dereva wa kibinafsi. Haipendezi kuzungumzia haya kwa kweli, lakini kwa bahati mbaya ndivyo ilivyokuwa."

🔴#LIVE: Kisa Barbara TFF Yaishukia Simba, Yanga Watamba Kutwaa Ubingwa | KROSI DONGO

KARIBU katika ‘KROSI DONGO’ upate stori za kuaminika za michezo ndani na nje ya nchi.. 

The post 🔴#LIVE: Kisa Barbara TFF Yaishukia Simba, Yanga Watamba Kutwaa Ubingwa | KROSI DONGO appeared first on Global Publishers.

Vimbunga vya Kentucky : Idadi ya waliofarioki kupita watu 100,gavana asema

"Hakuna kitu ambacho kilikuwa kimesimama kwenye mstari kimbunga ambacho bado kimesimama," alisema.

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Desemba 13, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Desemba 13, 2021. Usipitwe na Matukio, Install App Yako ya Kijanja...

The post Yasome Hapa Magazeti ya Leo Desemba 13, 2021 appeared first on Global Publishers.

Wizkid msanii bora wa mwaka Afrika, tuzo za AFRIMMA 2021

Staa wa muziki kutoka nchini Nigeria Wizkid amefanikiwa kushinda tuzo ya msanii bora wa mwaka 2021 katika bara la Afrika kupitia tuzo za AFRIMMA 2021.

The post Wizkid msanii bora wa mwaka Afrika, tuzo za AFRIMMA 2021 appeared first on Bongo5.com.

Yanga Wasikitishwa na Kauli za Mwenyekiti wa Simba

Uongozi wa Klabu ya Yanga umetoa taarifa ya kusikitishwa na kauli iliyotolewa na Mwenyekiti wa wanachama wa klabu ya Simba, Ndg Murtaza Mangungu baada ya...

The post Yanga Wasikitishwa na Kauli za Mwenyekiti wa Simba appeared first on Global Publishers.

Simi msanii bora wa kike Afrika Magharibi, AFRIMMA 2021

Staa wa muziki kutoka nchini Nigeria Simi amefanikiwa kushinda tuzo ya msanii bora wa kike Afika Magharibi wa mwaka katika tuzo za AFRIMMA 2021.

The post Simi msanii bora wa kike Afrika Magharibi, AFRIMMA 2021 appeared first on Bongo5.com.

Sunday, December 12, 2021

Rais Samia awaonya polisi wanaotumia nguvu kukamata watuhumiwa

Rais Samia Suluhu Hassan amelitaka Jeshi la Polisi kufuata sheria katika utendaji kazi wake na kumaliza kero zinazolalamikiwa na wananchi. Akitaja baadhi ya mambo yanayolalamiliwa, Rais amesema ni pamoja na kutumia lugha isiyofaa katika kazi zao, kukamata watu kwa kutumia nguvu na kukamata watu kwa makosa yasiyo ya msingi ambayo wakati mwingine wanahitaji kuelimishwa tu. …

The post Rais Samia awaonya polisi wanaotumia nguvu kukamata watuhumiwa appeared first on Bongo5.com.

“Vibe la Christmas, TECNO yatosha ” Yazinduliwa rasmi

Habari njema kwa watanzania nzima n asana sana wale watumiaji simu janja. Hii ni yao maana promotion hii iliyozinduliwa leo na kampuni za simu mkononi TECNO. Meneja mauzo wa TECNO Ms. Mariam Mohammed amewaambia watanzania "Msimu huu wa sikukuu chochote unachotaka kuwapa zawadi ndugu, jamaa na marafiki zako msimu huu wa sikukuu, utakipata tecno, unachotakiwa …

The post "Vibe la Christmas, TECNO yatosha " Yazinduliwa rasmi appeared first on Bongo5.com.

Zaidi ya watu 80 wamefariki katika kimbunga kibaya zaidi kuwahi kutokea Kentucky

Takriban watu 83 wamekufa, wengine wengi hawajulikani walipo na mji mzima umeharibiwa.

Tamko zito la TFF kwa CEO Barbara ”Alifika jukwaa la VVIP, alifanya vurugu”(+Video)

TFF tumesikitishwa na vitendo vya vurugu vilivyofanywa na viongozi wa Simba akiwemo Barbara Gonzalez.

The post Tamko zito la TFF kwa CEO Barbara ”Alifika jukwaa la VVIP, alifanya vurugu”(+Video) appeared first on Bongo5.com.

Friday, December 10, 2021

Simba wagomea Mkutano TFF, kisa bango lenye logo za GSM (+Video)

Mabingwa watetezi wa ligi kuu Tanzania Bara Simba SC hii leo hawakuzungumza na waandishi wa habari katika Mkutano uliyofanyika Makao Makuu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF licha ya Kaimu Afisa Habari wa timu hiyo kufika mahala hapo. Baada ya kuzungumza Kocha Nabi wa Yanga, ulifika muda wa Simba nao kuzungumza kwenye Mkutano …

The post Simba wagomea Mkutano TFF, kisa bango lenye logo za GSM (+Video) appeared first on Bongo5.com.

Kifaa cha kusaidia kujiua chazua taharuki nchini Uswizi

Mtengenezaji wa kifaa cha kujiua alisema ana uhakika kinaweza kutumika nchini Uswizi kuanzia mwaka ujao. Sarco iliomba ushauri wa mtaalamu wa sheria, na akaihakikishia kuwa kifaa hicho hakikiuki sheria za Uswizi. Lakini wanasheria wengine walihoji usahihi wa msimamo wake. Shirika la Dignitas, ambalo linahusika na suala la kusaidiwa kujiua, lilisema hakuna uwezekano kuwa kifaa hicho …

The post Kifaa cha kusaidia kujiua chazua taharuki nchini Uswizi appeared first on Bongo5.com.

Ajali ya Lori Mexico: Takriban watu 53 wamefariki baada ya lori kupinduka

Makumi wamejeruhiwa baada ya lori lililojaa wahamiaji kutoka Marekani ya kati kupinduka , maafisa wamesema.

Juan Jose Florian: 'Bomu lililokaribia kuniua lilikuwa zawadi ya maisha'

Juan Jose Florian alilazimishwa kuingia kwenye vita vya silaha upande wa pili wa familia. Bomu lilipokaribia kumuua, mchezo ulisaidia kupona.

Rais Samia alivyowatunuku nishani ya miaka 60 ya uhuru wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, ametunuku Nishani 14 ikiwa ni sehemu ya Nishani 893 alizozitunuku kwa wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama katika miaka 60 ya Uhuru ambayo imefanyika leo tarehe 09 Desemba 2021, Ikulu Jijini Dar es Salaam.

The post Rais Samia alivyowatunuku nishani ya miaka 60 ya uhuru wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama  appeared first on Bongo5.com.

Thursday, December 9, 2021

Chimamanda Ngozi Adichie:‘Nataka kusema kilicho fikrani mwangu’

Anazungumzia pia kuhusu tamaduni zilizofutwa na kile anachookiona kama lugha rasmi inayotumika kuwaangazia wanawake waliobadili jinsia

Kortini kwa Kutafuna Pesa Alizotumiwa Kimakosa M-Pesa

MWANAMAMA Nancy Chonge Chepkwemoi nchini Kenya ameshtakiwa kwa tuhuma za kuiba pesa alizotumiwa kimakosa kupitia simu kutoka kwa Vincent Maina Wambutu mnamo Novemba 27 kinyume...

The post Kortini kwa Kutafuna Pesa Alizotumiwa Kimakosa M-Pesa appeared first on Global Publishers.

"Mwanangu aliniomba nimpake rangi nyeupe kuepuka ubaguzi''

Kauli hiyo ilitolewa na mtoto wake wa kiume wakiwa bafuni huku wakichezea na povu hilo na anasema ni mara ya kwanza hali hiyo ilimuathiri sana.

Matukio Kwa Picha Katika Maadhimisho Ya Miaka 60 Ya Uhuru Tanzania..

The post Matukio Kwa Picha Katika Maadhimisho Ya Miaka 60 Ya Uhuru Tanzania.. appeared first on Global Publishers.

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Desemba 9, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Desemba 9, 2021. Usipitwe na Matukio, Install App Yako ya Kijanja...

The post Yasome Hapa Magazeti ya Leo Desemba 9, 2021 appeared first on Global Publishers.

Miaka 60 ya uhuru: Matukio na mambo yaliyoijenga Tanzania ya leo

Nchi ya Tanzania ni mojawapo ya 'uumbaji' uliofanywa na mwanadamu. Miaka 100 iliyopita, eneo ambalo leo nchi hiyo ipo lilikuwepo lakini jina hilo halikuwepo. Wakati Watanzania wakijiandaa kutimiza miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika Desemba 9 mwaka huu -ni wakati mzuri sasa kutazama ni mambo ambayo yameifanya Tanzania kuwa hivi ilivyo leo.

Miaka 60 ya uhuru: Mchango wa vyama vya upinzani katika siasa za Tanzania

Wakati Tanzania inatimiza miaka 60 ya uhuru wake ifikapo Desemba 9 mwaka huu, vyama vya upinzani ni miongoni mwa taasisi zinazoendelea kutoa mchango mkubwa katika siasa.

Kenya: Mahakama Kuu yaamua kazi za nyumbani ni kazi

Uamuzi wa kihistoria wakati wa kesi ya ndoa nchini Kenya ulikubali kuwa kazi ya nyumbani ni kazi.

Wednesday, December 8, 2021

#LIVE: RAIS SAMIA ANAHUTUBIA TAIFA, HOTUBA MAALUM LEO DESEMBA 08, 2021, IKULU DAR..

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Disemba 8, 2021 amehutubia taifa saa 3 kamili usiku, kuelekea kwenye maadhimisho ya miaka...

The post #LIVE: RAIS SAMIA ANAHUTUBIA TAIFA, HOTUBA MAALUM LEO DESEMBA 08, 2021, IKULU DAR.. appeared first on Global Publishers.

Afghanistan: Wasichana waliokata tamaa baada ya Taliban kuthibitisha kufunga shule

Wanafunzi na walimu kote nchini wanaelezea athari mbaya za kufungwa kwa shule.

Waziri Aweso azungumza haya baada ya kumalizika zoezi la utiaji saini wa makapuni ya kusambaza vifaa vya maji (+ Video)

Waziri wa Maji Jumaa Aweso leo ameshuhudia zoezi la utiaji saini na makampuni ya kusambaza vifaa vya maji nchi nzima vikiwa ni mabomba na pampu za maji. Baada ya kumalizika kwa zoezi hilo Wazi huyo alizungumza yafuatayo yakiwemo kuwapa onyo kali makampuni yaliyoteuliwa kusambaza vifaa hivyo pia akimshukutru Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania …

The post Waziri Aweso azungumza haya baada ya kumalizika zoezi la utiaji saini wa makapuni ya kusambaza vifaa vya maji (+ Video) appeared first on Bongo5.com.

Kansela mpya wa Ujerumani Olaf Scholz achukua mikoba ya Angela Merkel 

Olaf Scholz amechukua mikoba ya Angela Merkel leo na kuwa Kansela mpya wa Ujerumani baada ya kushinda kura 395 kati ya kura 707 zilizopigwa bungeni kumuidhinisha katika nafasi hiyo. Rais wa Bunge Bärbel Bas alitangaza rasmi matokeo hayo ya kura ya siri iliyopigwa bungeni leo kumuidhinisha Scholz kuwa kansela mpya wa Ujerumani. Scholz, aliyekuwa naibu …

The post Kansela mpya wa Ujerumani Olaf Scholz achukua mikoba ya Angela Merkel  appeared first on Bongo5.com.

Forbes: Rais Samia na aliyekuwa mke wa Jeff Bezos, Mackenzie Scott miongoni mwa wanawake 100 wenye uwezo mkubwa duniani

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ni miongoni mwa wanawake wenye ushawishi mkubwa walioorodheshwa katika orodha ya jarida la Forbes la wanawake wenye uwezo mkubwa duniani 2021.

XXL ya Clouds FM yafunga mwaka na Wanavyuo Tanzania

Kipindi namba moja cha Vijana Tanzania XXL kinachorushwa na Clouds FM kinatarajia kuufunga mwaka na event kubwa ya Wanavyuo wote Tanzania Jangwani Sea Breeze iliyopo Mbezi Beach Dar es salaam Disemba 11 2021. Akizungumza na Mwandishi wetu Mratibu Mkuu wa Tamasha hili Pancras Mayala (AskofuTZA) amesema kuwa mbali na Wanavyuo kupata nafasi ya kuja kufurahi …

The post XXL ya Clouds FM yafunga mwaka na Wanavyuo Tanzania appeared first on Bongo5.com.

Nafasi za Kazi 4 Geita Gold Mining Ltd (GGML), Technical Aid 2 – Ore Control

  ABOUT GEITA GOLD MINING LTD Geita Gold Mining Ltd (GGML) is Tanzania's leading gold producer with a single operation in Geita Region. The company...

The post Nafasi za Kazi 4 Geita Gold Mining Ltd (GGML), Technical Aid 2 – Ore Control appeared first on Global Publishers.

Nabi Aahidi Ushindi Kariakoo Dabi

KUELEKEA mchezo wa Kariakoo Dabi Jumamosi hii dhidi ya Simba, Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi, ameweka wazi kuwa licha ya kwamba anatarajia mchezo mgumu...

The post Nabi Aahidi Ushindi Kariakoo Dabi appeared first on Global Publishers.

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Desemba 8, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Desemba 8, 2021. Usipitwe na Matukio, Install App Yako ya Kijanja...

The post Yasome Hapa Magazeti ya Leo Desemba 8, 2021 appeared first on Global Publishers.

Mambo Magumu Kwa Uchebe

Kocha Mkuu wa Abaluhya Football Club Leopards Sports Club ‘AFC Leopards’ ya Kenya, Patrick Aussems raia wa Ubelgiji ana wakati mgumu katika ligi ya Kenya....

The post Mambo Magumu Kwa Uchebe appeared first on Global Publishers.

Majambazi Wafunga Mtaa wa Lumumba Dar, Mbunge Apambana Nao – Video

  WATU wawili wanaotuhumiwa kuwa ni majambazi wamevamia moja ya ghorofa lililopo mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam, leo Desemba 07 majira ya saa...

The post Majambazi Wafunga Mtaa wa Lumumba Dar, Mbunge Apambana Nao – Video appeared first on Global Publishers.

Diamond akiwa mbele ya Mawaziri aeleza jinsi alivyolipa kodi ta Tsh Bilioni 1.7 ndani ya mwaka 2021 (Video)

Msanii wa muziki na Rais wa WCB @diamondplatnumz ameweka wazi kiasi cha kodi anacholipa kwa mwaka ambapo ni Tsh Bilioni 1.7. Diamond ameeleza hilo kwenye mkutano wa Zoom ambao umekutanisha wadau wa siasa na viongozi mbali mbali kuelekea miaka 60 ya Uhuru. "Serikali imetengeneza mazingira rafiki kurasimisha tasnia ya muziki na kuiwekea wepesi kwenda kwenye …

The post Diamond akiwa mbele ya Mawaziri aeleza jinsi alivyolipa kodi ta Tsh Bilioni 1.7 ndani ya mwaka 2021 (Video) appeared first on Bongo5.com.

Tuesday, December 7, 2021

Aliyevujisha mitihani ya utabibu kufunguliwa mashtaka, Wizara yathibitisha

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imesema kuwa vyombo vya  ulinzi na usalama  vinakamilisha taratibu za kumfungulia mashtaka Mkufunzi aliyethibitika  kufungua mitihani, kuipiga picha na kuisambaza kwenye mitandao ya kijamii.

The post Aliyevujisha mitihani ya utabibu kufunguliwa mashtaka, Wizara yathibitisha appeared first on Bongo5.com.

Albamu Harmo Tishio Boomplay

ALBAMU ya High School ya staa wa Bongo wa Fleva, Harmonize imefikisha zaidi ya Streams milioni 10 kwenye mtandao wa Boomplay ikiwa ni siku 28...

The post Albamu Harmo Tishio Boomplay appeared first on Global Publishers.

Mwanamke anayewaokoa wenzake wanaotuhumiwa kwa uchawi

Monica Paulus alitoroka nyumbani kwake huko Papua New Guinea baada ya kaka yake kumshutumu kwa kusababisha kifo cha baba yao kwa uchawi. Ameweka maisha yake hatarini kulinda watu dhidi ya uwindaji wa wachawi na anashinikiza mabadiliko ya sheria za nchi.

Brunch N’ Learn chini ya mjasiriamali Mama Alaska ilivyotoa mwanga kwa wajasiamali Dar (Video)

Mjasiriamali Mama Alaska weekend hii aliandaa Brunch N’ Learn kwaajili ya wajasiriamali baada ya kuzunguka nchi nzima nakukutana na changamoto mbalimbali ambazo wanakutana nazo. 

The post Brunch N’ Learn chini ya mjasiriamali Mama Alaska ilivyotoa mwanga kwa wajasiamali Dar (Video) appeared first on Bongo5.com.

Joseph Sinde Warioba: 'Kwasasa hatuwezi kufanya kura ya maoni kuhusu katiba mpya Tanzania'

Kuelekea miaka 60 ya uhuru BBC imefanikiwa kufanya mazungumzo na Jaji mkuu mstaafu Mzee Joseph Sinde Warioba ambaye ameeleza mambo mengi ikiwemo suala la Tanzania kuwa na subira wa

MUSIC VIDEO: Stardrey Ft FireAyo – African Queen

Kipaji kipya kwenye muziki wa Bongo Fleva kinachokuja kwa kasi sana, Stardrey ameachia kazi yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘African Queen’ akiwa amemshirikisha FireAyo. Mdundo wa ngoma hii umetengenezwa na FireKidi, Video ikiongozwa na Director Talented. Bofya link hapa chini kutazama full video ya ngoma hiyo, Kisha utuachie comment yako kuhusu kazi hiyo;

The post MUSIC VIDEO: Stardrey Ft FireAyo – African Queen appeared first on Bongo5.com.

Mzunguko Wa Sita Hatua Ya Makundi Ya Ligi Ya Mabingwa Kumalizika Wiki Hii

Baadhi ya timu zimeshafuzu hatua ya Mtoano kunako Ligi ya Mabingwa, zingine, bado zinajitafuta na michezo ya mwisho itaamua. Wiki hii mambo yapo hivi;  ...

The post Mzunguko Wa Sita Hatua Ya Makundi Ya Ligi Ya Mabingwa Kumalizika Wiki Hii appeared first on Global Publishers.

Miaka 60 ya uhuru: Hapa ndipo Watanzania walitaka kuwa?

Desemba 9 mwaka 1961 - mambo makubwa mawili yalifanyika kama sehemu ya maadhimisho ya Uhuru wa Tanganyika; Mosi ilikuwa ni kushusha chini bendera ya mkoloni na kupandisha ya taifa huru na wakati huohuo kupandisha Mwenge wa Uhuru kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro.

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Desemba 7, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Desemba 7, 2021. Usipitwe na Matukio, Install App Yako ya Kijanja...

The post Yasome Hapa Magazeti ya Leo Desemba 7, 2021 appeared first on Global Publishers.

Miaka 60 ya uhuru:Kinamama wengine hawakujua kusoma -Mama Maria Nyerere

Miaka 60 ya uhuru:Kinamama wengine hawakujua kusoma wakati wa mapambano ya uhuru-Mama Maria Nyerere

Shaka asema safari za Rais zina baraka za CCM

Katibu wa NEC Itikadi na Uongozi, ndg. Shaka Hamdu Shaka amesema Rais kusafiri amepewa kibali na baraka na Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi. Shaka amesema ipo minong’ono mingi ya kwamba Rais anasafiri sana na kuongeza kuwa ibara ya 132 kifungu kidogo cha 18 kifungu kidogo cha 22 na kifungu kidogo cha 32 na …

The post Shaka asema safari za Rais zina baraka za CCM appeared first on Bongo5.com.

Monday, December 6, 2021

Ghorofa Laporomoka Goba, Wanne Afariki – Video

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Mhe. Heri James amethibitisha kuwa watu wanne wamefariki dunia kufuatia tukio la ghorofa ambayo ujenzi wake unaendelea kuangukia nyumba, mtaa...

The post Ghorofa Laporomoka Goba, Wanne Afariki – Video appeared first on Global Publishers.

Hijra: Mateso ya watu wenye jinsia ya tatu huanzia kwenye familia zao wenyewe

"Familia yangu ilifikiria nilikuwa namashetani. Ndio maana nina tabia kama za msichana. Kabiraji amekuwa akifanyiwa ukatili wa kimwili katika maeneo mengi."

Sababu ya Mwanri Kuamrisha Shamba Livurugwe

Balozi wa zao la pamba nchini Aggrey Mwanri, ameamrisha shamba la Jeremia Kisumo na Laher Robert wakazi wa Mshinde, Kata ya Bung'wangoko, mkoani Geita livurugwe...

The post Sababu ya Mwanri Kuamrisha Shamba Livurugwe appeared first on Global Publishers.

Rais Samia Kumwaga Barabara, Kivuko Kikubwa Kigamboni – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amepokea kilio cha wananchi wa Kigamboni kuhusu changamoto ya barabara na kumtaka Mbunge wa...

The post Rais Samia Kumwaga Barabara, Kivuko Kikubwa Kigamboni – Video appeared first on Global Publishers.

Aliyempa Sabaya milioni 90 alindwa na sheria, ombi la kina sabaya latupiliwa mbali

Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imetupilia mbali ombi la Mawakili wa Sabaya la kutaka mahakama imkamate Shahidi wa 10 wa Jamhuri, ndg. Evarist Mrosso kwa madai kuwa alikiri mahakamani kuwa alitoa rushwa ya Milioni 90. Sabaya akimshika bega Wakili Fidolion Bwemelo Akisoma uamuzi mdogo leo Disemba 6, Hakimu Dk. Patricia Kisinda, amesema kuwa kifungu cha …

The post Aliyempa Sabaya milioni 90 alindwa na sheria, ombi la kina sabaya latupiliwa mbali appeared first on Bongo5.com.

Janga la covid Uganda: Kumi kati ya watoto wa Fred Ssegawa hawatarudi shuleni tena.

Hii inatokana na kufungiwa nje ya msomo tangu Machi 2020, kufuatia hatua kali za Uganda za kudhibiti virusi vya coron

Mwanamke Amnyonyesha Paka Kwenye Ndege

  Maajabu hayawezi kuisha duniani, unaambiwa mwanamke mmoja aliyekuwa mmoja wa abiria katika ndege ya Delta inayofanya safari zake kati ya Syracuse, New York na...

The post Mwanamke Amnyonyesha Paka Kwenye Ndege appeared first on Global Publishers.

Tetesi za soka Ulaya Jumatatu 06.12. 2021: Mbappe, Salah, Ruiz, Ten Hag, Dembele, Mertens, Caballero

Mshambuliaji wa Ufaransa Kylian Mbappe haajamuwa iwapo hatoendelea kuwa katika Paris St-Germain, ambao walikataa ofa kutoka Real Madrid kwa ajili ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22 katika msimu wa kiangazi. Mkataba wa Mbappe na PSG unamalizika msimu huu. (Amazon Prime, via Goal)

CNN yamfukuza kazi mtangazaji kwa kumsaidia kaka yake mwanasiasa

Mtangazaji wa Marekani Chris Cuomo amefukuzwa kazi na CNN baada ya kumsaidia kaka yake, gavana wa zamani wa New York Andrew Cuomo, alipokuwa akipambana na madai ya unyanyasaji.

Kampuni ya mtandao wa kijamii ya Trump yapata dola bilioni 1 kutoka kwa wawekezaji

Rais wa zamani wa Marekani anatarajia kuzindua programu ya mtandao wa kijamii unaoitwa Truth Social, mapema mwaka ujao.

Sunday, December 5, 2021

Majaliwa: Serikali Itaendelea Kuthamini Mchango Wa Dini Katika Kutunza Amani

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali itaendelea kutambua na kuthamini mchango wa kamati za amani za viongozi wa dini zinazojumuisha dini zote na ambazo tangu...

The post Majaliwa: Serikali Itaendelea Kuthamini Mchango Wa Dini Katika Kutunza Amani appeared first on Global Publishers.

Red Arrows 2 – 1 Simba, Mnyama atinga hatua ya makundi Afrika

Mabingwa watetezi Ligi Kuu Tanzania Bara na Miamba ya soka Afrika Mashariki na Kati Simba SC wamefanikiwa kutinga hatua ya Makundi ya Michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kutoka kwa goli 2 – 1 hii leo ugenini huku aggregate ya 4 – 2 ikiwapa nafasi hiyo ya kwenda hatua inayofuata baada ya ushindi …

The post Red Arrows 2 – 1 Simba, Mnyama atinga hatua ya makundi Afrika appeared first on Bongo5.com.

50 Cent Amuomba Radhi Madonna

 Rapa na muigizaji wa filamu ya 'Power', 50 Cent amemuomba radhi muimbaji na muigizaji mwenzake, Madonna baada ya Madonna kutofurahishwa na utani alioufanya rapa huyo...

The post 50 Cent Amuomba Radhi Madonna appeared first on Global Publishers.

Bao la ushindi laondoka na uhai wa kocha, El-Selhadar, Misri

Kocha wa klabu ya El Magd, Adham El-Selhadar amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 53 wakati akisherehekea goli la ushindi dakika ya 92 kabla mpira kumalizika kwenye ushindi wa 1 – 0 dhidi ya timu ya El Zarqa. Adham El-Selhadar kocha wa klabu ya El Magd inayoshiriki ligi daraja la pili amefariki dunia kutokana …

The post Bao la ushindi laondoka na uhai wa kocha, El-Selhadar, Misri appeared first on Bongo5.com.

Tunakamilisha kazi leo – Simba SC

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara na Miamba ya soka Afrika Mashariki na Kati Simba SC wanatarajia kushuka uwanjani hii leo siku ya Jumapili kutafuta tiketi ya kutinga hatua ya makundi ya kombe la Shirikisho barani Afrika CAF dhidi ya Red Arrows nchini Zambia. Simba SC wanashuka uwanjani ugenini huku wakiwa na kumbukumbu ya …

The post Tunakamilisha kazi leo – Simba SC appeared first on Bongo5.com.

#LIVE: Mstaafu Kikwete anashiriki Kumbukumbu ya Kifo cha Baba Mzazi wa Nape Nnauye.

   MSTAAFU KIKWETE ANASHIRIKI KUMBUKUMBU ya KIFO CHA BABA MZAZI WA NAPE NNAUYE.. LEO Desemba 05, Rais mstaafu wa awamu wa Nne, Jakaya Kikwete...

The post #LIVE: Mstaafu Kikwete anashiriki Kumbukumbu ya Kifo cha Baba Mzazi wa Nape Nnauye. appeared first on Global Publishers.

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Desemba 5, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Desemba 5, 2021. Usipitwe na Matukio, Install App Yako ya Kijanja...

The post Yasome Hapa Magazeti ya Leo Desemba 5, 2021 appeared first on Global Publishers.

Rais Samia ateua Mkuu wa Wilaya ahamisha wengine vituo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa Mkuu wa Wilaya ya Arusha na mabadiliko ya vituo vya kazi.

The post Rais Samia ateua Mkuu wa Wilaya ahamisha wengine vituo appeared first on Bongo5.com.

Afghanistan: Macron aweka wazi mipango ya kufungua ubalozi wa pamoja wa Ulaya

Rais wa Ufaransa anasema mataifa kadhaa ya Ulaya yanafanyia kazi suala la ujumbe wa pamoja wa kidiplomasia.

Rais Samia Amefanya Mabadiliko ya Wakuu wa Wilaya

Rais Samia amefanya mabadiliko ya wakuu wa wilaya wawili (Moshi na Karatu) kwa kuwahamisha vituo vya kazi huku akiteua mkuu wa wilaya mmoja.

The post Rais Samia Amefanya Mabadiliko ya Wakuu wa Wilaya appeared first on Global Publishers.

Saturday, December 4, 2021

Kwanini vikosi vya Uganda vimeingia DRC kwa mara nyingine?

Uvamizi wa hapo awali ulisababisha shutuma za uporaji na unyanyasaji, Je, itakuwa tofauti wakati huu?

Mtatiro Akamata Tani 10 za Korosho Zilizooza

Mkuu wa Wilaya ya Tunduru Julius Mtatiro ameendesha oparesheni ya mazao wilayani Tunduru kwa siku 2 mfululizo na kufanikiwa kukamata tani 10 za korosho zilizooza...

The post Mtatiro Akamata Tani 10 za Korosho Zilizooza appeared first on Global Publishers.

Real Madrid wana uhakika na Kylian Mbappe

Mipango ya Real Madrid ndani na nje ya uwanja ni kuhakikisha inafanikiwa kumnasa mshambuliaja wa Paris Saint-Germain Mfaransa Kylian Mbappe, 22. Ikiwa zimesalia siku 28 Kylian Mbappé kuingia kwenye miezi sita ya mwisho ya kandarasi yake na  Paris Saint-Germain ambapo itaweza kumfanya kuwa huru kuingia saini ya makubaliano ya awali na Real Madrid, hali inayoonekana …

The post Real Madrid wana uhakika na Kylian Mbappe appeared first on Bongo5.com.

Rais Samia Acharuka, Avunja Bodi TPA, Shirika la Meli

Rais Samia Suluhu Hassan leo Jumamosi Desemba 4,2021 wakati akizindua gati katika Bandari ya Dar es Salaam ametangaza kuzivunja Bodi ya Mamlaka ya Badari Tanzania...

The post Rais Samia Acharuka, Avunja Bodi TPA, Shirika la Meli appeared first on Global Publishers.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...