Tanzania Daily Eye
Monday, March 20, 2023
Rais Ruto Sasa Asema Yuko Tayari Kwa Mazungumzo na Viongozi wa Upinzani
Sunday, January 9, 2022
Country boy aondoka Konde Gang
upitia akaunti ya Konde Gang wameandima ujumbe huu:- TAARIFA: Mkataba Kati Ya Konde Music Worldwide Na @countrywizzy_tz Umemalizika Hii Leo Tar 8 January 2022. Kuanzia Leo Country Wizzy Atakuwa Msanii Anaejitegemea Baada Ya Kufikia Makubaliano Ya Pande Zote Mbili. Konde Music Worldwide Inamtakia Kila Lenye Kheri Country Wizzy Kwenye Career Yake Ya Music Pamoja Na …
The post Country boy aondoka Konde Gang appeared first on Bongo5.com.
Yasome Hapa Magazeti ya Leo Jumapili, Januari 9, 2022
Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Januari 9, 2022 Usipitwe na Matukio, Install App Yako ya Kijanja...
The post Yasome Hapa Magazeti ya Leo Jumapili, Januari 9, 2022 appeared first on Global Publishers.
Orodha ya Mawaziri walioteuliwa na Rais Samia
Rais Samia afanya mabadiliko ya baraza la mawaziri na kubuni wizara mpya Akitangaza mabadiliko hayo, Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Hussein Kattanga amesema Rais amefanya mabadiliko ya muundo katika wizara tatu. Rais Samia ”ameunganisha wizara tatu, iliyokuwa wizara ya uwekezaji iliyokuwa chini ya ofisi ya Waziri Mkuu na pia ameunganisha wizara ya biashara moja ambayo itaitwa …
The post Orodha ya Mawaziri walioteuliwa na Rais Samia appeared first on Bongo5.com.
Saturday, January 8, 2022
Simba Queens Yaichakaza Vibaya Yanga Princes
SIMBA Queens imeendeleza rekodi ya ubabe mbele ya Yanga Princess kwa kuendeleza vipigo kwenye msimu wao wa nne mfululizo baada ya kuibuka na ushindi wa...
The post Simba Queens Yaichakaza Vibaya Yanga Princes appeared first on Global Publishers.
Achomwa Moto na Rafiki Yake Kisa Mke
Daud Emanuel (27) mkazi wa Chamwino Manispaa ya Morogoro, amenusurika kifo baada ya kumwagiwa mafuta ya petroli kisha kuchomwa moto na rafiki yake aliyefahamika kwa...
The post Achomwa Moto na Rafiki Yake Kisa Mke appeared first on Global Publishers.
Rais Samia afanya mabadiliko ya baraza la mawaziri na kubuni wizara mpya
Barabara Ndefu Zaidi Duniani Chini ya Ziwa Yaanza Kufanya Kazi
IKIWA ni takriban miaka minne ya ujenzi, barabara ndefu zaidi ya chini ya maji nchini China, hatimaye barabara hiyo imeanza kutumika kwa kupitisha magari chini...
The post Barabara Ndefu Zaidi Duniani Chini ya Ziwa Yaanza Kufanya Kazi appeared first on Global Publishers.
Je ni yapi manufaa viliyoyapata vyama vya upinzani Tanzania kwa kujiuzulu kwa Spika Ndungai?
-
Bongo Deco wauzai wa vifaa mbalimbali vya umeme kama TV, Subwoofer, Hometheator, Majiko madogo na makubwa ya Gesi, Friji, Generator nk leo w...
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Toyota Hiace (BZK) Year :2002 Cc :2069 Km :27004 Fuel :Diesel Engine yenye uwezo mkubwa:5L Gari imetunzwa mazingira mazuri Selling price: 2...
-
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imesema kuanzia kesho Jumatano Juni 23, 2021 itakuwa ni marufuku kwa mtu yeyote kuingia eneo la hospita...
-
Na Amiri Kilagalila Njombe Jumuiya ya wanawake wa Chama cha Mapinduzi CCM mkoa wa Njombe inatarajia kufungua kiwanda cha kuzalisha sabuni mk...
-
Kupitia ukurasa wake wa Instagram mjasiriamali Faiza Ally ameweka wazi hisia zake na kusema kuwa anatamani sana kuona msanii wa Bongo Flev...
-
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya siku tano ya kunyesha mvua kubwa inayoweza kusababisha athari ikiwemo mafuriko. ...
-
Njiwa aliyesafiri katika bahari ya Pacific amewasilli Australia wakati ambao kuna sheria kali za kutotoka nje. Ndege huyo aliripotiwa kupo...
-
UNAPOTAJA jina la mwanamuziki mkubwa barani Afrika, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' kutoka Tanzania, akili za wengi zinakimbilia kwe...
-
Kampuni ya KILIMANJARO BIOCHEM LIMITED inazindua kinywaji kipya aina ya pombe kali ya KIWINGU. Kinywaji hichi kitazalishwa katika kiwanda ch...