Forbes: Rais Samia na aliyekuwa mke wa Jeff Bezos, Mackenzie Scott miongoni mwa wanawake 100 wenye uwezo mkubwa duniani
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ni miongoni mwa wanawake wenye ushawishi mkubwa walioorodheshwa katika orodha ya jarida la Forbes la wanawake wenye uwezo mkubwa duniani 2021.