Tanzania Daily Eye
Monday, December 6, 2021
CNN yamfukuza kazi mtangazaji kwa kumsaidia kaka yake mwanasiasa
Mtangazaji wa Marekani Chris Cuomo amefukuzwa kazi na CNN baada ya kumsaidia kaka yake, gavana wa zamani wa New York Andrew Cuomo, alipokuwa akipambana na madai ya unyanyasaji.
Newer Post
Older Post
Home