Tuesday, October 28, 2025
REA YAPELEKA NEEMA NANYAMBA
Tuesday, October 14, 2025
RIDHIWANI APONGEZA MAFANIKIO YA ILANI YA CCM, AWASIHI WANANCHI WA BWILINGU KUICHAGUA TENA 2025




Sunday, October 12, 2025
Serikali yazindua mfumo wa kielektoniki ukaguzi wa vyombo vya Moto.
Friday, October 10, 2025
Mgombea wa CCM Mabibo atangaza neema rukuki
MGOMBEA Udiwani wa Kata ya Mabibo, wilayani Ubungo, jijini Dar es Salaam, kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ashura Mohammed Seg'ondo, amewataka wananchi katika kata hiyo kujitokeza kwa wingi Oktoba 29 mwaka huu kumpigia kura Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan na yeye kwa nafasi ya udiwani ili kuwaletea maendeleo ya haraka.
Aidha amewataka kumchagua Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM katikaJimbo la Ubungo Profesa Kitila Mkumbo hali itakayo harakisha maendeleo katika kata hiyo.
Akihutubia mkutano wa kampeni katika kata hiyo, Ashura alisema akichaguliwa kipaumbele chake cha kwanza ni kuhakikisha anasimamia kikamilifu ujenzi wa miundo mbinu.
"Miundombinu nimeigawanya katika sehemu mbili. Barabara kuu na barabara za ndani. Katika Mtaa wa Jitegemee mkandarasi tayari anaendelea na ujenzi wa Barabara ya Binti Kayenga. Nami kwa kushirikiana na nyie nitahakikisha kwa ujasiri wangu mkubwa kwa nguvu zangu zote mkandarasi afanye kazi kwa haraka kukamilisha ujenzi,"ameeleza Ashura.
Amebainisha, Kata ya Mabibo, imejaaliwa viwanda vikubwa hivyo kwa kushirikiana na viongozi atahakikisha kwa asilimia kubwa wakazi wa kata hiyo watananufaika na ajira.
"Pia katika sekta ya michezo nitahakikisha tunashirikiana vyema ili iwe fursa ya ajira kwa sababu Kata ya Mabibo ni ni kitovu cha mchezo wa ngumi. Bondia Mfaume Mfaume anatoka katika kata hiii,"ameeleza.
Kuhusu mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na halmashauri , Ashura ameeleza atahakikisha inawasikia walengwa.
"Mikopo inakuja lakini haiwanufaishi walengwa. Nikichaguliwa nitahakikisha mikopo hii inawafikia walengwa. Inawanufaisha wanawake, vijana na watu wenye ulemavu. Kausha damu itakuwa baibai,"ameeleza mgombea huyo.
Amesema atafanya jitihada kuleta walimu wa vikoba kutoa elimu kwa wananchi katika kata hiyo ili viinue uchumi hasa wawanawake.
Friday, October 3, 2025
TAMASHA LA SIKU YA WANA 'STAND UNITED" NI KESHO JUMAMOSI CCM KAMBARAGE
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
-
NA REBECA DUWE TANGA Mkuu wa Mkoa wa Tanga Balozi Dkt Batlida Burian amewataka wananchi wenye migogoro mbalimbali ikiwemo ya ndoa na ardhi ...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...

















