Klabu ya Simba imepangiwa kukutana na 🇾🇪Al Masry kwenye hatua ya robo fainali ya kombe la shirikisho Barani Afrika.
Mshindi kwenye mchezo huo atakutana na mshindi wa mchezo kati ya Stellenbosch na Zamalek kwenye hatua ya nusu fainali.
Je, Mnyama atatoboa _____?