Thursday, February 20, 2025

Klabu ya Simba imepangiwa kukutana na Al Masry Robo Fainali CAF Shirikisho

Klabu ya Simba imepangiwa kukutana na Al Masry Robo Fainali CAF Shirikisho


Klabu ya Simba imepangiwa kukutana na 🇾🇪Al Masry kwenye hatua ya robo fainali ya kombe la shirikisho Barani Afrika.

Mshindi kwenye mchezo huo atakutana na mshindi wa mchezo kati ya Stellenbosch na Zamalek kwenye hatua ya nusu fainali.

Je, Mnyama atatoboa _____?
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...