Tuesday, October 15, 2024

Spika wa Bunge Dk Tulia Ackson afungua Mkutano wa Mabunge Duniani Uswisi

 Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson, leo tarehe 14 Oktoba, 2024 amefungua rasmi Mkutano Mkuu wa 149 wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) uliofanyika katika Kituo...

The post Spika wa Bunge Dk Tulia Ackson afungua Mkutano wa Mabunge Duniani Uswisi first appeared on JAMHURI MEDIA.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...