Tuesday, October 15, 2024

Rais Samia awasihi wananchi kushiriki Uchaguzi Serikali za Mitaa

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa wito kwa wananchi wote wenye sifa kuhakikisha wanashiriki katika uchaguzi muhimu wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika tarehe 27 Novemba, 2024. Rais Samia amesema kuwa uchaguzi huo utatoa...

The post Rais Samia awasihi wananchi kushiriki Uchaguzi Serikali za Mitaa first appeared on JAMHURI MEDIA.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...