Serikali ya Rais Donald Trump inasisitiza kwamba imekuwa na msimamo mkali kwa Urusi kuhusiana na suala la Afghanistan ila imeuweka wazi mlango wake kwa kumualika Rais Vladimir Putin kwa mkutano wa kilele.
Waziri wa mambo ya nje wa Marekani, Mike Pompeo amesema "si jambo jipya" kwamba Urusi imekuwa ikienda kinyume na maslahi ya Marekani huko Afghanistan.
Haya yanajiri wakati ambapo uongozi wa Trump umekasirishwa na ripoti zilizochapishwa kwenye magazeti kwamba idara ya ujasusi ya Marekani inaamini kuwa Urusi iliwalipa wanamgambo wa Taliban kwa ajili ya kuwauwa wanajeshi wa Marekani.
Rais Trump kupitia kwa katibu wa ikulu ya White House, Kayleigh McEnany amekanusha kwamba hakufahamishwa kuhusiana na suala hilo.
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe asomewa mashtaka matatu ya uchochezi, yenye nia ya kuleta ch...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mjini Richard Kasesela Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mjini Richard Kasesela amelishauri Kanisa la Kiinjili la Kilutheri ...
