Tuesday, April 14, 2020

Wagonjwa Wa Corona Nchini Kenya Wafika 216....Ni Baada ya Wengine 8 Kuongezeka Leo

Idadi ya waathirika wa Virusi vya Corona nchini Kenya imeongezeka na kufikia 216, baada ya hii leo kuthibitisha visa vipya nane, ambapo watano ni raia wa Kenya na watatu ni raia kutoka Mataifa mengine.


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...