Kutana na Belgian Car forest.! Msitu ambao umeficha magari yaliyokua kwenye foleni na kutelekezwa yakiwa yamejipanga kama yapo barabarani.! VIDEO:
Tuesday, April 14, 2020
Stori ya Kutisha ya Foleni Ya Magari Iliyoganda Porini Kwa Muda Wa Miaka 70...
Kunakitu kuhusu sehemu ambazo zimetelekezwa miaka mingi iliyopita ambazo wengine huita magofu, sehemu hizi mara nyingi hua zimetumika miaka ya nyuma na baadae kuachwa peke yake zikibakisha historia na kumbukumbu za watu waliopita, Kibaya ni kwamba sio kila sehemu inaachwa kwa mazuri, sehemu nyingine hushtua na kutisha kiasi kwamba hata kutembelea tu lazima roho yako isite.!
Kutana na Belgian Car forest.! Msitu ambao umeficha magari yaliyokua kwenye foleni na kutelekezwa yakiwa yamejipanga kama yapo barabarani.! VIDEO:
Kutana na Belgian Car forest.! Msitu ambao umeficha magari yaliyokua kwenye foleni na kutelekezwa yakiwa yamejipanga kama yapo barabarani.! VIDEO:
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
