Tuesday, March 17, 2020
Mke Wangu Anavaa Vikuku Miguu Yote Miwili je Nini Maana Yake?
Mke Wangu Anavaa Vikuku Miguu Yote Miwili je Nini Maana Yake?
Mimi ni kijana wa miaka 28 ninampenda mke wangu lakini kuna baadhi ya tabia zimekuwa changamoto kubwa kwangu ambazo zinapelekea baadhi ya ndugu zangu na marafiki zangu kutompenda mke wangu.
Mke wangu anapenda kuvaa vikuku wakati anatokana, huwa anapenda kuvaa miguu miwili, hili limekuwa tatizo kubwa kwangu kutokana na watu huwa wananipa maana mbaya ya mwanamke anayevaa vikuku viwili katika miguu yake.
Kila ninapomuuliza mke wangu uniambia anavaa kama urembo kama anavyovaa urembo mwingine, ndugu zangu nahitaji kujua maana yake na kama ina maana mbaya nifanye nini ili mke wangu aache kuvaa naomba ushauri wenu.
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe asomewa mashtaka matatu ya uchochezi, yenye nia ya kuleta ch...