Thursday, March 28, 2019
Vazi la kitenge linavyokuweka 'smart'
Ni miaka mingi sana sasa, Afrika imekuwa ikitengeneza malighafi hii ya Kitenge. Mataifa mengi kama Nigeria, Ghana, DR Congo na kwingineko, tulizoea kuwaona wakivaa vitenge vilivyoshonwa kwa mitindo anuai na ya kuvuatia.
Hapa nchini Tanzania, Kitenge, naweza kusema kimechelewa sana kupewa nafasi ingawa tulikuwa na viwanda vilivyozalisha aina hii ya malighafi kama Sunguratex, Urafiki nk. Nyakati zile ilikuwa ukimwona mwanamama kavaa vazi hilo basi moja kwa moja watu watasema 'kavaa vazi la taifa'.
Halikuwa vazi la kawaida, kwa sababu tulitekwa na mitindo mingi ya kigeni. Wanaume ni wachache sana ambao walivaa vazi hili miaka hiyo.
Lakini sasa mambo yamegeuka, Kitenge kimekuwa vazi la gharama na kinashonwa katika mitindo mbalimbali ya kuvutia kama magauni, mashati, kaptula, suruali, suti, mikoba na ushishangae ukikutana na viatu vya aina hii.
Hakika ukivaa muonekano wako hubadilika, urembo au ushababi wako huwa dhahiri shahiri hasa ukimpata fundi anayejua vyema kucheza na 'body' na kukufyatulia kitu kifaacho. Vijana watasema 'Amazing!'
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
