Thursday, March 28, 2019
Vazi la kitenge linavyokuweka 'smart'
Ni miaka mingi sana sasa, Afrika imekuwa ikitengeneza malighafi hii ya Kitenge. Mataifa mengi kama Nigeria, Ghana, DR Congo na kwingineko, tulizoea kuwaona wakivaa vitenge vilivyoshonwa kwa mitindo anuai na ya kuvuatia.
Hapa nchini Tanzania, Kitenge, naweza kusema kimechelewa sana kupewa nafasi ingawa tulikuwa na viwanda vilivyozalisha aina hii ya malighafi kama Sunguratex, Urafiki nk. Nyakati zile ilikuwa ukimwona mwanamama kavaa vazi hilo basi moja kwa moja watu watasema 'kavaa vazi la taifa'.
Halikuwa vazi la kawaida, kwa sababu tulitekwa na mitindo mingi ya kigeni. Wanaume ni wachache sana ambao walivaa vazi hili miaka hiyo.
Lakini sasa mambo yamegeuka, Kitenge kimekuwa vazi la gharama na kinashonwa katika mitindo mbalimbali ya kuvutia kama magauni, mashati, kaptula, suruali, suti, mikoba na ushishangae ukikutana na viatu vya aina hii.
Hakika ukivaa muonekano wako hubadilika, urembo au ushababi wako huwa dhahiri shahiri hasa ukimpata fundi anayejua vyema kucheza na 'body' na kukufyatulia kitu kifaacho. Vijana watasema 'Amazing!'
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Hii hapa ngoma mpya ya Msanii wa Nyimbo za asili Mama Ushauri ameshirikiana na Ng'wana Ng'washi inaitwa Merimela ,imetengenezwa Lw...