Thursday, March 28, 2019
Vazi la kitenge linavyokuweka 'smart'
Ni miaka mingi sana sasa, Afrika imekuwa ikitengeneza malighafi hii ya Kitenge. Mataifa mengi kama Nigeria, Ghana, DR Congo na kwingineko, tulizoea kuwaona wakivaa vitenge vilivyoshonwa kwa mitindo anuai na ya kuvuatia.
Hapa nchini Tanzania, Kitenge, naweza kusema kimechelewa sana kupewa nafasi ingawa tulikuwa na viwanda vilivyozalisha aina hii ya malighafi kama Sunguratex, Urafiki nk. Nyakati zile ilikuwa ukimwona mwanamama kavaa vazi hilo basi moja kwa moja watu watasema 'kavaa vazi la taifa'.
Halikuwa vazi la kawaida, kwa sababu tulitekwa na mitindo mingi ya kigeni. Wanaume ni wachache sana ambao walivaa vazi hili miaka hiyo.
Lakini sasa mambo yamegeuka, Kitenge kimekuwa vazi la gharama na kinashonwa katika mitindo mbalimbali ya kuvutia kama magauni, mashati, kaptula, suruali, suti, mikoba na ushishangae ukikutana na viatu vya aina hii.
Hakika ukivaa muonekano wako hubadilika, urembo au ushababi wako huwa dhahiri shahiri hasa ukimpata fundi anayejua vyema kucheza na 'body' na kukufyatulia kitu kifaacho. Vijana watasema 'Amazing!'
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
