Friday, March 29, 2019
Ukaribu wa Willy Paul na Nandy wahimarika, amwagia sifa
Baada ya mwimbaji Nandy 'African Princess' kufanya kolabo na Willy Paul kutokea +254 Kenya kwenye ngoma ya Njiwa ambayo iliachiwa rasmi June 27,2018 kaaika mtandao wa You Tube na kufanya vizuri ndani na nje ya nchi ya Tanzania, sasa wawili hao wanaonekana kuileta ngoma nyingine pamoja.
Kupitia ukurasa wa instagram wa Nandy ametuonyesha kipande kifupi cha video na kuandika caption ikisema 'Hallelujah" ambapo imetabiriwa kuwa ndio jina la ngoma inayofata na kisha akamtaja mwimbaji Willy Paul. Endapo ngoma hiyo ikitoka basi itakua ni track ya pili kutoka kwa mwimbaji Nandy na Willy Paul.
Inaelezwa kuwa ngoma hii inakuja baada ya kilio cha Willy Paul kutamani kufanya kazi tena na Nandy baada ya ngoma yao ya Njiwa kufanya vizuri huku akiwa ameshusha sifa kibao kwa mwanadada Nandy na kushukuru kwa kufanya nae project hiyo ya njiwa.
"Nandy ni mmoja wa wasanii wa kike wenye sauti Tanzania na Afrika kwa ujumla, ninafuraha kufanya nae kazi kwenye project ya njiwa, sitojali kufanya nae wimbo mwingine, kufuatia mafanikio ya njiwa sitojali kufanya nae nyingine tafadhali mwambieni sitojali kufanya nae nyingine, kama unatamani sisi kufanya wimbo mwingine basi andika neno ndio" >>>Willy Paul
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
