Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Mashindano ya Yanga, Mustapha Urungu, amefariki dunia mchana wa leo Jumamosi Februari 23, 2019 nyumbani kwake Temeke.
Msemaji wa Yanga Dismas Ten amethibitisha taarifa hizo kwa kusema Urungu amefariki dunia akiwa nyumbani kwake na chanzo ni presha kushuka.
Ten ameongeza kuwa kwa mujibu wa familia ya marehemu Urungu ni kwamba aliamka akiwa sawa lakini ghafla mchana leo alizidiwa na kufariki dunia.
Mwili wa Urungu utasafirishwa kwenda kwao Wilayani Rufiji mkoani Pwani kwaajili ya mazishi ambayo yatafanyika kesho Jumapili.
Ndani ya Yanga Urungu alikuwa na nafasi mbili ambazo ni makamu mwenyekiti wa kamati ya mashindano pamoja na makamu mwenyekiti wa kamati ya usajili.
How to learn a language in 2019? Here is the '15 min method'
Babbel
|
Sponsored
This Natural Weight Loss Fruit Can Easily Help You Drop Pounds
Purple Mangosteen | Supplement
|
Sponsored
15 Emotional LGBTQ Wedding Pictures That Will Melt Your Heart
Beauty Secondly
|
Sponsored
7 Insider Secrets to Booking Cheap Flights
Relocation Target
|
Sponsored
If You Eat Ginger Root Every Day, This is What Happens To Your Body
Health & Human Research
|
Sponsored
Afikishwa mahakamani kwa kuvamia msafara wa Rais | East Africa Television
Mwanaume mmoja aliyejulikana kwa jina la Adriunus Landnam (34) mkazi wa Mkunazini, Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, amefikishwa mahakamani kwa kosa la kuingilia msafara wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dr Alli Mohamed Shein.
EATV
TOP STORIES
SPORT
"Shughuli ya Lechantre imekwisha"-Manara
SPORT
Ngoma ashindwa kuichezea Azam, Kagame
CURRENT AFFAIRS
Amuua mke mwenza na kumzika shambani
CURRENT AFFAIRS
Mbunge wa CHADEMA, ajiuzulu na kujiunga CCM
MOST POPULAR
CURRENT AFFAIRS
Makamu wa Rais asikitikia rufaa ya kina Mbowe
CURRENT AFFAIRS
Afikishwa mahakamani kwa kuvamia msafara wa Rais
ENTERTAINMENT
Fid Q awataja walioiba fedha za rambirambi
SPORT
Meddie Kagere sasa ni wa pili Afrika
ENTERTAINMENT
Mfahamu Mtanzania aliyeigiza kwenye Game of Throne
ABOUT US
ABOUT USADVERTISEJOBSTERMS & CONDITIONSCONTACT USFREQUENTLY ASKED QUESTIONS
NETWORK
IPP MEDIAEAST AFRICA RADIOITVRADIO ONECAPITAL RADIOLOKOPROMO
© 2019 East Africa Television Limited. All Rights Reserved
Watu waanza kupora mali za Godzilla | East
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
-
NA REBECA DUWE TANGA Mkuu wa Mkoa wa Tanga Balozi Dkt Batlida Burian amewataka wananchi wenye migogoro mbalimbali ikiwemo ya ndoa na ardhi ...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
