Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Mashindano ya Yanga, Mustapha Urungu, amefariki dunia mchana wa leo Jumamosi Februari 23, 2019 nyumbani kwake Temeke.
Msemaji wa Yanga Dismas Ten amethibitisha taarifa hizo kwa kusema Urungu amefariki dunia akiwa nyumbani kwake na chanzo ni presha kushuka.
Ten ameongeza kuwa kwa mujibu wa familia ya marehemu Urungu ni kwamba aliamka akiwa sawa lakini ghafla mchana leo alizidiwa na kufariki dunia.
Mwili wa Urungu utasafirishwa kwenda kwao Wilayani Rufiji mkoani Pwani kwaajili ya mazishi ambayo yatafanyika kesho Jumapili.
Ndani ya Yanga Urungu alikuwa na nafasi mbili ambazo ni makamu mwenyekiti wa kamati ya mashindano pamoja na makamu mwenyekiti wa kamati ya usajili.
How to learn a language in 2019? Here is the '15 min method'
Babbel
|
Sponsored
This Natural Weight Loss Fruit Can Easily Help You Drop Pounds
Purple Mangosteen | Supplement
|
Sponsored
15 Emotional LGBTQ Wedding Pictures That Will Melt Your Heart
Beauty Secondly
|
Sponsored
7 Insider Secrets to Booking Cheap Flights
Relocation Target
|
Sponsored
If You Eat Ginger Root Every Day, This is What Happens To Your Body
Health & Human Research
|
Sponsored
Afikishwa mahakamani kwa kuvamia msafara wa Rais | East Africa Television
Mwanaume mmoja aliyejulikana kwa jina la Adriunus Landnam (34) mkazi wa Mkunazini, Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, amefikishwa mahakamani kwa kosa la kuingilia msafara wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dr Alli Mohamed Shein.
EATV
TOP STORIES
SPORT
"Shughuli ya Lechantre imekwisha"-Manara
SPORT
Ngoma ashindwa kuichezea Azam, Kagame
CURRENT AFFAIRS
Amuua mke mwenza na kumzika shambani
CURRENT AFFAIRS
Mbunge wa CHADEMA, ajiuzulu na kujiunga CCM
MOST POPULAR
CURRENT AFFAIRS
Makamu wa Rais asikitikia rufaa ya kina Mbowe
CURRENT AFFAIRS
Afikishwa mahakamani kwa kuvamia msafara wa Rais
ENTERTAINMENT
Fid Q awataja walioiba fedha za rambirambi
SPORT
Meddie Kagere sasa ni wa pili Afrika
ENTERTAINMENT
Mfahamu Mtanzania aliyeigiza kwenye Game of Throne
ABOUT US
ABOUT USADVERTISEJOBSTERMS & CONDITIONSCONTACT USFREQUENTLY ASKED QUESTIONS
NETWORK
IPP MEDIAEAST AFRICA RADIOITVRADIO ONECAPITAL RADIOLOKOPROMO
© 2019 East Africa Television Limited. All Rights Reserved
Watu waanza kupora mali za Godzilla | East
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam, imetupilia mbali shauri lililokuwa limefunguliwa na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina...