Saturday, February 23, 2019

Yanga yapata pigo kwa kufiwa na kiongozi wake

Yanga yapata pigo kwa kufiwa na kiongozi wake
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Mashindano ya Yanga, Mustapha Urungu, amefariki dunia mchana wa leo Jumamosi Februari 23, 2019 nyumbani kwake Temeke.

Msemaji wa Yanga Dismas Ten amethibitisha taarifa hizo kwa kusema Urungu amefariki dunia akiwa nyumbani kwake na chanzo ni presha kushuka.

Ten ameongeza kuwa kwa mujibu wa familia ya marehemu Urungu ni kwamba aliamka akiwa sawa lakini ghafla mchana leo alizidiwa na kufariki dunia.

Mwili wa Urungu utasafirishwa kwenda kwao Wilayani Rufiji mkoani Pwani kwaajili ya mazishi ambayo yatafanyika kesho Jumapili.

Ndani ya Yanga Urungu alikuwa na nafasi mbili ambazo ni makamu mwenyekiti wa kamati ya mashindano pamoja na makamu mwenyekiti wa kamati ya usajili.


How to learn a language in 2019? Here is the '15 min method'
Babbel
|
Sponsored
This Natural Weight Loss Fruit Can Easily Help You Drop Pounds
Purple Mangosteen | Supplement
|
Sponsored
15 Emotional LGBTQ Wedding Pictures That Will Melt Your Heart
Beauty Secondly
|
Sponsored

7 Insider Secrets to Booking Cheap Flights
Relocation Target
|
Sponsored
If You Eat Ginger Root Every Day, This is What Happens To Your Body
Health & Human Research
|
Sponsored
Afikishwa mahakamani kwa kuvamia msafara wa Rais | East Africa Television
Mwanaume mmoja aliyejulikana kwa jina la Adriunus Landnam (34) mkazi wa Mkunazini, Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, amefikishwa mahakamani kwa kosa la kuingilia msafara wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dr Alli Mohamed Shein.
EATV

TOP STORIES

SPORT
"Shughuli ya Lechantre imekwisha"-Manara

SPORT
Ngoma ashindwa kuichezea Azam, Kagame

CURRENT AFFAIRS
Amuua mke mwenza na kumzika shambani

CURRENT AFFAIRS
Mbunge wa CHADEMA, ajiuzulu na kujiunga CCM


MOST POPULAR

CURRENT AFFAIRS
Makamu wa Rais asikitikia rufaa ya kina Mbowe

CURRENT AFFAIRS
Afikishwa mahakamani kwa kuvamia msafara wa Rais

ENTERTAINMENT
Fid Q awataja walioiba fedha za rambirambi

SPORT
Meddie Kagere sasa ni wa pili Afrika

ENTERTAINMENT
Mfahamu Mtanzania aliyeigiza kwenye Game of Throne
ABOUT US
ABOUT USADVERTISEJOBSTERMS & CONDITIONSCONTACT USFREQUENTLY ASKED QUESTIONS
NETWORK
IPP MEDIAEAST AFRICA RADIOITVRADIO ONECAPITAL RADIOLOKOPROMO
© 2019 East Africa Television Limited. All Rights Reserved


Watu waanza kupora mali za Godzilla | East
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...