Sunday, February 24, 2019

Waandaaji wa SZIFF washambuliwa mitandaoni, Johari ashangazwa na washindi wa tuzo ya muigizaji bora wa kike na kiume (+video)

Jana usiku kulikuwa na ugawaji wa tuzo za filamu za SZIFF, ambapo tulishuhudia waigizaji wa filamu wa ndani wakiibuka kidedea. Ugawaji wa tuzo hizo, umezua gumzo kwenye mitandao ya kijamii hususani kwenye kipengele cha muigizaji bora wa kike na kiume, ambapo washindi walikuwa ni Flora Kihombo na Rashid Msigala kupitia filamu yao ya KESHO. Kiufupi …

The post Waandaaji wa SZIFF washambuliwa mitandaoni, Johari ashangazwa na washindi wa tuzo ya muigizaji bora wa kike na kiume (+video) appeared first on Bongo5.com.


Source
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...