Saturday, February 23, 2019

RASMI: Hans Van Der Pluijm atimuliwa Azam FC, kipigo cha Simba champonza na huyu ndiye mrithi wake

Kocha mkuu wa klabu ya Azam FC, Hans Van Der Pluijm ametimuliwa kazi ya kuendelea kuinoa timu hiyo yenye maskani yake mitaa ya Chamazi jijini Dar es salaam. Mbali na Pluijm kocha msaidizi naye Juma Mwambusi amefungashiwa virago huku, Ettiene Ndayiragije wa KMC akitarajiwa kurithi mikoba hiyo kwa muda. Kutimuliwa kazi kwa Pluijm kunatokana na …

The post RASMI: Hans Van Der Pluijm atimuliwa Azam FC, kipigo cha Simba champonza na huyu ndiye mrithi wake appeared first on Bongo5.com.


Source
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...