Saturday, February 23, 2019

Familia ya Michael Jackson imeishtaki kampuni ya HBO na kuidai fidia ya US mil 100 , kwa kurusha documentary ya inayoonyesha vitendo vya ulawiti dhidi ya watoto wadogo

Familia ya Michael Jackson imeishtaki kampuni ya televisheni ya HBO kwa kuvunja makubaliano ya mwaka 1992. Michael na HBO walisaini mkataba wa siri (NDA) mwaka huo kwa ajili ya kurusha documentary ya ‘Michael Jackson Live in Concert in Bucharest: The Dangerous Tour 1992’ – hii ilikuwa kulinda kutovujishwa kwa taarifa zozote kati ya pande zote mbili …

The post Familia ya Michael Jackson imeishtaki kampuni ya HBO na kuidai fidia ya US mil 100 , kwa kurusha documentary ya inayoonyesha vitendo vya ulawiti dhidi ya watoto wadogo appeared first on Bongo5.com.


Source
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...