Baada ya Club ya KMC ya Kinondoni kutoa taarifa za kuvunja mkataba na kiungo wa zamani wa timu ya taifa ya Tanzania na club za Simba na Azam FC Abdulahim Humud, leo mchezaji huyo ametoa tamko na ukweli wake kuhusiana na tuhuma hizo.
KMC walitangaza kuvunja mkataba na Abdulhalim Humud kwa sababu mbalimbali lakini mbele ya waandishi wa habari walizitaja sababu mbili ambazo ni utovu wa nidhamu na shutuma za kumtaka mpenzi wa mchezaji mwenzake (Room mate)
Humud leo amejibu tuhuma hizo na kusema kuwa sio za kweli na zinalenga kumchafua katika soka, Humud ameeleza kuwa yeye ndio aliomba aachwe kutokana na kukosa nafasi ya kucheza, Humud amefika mbali zaidi na kusema kuwa kukosa kwake kucheza ni kutokana na kukataa kugawana parcent za mshahara na dau la usajili wake na baadhi ya watu.
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Bongo Deco wauzai wa vifaa mbalimbali vya umeme kama TV, Subwoofer, Hometheator, Majiko madogo na makubwa ya Gesi, Friji, Generator nk leo w...
-
Balozi mpya wa Kenya nchini Tanzania, Dan Kazungu akitoa hotuba yake kwa wageni mbalimbali waliohudhulia dhifa iliyoandaliwa maalum kwa kumk...
-
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imesema kuanzia kesho Jumatano Juni 23, 2021 itakuwa ni marufuku kwa mtu yeyote kuingia eneo la hospita...
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia)akimsikiliza Waziri wa Maliasili na Utalii wa Jamhuri ya ...
-
Kupitia ukurasa wake wa Instagram mjasiriamali Faiza Ally ameweka wazi hisia zake na kusema kuwa anatamani sana kuona msanii wa Bongo Flev...
-
UNAPOTAJA jina la mwanamuziki mkubwa barani Afrika, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' kutoka Tanzania, akili za wengi zinakimbilia kwe...
-
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya siku tano ya kunyesha mvua kubwa inayoweza kusababisha athari ikiwemo mafuriko. ...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Geneva, Switzerland /AFP /.More than 100 groups urged the International Labour Organization to stop taking money from tobacco companies as t...