Baada ya Club ya KMC ya Kinondoni kutoa taarifa za kuvunja mkataba na kiungo wa zamani wa timu ya taifa ya Tanzania na club za Simba na Azam FC Abdulahim Humud, leo mchezaji huyo ametoa tamko na ukweli wake kuhusiana na tuhuma hizo.
KMC walitangaza kuvunja mkataba na Abdulhalim Humud kwa sababu mbalimbali lakini mbele ya waandishi wa habari walizitaja sababu mbili ambazo ni utovu wa nidhamu na shutuma za kumtaka mpenzi wa mchezaji mwenzake (Room mate)
Humud leo amejibu tuhuma hizo na kusema kuwa sio za kweli na zinalenga kumchafua katika soka, Humud ameeleza kuwa yeye ndio aliomba aachwe kutokana na kukosa nafasi ya kucheza, Humud amefika mbali zaidi na kusema kuwa kukosa kwake kucheza ni kutokana na kukataa kugawana parcent za mshahara na dau la usajili wake na baadhi ya watu.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
