Thursday, August 30, 2018

VIDEO: Mobetto afunguka sakata la kutukanwa mitandaoni


"Mitandao ya kijamii imenikuza kama brand, mwanamitindo, mfanya biashara na pia ni mmoja ya watu ambao ninapata changamoto nyingi sana kwenye mitandao, vijana wengi hawajui matumizi mazuri ya mitandao mwingine anaamua tu nimtukane kwasababu nina bifu nae lakini siku hizi kuna sheria hivyo vijana watumie vizuri mtandao" Hamisa Mobetto

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.......USISAHAU KUSUBSCRIBE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...