Mshambuliaji mpya wa klabu ya Coastal Union, Ali Kiba Saleh amejiunga na kambi ya timu hiyo huko Tanga.
Kiba anatarajiwa kuwa sehemu ya kikosi cha timu hiyo kitakachocheza dhidi ya KMC Jumamosi ya Septemba 1 saa katika dimba la Mkwakwani Tanga.
Kiba ambaye amejizolea umaarufu mkubwa zaidi akiwa kama Mwanamuziki kutokana na kufanya vema ikiwa ni pamoja na kutwaa tuzo ya Msanii Bora wa Afrika mwaka 2016, alisaini mkataba wa mwaka mmoja na klabu hiyo.
Mchezaji huyo alikosa mechi mbili za mwanzo kutokana na kukabiliwa na majukumu mengine ambapo alikuwa nchini Canada kwa ajili ya kazi za kimuziki.
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Bongo Deco wauzai wa vifaa mbalimbali vya umeme kama TV, Subwoofer, Hometheator, Majiko madogo na makubwa ya Gesi, Friji, Generator nk leo w...
-
Balozi mpya wa Kenya nchini Tanzania, Dan Kazungu akitoa hotuba yake kwa wageni mbalimbali waliohudhulia dhifa iliyoandaliwa maalum kwa kumk...
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia)akimsikiliza Waziri wa Maliasili na Utalii wa Jamhuri ya ...
-
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imesema kuanzia kesho Jumatano Juni 23, 2021 itakuwa ni marufuku kwa mtu yeyote kuingia eneo la hospita...
-
Kupitia ukurasa wake wa Instagram mjasiriamali Faiza Ally ameweka wazi hisia zake na kusema kuwa anatamani sana kuona msanii wa Bongo Flev...
-
UNAPOTAJA jina la mwanamuziki mkubwa barani Afrika, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' kutoka Tanzania, akili za wengi zinakimbilia kwe...
-
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya siku tano ya kunyesha mvua kubwa inayoweza kusababisha athari ikiwemo mafuriko. ...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Geneva, Switzerland /AFP /.More than 100 groups urged the International Labour Organization to stop taking money from tobacco companies as t...