Thursday, August 30, 2018

Uingereza yaanza harakati zake za kibiashara barani Afrika waziri Mkuu atua Kenya

Theresa May na mtihani wa Uingereza kuboresha biashara na Afrika baada ya kujitenga na Umoja wa Ulaya,nchin ya Uingereza ina uhusiano wa kihistoria na mataifa mengi ya Afrika. Uhusiano huo bado unaendelea kuwa na maana, lakini kitu kimoja ambacho Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May amekutana nacho katika ziara yake ya Afrika ni kuwa nchi …

The post Uingereza yaanza harakati zake za kibiashara barani Afrika waziri Mkuu atua Kenya appeared first on Bongo5.com.


Source
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...