Kocha mpya wa klabu ya Arsenal aliyejiunga nao msimu huu akitokea PSG ya Ufaransa Unai Emery amejitete kwa staili ya aina yake baada ya kupokea kipigo cha goli 2-0 kutoka kwa vijana wa Pep Guardiola Manchester City. Arsenal wamepoteza mchezo wao wa kwanza wa ufunguzi wa Ligi kuu nchini Uingereza ambao uliochezewa katika viunga vya …
The post Unai Emery ajitetea baada ya Vijana wake kupokea kipigo kutoka kwa Manchester City appeared first on Bongo5.com.
Source