Monday, August 13, 2018

Unai Emery ajitetea baada ya Vijana wake kupokea kipigo kutoka kwa Manchester City

Kocha mpya wa klabu ya Arsenal aliyejiunga nao msimu huu akitokea PSG ya Ufaransa Unai Emery amejitete kwa staili ya aina yake baada ya kupokea kipigo cha goli 2-0 kutoka kwa vijana wa Pep Guardiola Manchester City. Arsenal wamepoteza mchezo wao wa kwanza wa ufunguzi wa Ligi kuu nchini Uingereza ambao uliochezewa katika viunga vya …

The post Unai Emery ajitetea baada ya Vijana wake kupokea kipigo kutoka kwa Manchester City appeared first on Bongo5.com.


Source
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...