Sunday, January 2, 2022

Pasta Azindua Nguo za Ndani Zenye Sura Yake Kuwasaidia Warembo Kupata Waume

Pasta  Dr J.S. Yusuf wa  wa Kanisa la Touch for Recovery Outreach International mjini Abuja  amezindua nguo za ndani na sindiria zenye chapa ya picha...

The post Pasta Azindua Nguo za Ndani Zenye Sura Yake Kuwasaidia Warembo Kupata Waume appeared first on Global Publishers.

Saturday, January 1, 2022

Barbara Apigwa Faini ya Laki Tano

    KAMATI ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi Kuu Tanzania Bara TBLP katika kikao chake cha Desemba 30, 2021 ilipitia mwenendo wa matukio mbalimbali...

The post Barbara Apigwa Faini ya Laki Tano appeared first on Global Publishers.

Tunawatakia Kheri ya Mwaka Mpya 2022!

Tumeingia mwaka mpya wa 2022, tunatumaini utakuwa ni mwanzo mzuri wa Mipango na Mikakati katika shughuli zao za kila siku ikiwemo utumiaji mzuri wa Mitandao...

The post Tunawatakia Kheri ya Mwaka Mpya 2022! appeared first on Global Publishers.

Afrika Kusini yafanya mazishi ya kitaifa kwa ajili ya Askofu mkuu Desmond Tutu

Ibada ya wafu ya mwanaharakati aliyepinga ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini Askofu Mkuu Desmond Tutu inafanyika katika Kanisa kuu mjini Cape Town.

Jinsi Putin aliweza kurejesha hadhi ya Urusi kama taifa lenye nguvu duniani baada ya kuanguka kwa USSR miaka 30 iliyopita

Kuanguka kwa ghafla kwa USSR, milki kubwa ambayo ilikuwa imedhibiti aina mbalimbali za majimbo washirika kwa miaka 70 na kueneza ushawishi wake wa kijiografia katika nusu ya dunia, lilikuwa tukio la mabadiliko ya ulimwengu.

Fungua Mwaka Kwa Faida Kwa Kubashiri Na Meridianbet

Mwaka 2022 unaanza kwa michezo ya kukata na shoka kunako mchezo wa soka. EPL katika ubora wake wikiendi hii. Anza mwaka mpya kwa kutandaza jamvi...

The post Fungua Mwaka Kwa Faida Kwa Kubashiri Na Meridianbet appeared first on Global Publishers.

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Januari 1, 2022

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Januari 1, 2022 Usipitwe na Matukio, Install App Yako ya Kijanja...

The post Yasome Hapa Magazeti ya Leo Januari 1, 2022 appeared first on Global Publishers.

Lema Lissu Waamua Kurejea Nchini

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu amesema Kamati Kuu ya Chama chake imeadhimia yeye pamoja na mwanasiasa Godbless Lema kurejea nchini ili kushiriki shughuli...

The post Lema Lissu Waamua Kurejea Nchini appeared first on Global Publishers.

Mwaka 2022 ni mwaka wa Sensa ya Watu na Makazi hivyo nahimiza Watanzania kujitokeza kuhesabiwa

Mwaka 2022 ni mwaka wa Sensa ya Watu na Makazi hivyo nahimiza Watanzania kujitokeza kuhesabiwa ili tuweze kupata takwimu zitakazotusaidia katika kupanga kwa usahihi masuala ya maendeleo – @SuluhuSamia

The post Mwaka 2022 ni mwaka wa Sensa ya Watu na Makazi hivyo nahimiza Watanzania kujitokeza kuhesabiwa appeared first on Bongo5.com.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...