Tanzania Daily Eye
Saturday, January 1, 2022
Afrika Kusini yafanya mazishi ya kitaifa kwa ajili ya Askofu mkuu Desmond Tutu
Ibada ya wafu ya mwanaharakati aliyepinga ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini Askofu Mkuu Desmond Tutu inafanyika katika Kanisa kuu mjini Cape Town.
Newer Post
Older Post
Home