Monday, October 21, 2024

Gachagua – Mimi na familia yangu tupo hatarini

 Aliyekuwa Naibu Rais wa Kenya amedai kuwa, Ruto hakuwa na nia ya kufanya kazi nami na alitaka tu kunitumia kupata watu kushinda uchaguzi”, ameambia wanahabari. Gachagua amezungumza hayo akiwa anatoka katika Hospitali ya Karen alipokuwa anatibiwa. Rigathi Gachagua ameendelea kudai...

The post Gachagua – Mimi na familia yangu tupo hatarini first appeared on JAMHURI MEDIA.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...