Tuesday, August 3, 2021

Uingereza kukaribisha wamarekani waliopewa chanjo



Uingereza Jumatatu imefungua mipaka yake kwa watu waliopewa chanjo kamili ya covid kutoka Marekani na kwenye mataifa kadhaa ya bara Ulaya, wakati serikali inapojitahidi kurejesha hali ya kawaida ya maisha.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...