Thursday, August 5, 2021

BABA NA MTOTO WAMUUA MAMA BAADA YA KUCHOKA KUMUUGUZA TABORA

Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 57 mkazi wa kata ya Puge wilaya ya Nzega mkoani Tabora ameuawa na kisha kuning'inizwa kwenye kamba ili aonekane amejinyonga.

Kamanda wa polisi wa mkoa wa Tabora ACP Sophia Jongo amesema tukio hilo limetokea Agosti 4, 2021 katika kijiji cha Isalalo tarafa ya Puge ambapo baba na mtoto wake walimuua na kutengeneza tukio la kujinyonga.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...