Wednesday, February 10, 2021

EX wa Boateng afariki Dunia wiki moja baada ya kuachana





Mwanamitindo Kasia Lenhardt (25) ambaye alikuwa mpenzi wa mchezaji wa FC Bayen Munich Jerome Boateng amekutwa kafariki katika apartment yake jana mjini Berlin nchini Ujerumani.



Kifo cha Kasia kimetokea ikiwa ni wiki moja imepita toka wawili hao waachane lakini kifo chake Polisi bado hawajakihusisha au kumshuku yeyote licha ya wawili hao kuachana kwa ugomvi ambao ulienda hadi katika mitandao ya kijamii.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...