Nimepata ajira mpya wiki ya kwanza mambo yalikuwa safi kuizoea na kuipenda kazi yangu wiki ya pili nikajikuta nimampenda sana huyu kaka yeye ni moja wapo ya superiors wangu ninareport kwake baadhi ya kazi zangu.
Nahisi kagundua nimezama kwake so huwa ananiongelesha kwa upole sana hata nikikosea katika kazi hawi mkali kabisa na haikuwa hivyo wiki ya kwanza nilipofika,saingine hawezi kuniangalia machoni kwa mda mrefu,tukionana huwa tunasalimiana kwa furaha na matabasamu ya kutosha ila ni mtu ambaye yupo busy sana ni wale hardworkers kwenye institution.
Kweli naumia nahisi sijawahi kupenda hivi ofcoz maisha yangu yote ilikuwa a man ananifata kwanza then ananiconvince mpaka naingia line ila this is different mimi ndiyo nimefall yeye ni mme wa mtu na mimi ni mke wa mtu (of coz mimi bado mrembo najijua ninamvuto)Mme wng tuna miaka 8 ndoani sasa anaupendo sana na ni baba bora sana ila ndo nimekumbwa jamani nimesali na kukemea hii hali ipotee ila ndo inazidi sijawahi kuwaza hela yake natamani mda wake tu japo siku moja aongee na moyo wangu hii kiu niliyonayo itulie sisubutu kumwambia nampenda ataniona najirahisisha kwake. This feeling is very strong jamani it is killing me nimekuja kusema hii siri yangu huku nisaidieni nifanyaje
Source
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe asomewa mashtaka matatu ya uchochezi, yenye nia ya kuleta ch...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
