Nimepata ajira mpya wiki ya kwanza mambo yalikuwa safi kuizoea na kuipenda kazi yangu wiki ya pili nikajikuta nimampenda sana huyu kaka yeye ni moja wapo ya superiors wangu ninareport kwake baadhi ya kazi zangu.
Nahisi kagundua nimezama kwake so huwa ananiongelesha kwa upole sana hata nikikosea katika kazi hawi mkali kabisa na haikuwa hivyo wiki ya kwanza nilipofika,saingine hawezi kuniangalia machoni kwa mda mrefu,tukionana huwa tunasalimiana kwa furaha na matabasamu ya kutosha ila ni mtu ambaye yupo busy sana ni wale hardworkers kwenye institution.
Kweli naumia nahisi sijawahi kupenda hivi ofcoz maisha yangu yote ilikuwa a man ananifata kwanza then ananiconvince mpaka naingia line ila this is different mimi ndiyo nimefall yeye ni mme wa mtu na mimi ni mke wa mtu (of coz mimi bado mrembo najijua ninamvuto)Mme wng tuna miaka 8 ndoani sasa anaupendo sana na ni baba bora sana ila ndo nimekumbwa jamani nimesali na kukemea hii hali ipotee ila ndo inazidi sijawahi kuwaza hela yake natamani mda wake tu japo siku moja aongee na moyo wangu hii kiu niliyonayo itulie sisubutu kumwambia nampenda ataniona najirahisisha kwake. This feeling is very strong jamani it is killing me nimekuja kusema hii siri yangu huku nisaidieni nifanyaje
Source
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
