Tuesday, December 15, 2020
Bilionea Subhash Patel afariki dunia
Mwenyekiti Mtendaji wa makampuni ya Motisun Group ambaye anatajwa kuwa miongoni mwa watu wenye utajiri mkubwa nchini na mfanyabiashara maarufu Subhash Patel amefariki dunia.
Subhash Patel ni mmiliki wa hoteli ya White Sands iliyopo jijini Dar es salaam.
Kwa mujibu wa jarida la Forbes lililotolewa mwezi Oktoba mwaka 2018, Subhash Patel alishika nafasi ya Saba kwenye orodha ya matajiri Wanaume nchini Tanzania.
Wakati wa uhai wake Subhash Patel ambaye kitaaluma ni Mhandisi wa umeme, alifahamika sana kwa kuwa alisaidia miradi mbalimbali ya kijamii na aliwasaidia watu wenye shida mbalimbali.
Subhash Patel aliyezaliwa Agosti 13 mwaka 1946 jijini Dar es salaam, pia amewahi kuwa Mwenyekiti wa Shirikisho la Wenye Viwanda Tanzania (CTI).
Source
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
