Tuesday, December 15, 2020
Bilionea Subhash Patel afariki dunia
Mwenyekiti Mtendaji wa makampuni ya Motisun Group ambaye anatajwa kuwa miongoni mwa watu wenye utajiri mkubwa nchini na mfanyabiashara maarufu Subhash Patel amefariki dunia.
Subhash Patel ni mmiliki wa hoteli ya White Sands iliyopo jijini Dar es salaam.
Kwa mujibu wa jarida la Forbes lililotolewa mwezi Oktoba mwaka 2018, Subhash Patel alishika nafasi ya Saba kwenye orodha ya matajiri Wanaume nchini Tanzania.
Wakati wa uhai wake Subhash Patel ambaye kitaaluma ni Mhandisi wa umeme, alifahamika sana kwa kuwa alisaidia miradi mbalimbali ya kijamii na aliwasaidia watu wenye shida mbalimbali.
Subhash Patel aliyezaliwa Agosti 13 mwaka 1946 jijini Dar es salaam, pia amewahi kuwa Mwenyekiti wa Shirikisho la Wenye Viwanda Tanzania (CTI).
Source
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe asomewa mashtaka matatu ya uchochezi, yenye nia ya kuleta ch...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
