Tanzania Daily Eye
Thursday, October 29, 2020
Mwamuzi Shomari Lawi afungiwa mwaka mmoja
MWAMUZI Shomari Lawi leo Oktoba 29, 2020 amefungiwa miezi 12 kwa kushindwa kuumudu mchezo namba 50 wa Tanzania Prisons FC na Simba aliochezesha Oktoba 22, 2020 katika Uwanja wa Nelson Mandela Mkoani Rukwa.
Newer Post
Older Post
Home