Polisi mmoja wa zamani katika mji wa Minnesota, aliyefunguliwa mashitaka ya mauaji ya mwanaume mweusi akiwa chini ya ulinzi wa polisi amepewa dhamana. Derek Chauvin, mwenye umri wa miaka 44, ambaye anakabiliwa na mshitaka ya kuua bila kukusudia katika tukio la Mei 25, la kifo cha George Floyd, mwenye umri wa miaka 46, aliachiwa kwa dhamana ya dola milioni moja, Jumatano. Chauvin pia anakabiliwa na mashitaka ya kiwango cha tatu cha mauaji, na mauaji ya kutokusudia. Katika video iliyosambaa katika mitandao ya kijamii, Chauvin, alirekodiwa akiwa amemuwekea goti George Floyd, kwa takriban dakika tisa, huku Floyd ambaye alikuwa amefungwa pingu akisema mara kwa mara "siwezi kupumua." Tukio hilo lilichochea maandamano makubwa, na ghasia mjini Minneapolis, kote Marekani, na duniani.
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe asomewa mashtaka matatu ya uchochezi, yenye nia ya kuleta ch...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...