Wednesday, August 26, 2020
Nilikuwa Nadanga Sana Kabla ya Kuolewa...Haitham Afunguka
HAITHAM Kim ni moja kati ya wasanii wanaokuja kwa kasi kunako anga la Bongo Fleva, amefanya vizuri kupitia ngoma zake kama Ananichora, Yaishe na Nionyeshe.
Risasi Jumamosi limezungumza naye, ambapo pamoja na mambo mengine, amezungumzia suala la yeye kujihusisha na uuzaji wa mwili wake (kudanga)
Risasi: Umeshawahi kudanga?
Haitham: Ndiyo, nimeshawahi kudanga kabla sijaolewa.
Risasi: Changamoto gani ambazo ulizipitia kipindi unadanga?
Haitham: Yaani unakuta unaenda na mtu mnakubaliana kiasi fl'ani, ikifika asubuhi kakukimbia au anakuambia ngoja niende Bank nakurudia, lakini harudi, jambo lingine unaweza ukakopwa na usilipwe. Kwa hiyo, hayo mambo yapo na nilikuwa napitia wakati mgumu sana.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
