Shirika la haki za binadamu la Amnesty International limeishutumu polisi nchini Marekani kwa uvunjaji wa haki za binadamu za waandamanaji wakati wa maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi nchini humo.
Katika ripoti yake iliyochapishwa hii leo, shirika hilo linasema polisi ilitumia vurugu za kimwili mara kwa mara, kemikali kama vile gesi ya kutoa machozi na pilipili, pamoja na vitupo vingine visivyo na madhara makubwa kama risasi za mpira kuwatawanya waandamanaji wa amani.
Kwa mujibu wa ripoti hiyo, matukio ya hivi karibuni yamezusha wasiwasi kuhusiana na haki za kuishi, usalama wa mtu, ulinzi sawa wa sheria, uhuru wa kutobaguliwa na uhuru wa kujieleza na kukusanyika kwa amani.
Shirika hilo la haki za binadamu limeorodhesha matukio huru 125 ya matumizi ya nguvu isivyo laazima katika majimbo 40 pamoja na mji mkuu Washington.
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe asomewa mashtaka matatu ya uchochezi, yenye nia ya kuleta ch...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
