Thursday, July 23, 2020
Uchebe Amtolea Povu Baba Levo " Sibishani na Mtu Aliyeanza Kuimba Tangu Mimi Sijazaliwa Hadi Leo Anapanda Magari ya Kukodi"
Aliyekuwa Mume wa msaniii Shilole ambaye ni Uchebe1 amefunguka mengi kuhusu mambo Ambayo msanii Baba Levo kuwa anamuongelea mambo tofauti tofauti nakufunguka pia hashindani na mtu ambaye hajamzidi kipato
''Mimi Siwezi Kuwatukana Wasanii Lakini Kama Ningekuwa Naimba Ningekuwa Mbali Sana Kwasababu Tu Hapa Nilipo Nashwai Kumiliki Zaidi Ya Magari Kumi Sasa Ntabishana Na Mtu Tangu Ameana Kuimba Mimi Sijazaliwa Hadi Leo Bado Anapanda Magari Yakukodi Itakuwa Ni Mtihani, Siwezi Kubishana Na Mtu Ambaye Mimi Nikiuza Madumu Mawili Napata Laki Tatu Ambao Ni Mshahara Wake Wa Mwezi, UCHEBE
"Mimi Leo Nikipata Pesa Ninaweza Kumuita Mtu Aje Kunichekesha Ndio Kama Wale(BABA LEVO) , Usiombe Uwe Mwenye Akili Mbovu Ni Bora MUNGU Akunyime Pesa Akupe Akili Kwasababu Huwezi Sehemu Nzuri Watu Wanakuheshimu Ukaongea Speech Mbovu, Hivyo Siwezi Kubishana Nae Mtu Mpuuzi Usimpe Nafasi'' UCHEBE
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Hii hapa ngoma mpya ya Msanii wa Nyimbo za asili Mama Ushauri ameshirikiana na Ng'wana Ng'washi inaitwa Merimela ,imetengenezwa Lw...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...