Thursday, July 23, 2020
Uchebe Amtolea Povu Baba Levo " Sibishani na Mtu Aliyeanza Kuimba Tangu Mimi Sijazaliwa Hadi Leo Anapanda Magari ya Kukodi"
Aliyekuwa Mume wa msaniii Shilole ambaye ni Uchebe1 amefunguka mengi kuhusu mambo Ambayo msanii Baba Levo kuwa anamuongelea mambo tofauti tofauti nakufunguka pia hashindani na mtu ambaye hajamzidi kipato
''Mimi Siwezi Kuwatukana Wasanii Lakini Kama Ningekuwa Naimba Ningekuwa Mbali Sana Kwasababu Tu Hapa Nilipo Nashwai Kumiliki Zaidi Ya Magari Kumi Sasa Ntabishana Na Mtu Tangu Ameana Kuimba Mimi Sijazaliwa Hadi Leo Bado Anapanda Magari Yakukodi Itakuwa Ni Mtihani, Siwezi Kubishana Na Mtu Ambaye Mimi Nikiuza Madumu Mawili Napata Laki Tatu Ambao Ni Mshahara Wake Wa Mwezi, UCHEBE
"Mimi Leo Nikipata Pesa Ninaweza Kumuita Mtu Aje Kunichekesha Ndio Kama Wale(BABA LEVO) , Usiombe Uwe Mwenye Akili Mbovu Ni Bora MUNGU Akunyime Pesa Akupe Akili Kwasababu Huwezi Sehemu Nzuri Watu Wanakuheshimu Ukaongea Speech Mbovu, Hivyo Siwezi Kubishana Nae Mtu Mpuuzi Usimpe Nafasi'' UCHEBE
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
NA REBECA DUWE TANGA Mkuu wa Mkoa wa Tanga Balozi Dkt Batlida Burian amewataka wananchi wenye migogoro mbalimbali ikiwemo ya ndoa na ardhi ...
