Monday, June 8, 2020

Yanga Yapigwa 3-0 na KMC, Mechi Ya Kirafiki




Mechi ya kirafiki kati ya Yanga na KMC Uwanja wa Uhuru dakika 90 zimekamilika kwa Yanga kukubali kichapo cha mabao 3-0.

Mabao ya KMC yalifungwa na Sadallah Lipangile dakika ya 31, bao la pili lilipachikwa na Charlse Ilanfya dakika ya 45 na bao la tatu lilifungwa na Hassan Kabunda dakika ya 65 kwa mpira wa adhabu.

Mashabiki wamejitokeza kwa wingi kushuhudia mpambano huu wenye burudani za kutosha.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...