Monday, June 8, 2020
Ado Shaibu: Serikali ilitaka Nimlipe Rais Milioni 123
ADO Shaibu Katibu Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo amesema Serikali ilimtaka alipe Shilingi 123 Milioni kama faini ya kushindwa kesi aliyomshtaki Rais John Magufuli.
Katibu Mkuu huyo alimshtaki Rais Magufuli kwa kumteua Dk. Adelardus Kilangi kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa kudai kuwa kitendo hicho ni kinyume na katiba ya nchi kwakuwa Mwanasheria Mkuu wa serikali anatakiwa kuwa amehudumu katika nafasi uwakili kwa muda wa miaka 10 hivyo Kilangi hakufikia hatua hiyo.
Mahakama ilitupilia Mbali shauri hilo tarehe 20 Septemba mwaka 2019 ambapo Serikali iliiomba mahakama imuamuru alipe faini .
Leo tarehe 7 Juni 2020, Ado Shaibu amewaambia waandishi wa Habari kuwa Serikali iliiomba mahakama iamuru alipe kiasi cha shilingi 123 Milioni kama fidia kwa kushindwa kesi.
Ado ametanabaisha kuwa hatua hiyo ya serikali ilikuwa ikilenga kumkatisha tamaa yeye na wanaharakati wengine wenye kutaka kuiwajibisha serikali mahakamai kwa kutaka alipe kiasi kikubwa cha fedha kama fidia
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Bongo Deco wauzai wa vifaa mbalimbali vya umeme kama TV, Subwoofer, Hometheator, Majiko madogo na makubwa ya Gesi, Friji, Generator nk leo w...
-
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imesema kuanzia kesho Jumatano Juni 23, 2021 itakuwa ni marufuku kwa mtu yeyote kuingia eneo la hospita...
-
Na Amiri Kilagalila Njombe Jumuiya ya wanawake wa Chama cha Mapinduzi CCM mkoa wa Njombe inatarajia kufungua kiwanda cha kuzalisha sabuni mk...
-
Toyota Hiace (BZK) Year :2002 Cc :2069 Km :27004 Fuel :Diesel Engine yenye uwezo mkubwa:5L Gari imetunzwa mazingira mazuri Selling price: 2...
-
Kupitia ukurasa wake wa Instagram mjasiriamali Faiza Ally ameweka wazi hisia zake na kusema kuwa anatamani sana kuona msanii wa Bongo Flev...
-
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya siku tano ya kunyesha mvua kubwa inayoweza kusababisha athari ikiwemo mafuriko. ...
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia)akimsikiliza Waziri wa Maliasili na Utalii wa Jamhuri ya ...
-
UNAPOTAJA jina la mwanamuziki mkubwa barani Afrika, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' kutoka Tanzania, akili za wengi zinakimbilia kwe...
-
YUSSFAR ni wauzaji wa Simu na Accessories nzuri na Original zenye Warranty wa Mwaka 1, Nunua Simu kwetu upate simu Original kwa Bei nafuu,...