Mjasiriamali na mzazi mwenza wa Diamond Platnumz , Zari the Boss lady amesema kwamba, hakuna shaka kuwa baada ya lockdown kuisha Nchini Afrika kusini , watoto wake ambao amezaa na Diamond Nillan na Tiffah watakuja Tanzania kuonana na baba yao , kwani Kama wazazi hawana Tofauti yoyote ile kwa hivi Sasa
Akizungumza kupitia Instagram Live, Zari amesema kuwa yeye na Diamond hawajarudiana kama watu wanavyodai, bali wameweka ukaribu ili kuwapa watoto wao malezi ya pamoja Kama wazazi
Zari amesema -"Sijarudiana na Diamond, yeye amejaliwa na mungu amemgusa, anafurahi sasa hivi amerejesha upendo kwa watoto wake.
Na Lockdown ikiisha watoto wake watakuja Tanzania kwasababu hakuna jambo lililo baya kati yetu"
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Bongo Deco wauzai wa vifaa mbalimbali vya umeme kama TV, Subwoofer, Hometheator, Majiko madogo na makubwa ya Gesi, Friji, Generator nk leo w...
-
Balozi mpya wa Kenya nchini Tanzania, Dan Kazungu akitoa hotuba yake kwa wageni mbalimbali waliohudhulia dhifa iliyoandaliwa maalum kwa kumk...
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia)akimsikiliza Waziri wa Maliasili na Utalii wa Jamhuri ya ...
-
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imesema kuanzia kesho Jumatano Juni 23, 2021 itakuwa ni marufuku kwa mtu yeyote kuingia eneo la hospita...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Kupitia ukurasa wake wa Instagram mjasiriamali Faiza Ally ameweka wazi hisia zake na kusema kuwa anatamani sana kuona msanii wa Bongo Flev...
-
UNAPOTAJA jina la mwanamuziki mkubwa barani Afrika, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' kutoka Tanzania, akili za wengi zinakimbilia kwe...
-
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya siku tano ya kunyesha mvua kubwa inayoweza kusababisha athari ikiwemo mafuriko. ...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...