Mjasiriamali na mzazi mwenza wa Diamond Platnumz , Zari the Boss lady amesema kwamba, hakuna shaka kuwa baada ya lockdown kuisha Nchini Afrika kusini , watoto wake ambao amezaa na Diamond Nillan na Tiffah watakuja Tanzania kuonana na baba yao , kwani Kama wazazi hawana Tofauti yoyote ile kwa hivi Sasa
Akizungumza kupitia Instagram Live, Zari amesema kuwa yeye na Diamond hawajarudiana kama watu wanavyodai, bali wameweka ukaribu ili kuwapa watoto wao malezi ya pamoja Kama wazazi
Zari amesema -"Sijarudiana na Diamond, yeye amejaliwa na mungu amemgusa, anafurahi sasa hivi amerejesha upendo kwa watoto wake.
Na Lockdown ikiisha watoto wake watakuja Tanzania kwasababu hakuna jambo lililo baya kati yetu"
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
