Uturuki kupitia msemaji wa wizara yake ya mambo ya nje imekemea vikali kitendo cha kuchomwa moto bendera yake nchini Ugiriki.
Uturuki ikitaja kitendo hicho kuwa kitendo cha kibaguzi dhidi ya Uturuki kilichofanywa na Ugiriki.
Hami Aksoy, msemaji wa zizara ya mambo ya nje ya Uturuki ameandika katika ukurasa wake wa Twitter akiwazindua wote wale ambao hawajataba funzo la athari za ubaguzi na kukemea kitendo hicho cha kuchomamoto bendera ya Uturuki.
Hami Akasoy amekumbusha kuwa Baba wa Taifa la Uturuki Mustafa Kemal Atatürk hakuruhusu kukanyagwa kwa bendera ya Ugiriki iliokuwa chini ya miguu yake baada ya kuukomboa mjini Izmir mwaka 1923 , mji ambao ulikuwa umekaliwa kimabavu na wagiriki.
Katika ujumbe wake , Hami Aksoy amesema kwa Uturuki haitokubali bendera yake kudhalilishwa kama alivyofundisha Baba wa Taifa kwa kusemabendera ndio heshima ya taifa.
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe asomewa mashtaka matatu ya uchochezi, yenye nia ya kuleta ch...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
