Friday, May 1, 2020
Maandamano ya Mei Mosi ulimwenguni yaathiriwa na corona
Wafanyakazi mjini Hong Kong waliojaribu kuandamana kama ilivyo desturi ya siku ya kimataifa ya wafanyakazi, Mei Mosi, wamezuiliwa kuandamana kufuatia maambukizo ya virusi vya corona.
Hata hivyo baadhi yao waliovalia barakoa walielekea mitaani huku wengine wakielezea hisia zao kupitia mitandao ya kijamii.
Kwa kawaida mamilioni ya wafanyakazi hujitokeza mitaani kuandamana siku hii ya kimataifa ya wafanyakazi.
Lakini kufuatia masharti ya watu kukaa mbalimbali, utamaduni huo uliozoleka haujashuhudiwa leo katika miji mingi.
Nchini Ufaransa, ambayo bado iko chini ya amri ya kutosafiri, wafanyakazi wanaiadhimisha siku yao kupitia mitandao ya kijamii au kwenye mabaraza ya nyumba zao.
Mjini Berlin Ujerumani, takriban maafisa 5,000 watakuwa wakifanya doria mitaani kukabiliana na watakaokiuka maagizo ya watu kukaa mbalimbali endapo wafanyakazi wataandamana.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
