Msimu wa ligi ya Ujerumani-Bundesliga utaanza tena Mei 16, kwa kuchezwa pasipo mashabiki uwanjani, ikiwa ni takribani miezi miwili tangu usimamishwe kutokana na janga la virusi vya corona.
Tangazo hilo la leo linatolewa siku tu, baada ya vilabu vya kandanda kuambiwa msimu unaweza kuanza kutokana na mkutano wa Kansela Angela Merkel na viongozi wa majimbo 16 ya Ujerumani.
Mkurugenzi Mtendaji wa Ligi ya Soka ya Ujerumani Christian Seifert amesema uamuzi huo una maanisha uhai wa uchumi wa vilabu.
Na kwamba kila mtu anapaswa kuwa macho kabisa kwamba ni michezo ya majaribio na kusisitiza kila mmoja kusimamia vyema majukumuku yake.
Siku ya mwazo Jumamosi ya Mei 16 mchuano huo utazikutanisha timu 12 ambapo Borussia Dortmund itafuana na Schalke, Leipzig na Freiburg, Hoffenheim na Hertha Berlin, Dusseldorf na Paderborn na Augsburg na Wolfsburg.
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe asomewa mashtaka matatu ya uchochezi, yenye nia ya kuleta ch...