Friday, May 15, 2020
CHADEMA Wataja Sababu Ya Freeman Mbowe Kuitwa Polisi
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kupitia kwa Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa chama hicho Tumaini Makene, kimesema kuwa Jeshi la Polisi Kinondoni lilimuita Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe, ili kujua alikuwa anataka kuhutubia kitu gani kwa umma.
Makene ameyabainisha hayo leo Mei 15, 2020, na kueleza kuwa baada ya kumhoji kwa muda, hatimaye Jeshi hilo ilipofika majira ya jioni lilimuachia na kuruhusu aendelee na shughuli zake.
"Aliripoti kama ambavyo alipokea wito kutoka kwa RPC Kinondoni, na walitaka kujua sababu ya yeye kutaka kuzungumza na umma na baadaye jioni aliruhusiwa kuendelea na shughuli zake, na suala la mkutano liko pale pale, kwahiyo sasa tunaangalia kwenye hotuba kama kutakuwa na vitu vya kubadilisha ama vibaki vile vile kulingana na wakati na siku" amesema Makene.
Jana Mei 14, 2020, Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe, ilikuwa azungumze na umma mubashara, lakini mkutano wake uliahirishwa baada ya kupokea wito wa Jeshi la Polisi Kinondoni.
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe asomewa mashtaka matatu ya uchochezi, yenye nia ya kuleta ch...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
