Wednesday, April 29, 2020
Spika athibitisha kifo cha Ndasa ahairisha vikao vya bunge
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai leo Bungeni amethibitisha kwamba ni kweli Mbunge wa Sumve Richard Ndasa amefariki dunia.
"Bunge letu limepata msiba mwingine mkubwa wa kuondokewa na Mbunge mwenzetu, mbunge wa jimbo la Sumve, Richard Ndasa ambaye amefariki usiku wa kuamkia leo 29 April 2020 hapa Dodoma"
"Kufuatia msiba huo taratibu za mazishi zimeanza kufanyika, kwa siku ya leo hatutaendelea na kikao cha Bunge badala yake tutakuwa na maombolezo ya msiba wa mwenzetu aliyekua Mbunge wa Jimbo la Sumve kwa vipindi vitano" - Job Ndugai
Ni siku 8 zimepita toka Mbunge mwingine afariki dunia ambaye ni Mama Mch. Gertrude Rwakatare aliyefia Dar es salaam na kuzikwa na kwenye eneo la kanisa lake.
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
-
NA REBECA DUWE TANGA Mkuu wa Mkoa wa Tanga Balozi Dkt Batlida Burian amewataka wananchi wenye migogoro mbalimbali ikiwemo ya ndoa na ardhi ...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
