Wednesday, April 29, 2020
Spika athibitisha kifo cha Ndasa ahairisha vikao vya bunge
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai leo Bungeni amethibitisha kwamba ni kweli Mbunge wa Sumve Richard Ndasa amefariki dunia.
"Bunge letu limepata msiba mwingine mkubwa wa kuondokewa na Mbunge mwenzetu, mbunge wa jimbo la Sumve, Richard Ndasa ambaye amefariki usiku wa kuamkia leo 29 April 2020 hapa Dodoma"
"Kufuatia msiba huo taratibu za mazishi zimeanza kufanyika, kwa siku ya leo hatutaendelea na kikao cha Bunge badala yake tutakuwa na maombolezo ya msiba wa mwenzetu aliyekua Mbunge wa Jimbo la Sumve kwa vipindi vitano" - Job Ndugai
Ni siku 8 zimepita toka Mbunge mwingine afariki dunia ambaye ni Mama Mch. Gertrude Rwakatare aliyefia Dar es salaam na kuzikwa na kwenye eneo la kanisa lake.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam, imetupilia mbali shauri lililokuwa limefunguliwa na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina...