Wednesday, April 29, 2020
Official Lynn na Tanasha Donna Walikuwa Kama PAKA na Panya Kisa, Lynn Kujiita "JIKE SIMBA"
Chanzo Cha Msanii na Video Vixen Jina Official Lynn KutoKua na Maelewano Mazuri na Tanasha Licha ya TanashaDonna Teyari Amesha Achanana na DiamondPlatnumz, Mpka Leo Hii TanashaDonna na OfficialLynn ni Kama Paka na Mbwa, Endapo Wakikutana Sehemu Yoyote Basi Lazima Wazichape.
Chanzo Ilikua Baada ya Liynn Kupata Show Mbali Mbali za Ku Perform Mikoani na Wasafi Festival, Show Yake ya Kwanza, Mwanza Ilizuiliwa Baada ya LYNN Kupost Picha na Kuandika Caption Yenye Maelezo Ya "JIKE SIMBA"
Hapo Sasa ndipo Kizai Zai kilipo Aanza, Baada ya Muda Mfupi Ile Post Ilifutwa Haikuonekana Tenaa Baada ya TanashaDonna Kufanya Yake, Kwa Nini Ajiandike "JIKE SIMBA"? Yeye ni Nani Kwani?
Baada Ya Tukio Hilo Kufanyika, Siku ya Trh 1/11/2019 Mwaka Jana, Tulimuona Tena OfficialLynn Kupata Show ya Wasafi Festival Ilio Fanyika Mtwala/Tandahimba na Ndio Ilikua Show Yake ya Kwanza Kufanya, "Kapuni" Haijulikani ni Kwa Nini LYNN Alizuiliwe Kufanya Show na Ikiwa alichaguliwa, Wambea Wasema Kua LYNN Alikwenda Kumuomba Msamaa Tanasha na Ndio Maana Mpka Leo Hii Lynn Alitumii Hili Jina la Kujiita "JIKE SIMBA" Nakupata Nafasi ya Kufanya Show.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
