Saturday, April 25, 2020
Maisha yanavyoenda kasi sana Alikiba / Harmonize / Diamond
By Sangu Joseph
.
Agosti 2019 : Harmonize alijiondoa WCB (Salam Alithibitisha)
Januari 2020 (Harmonize alisaini mkataba wa kazi na Sayona (Endorsement) )
Januari 2020 - Harmonize akaanza Tour / Matamasha kama yote.
March 2020 - Karelease Album tena uzinduzi wa kibabe.
Aprili 2020 : Katambulisha Msanii Ibraa TZ
April 2020 : Alikiba kaachia ngoma #Dodo
Aprili 2020 : Harmonize kasaini Dili la CRDB #TemboAnaongea
April 2020 : Alikiba amekimbiwa na Wasanii.
April 2020 : Diamond Kaongeza Dili la Pepsi Max
Alikiba : Kujibu madai kwanini wasanii wameondoka.
Harmonize anashambulia sana / Mondi anashambulia /. Alikiba anajishambulia.
Source
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe asomewa mashtaka matatu ya uchochezi, yenye nia ya kuleta ch...
