Tuesday, March 24, 2020
Kansela wa Ujerumani apimwa virusi vya corona , majibu haya hapa
Kansela wa Ujerumani Bi Angela Merkel apimwa virusi vya corona na kukutwa akiwa salama.
Msemaji wa Bi Angela Merkel amefahamisha kwamba atanfanyiwa vipimwa kwa mara nyingine baada ya siku chache zijazo.
Taarifa kuhusu Bi Merkel kufanyiwa vipimo na kutolewa kwa majibu zimetolewa na vyomba vya habari vya nchini Ujerumani Jumatatu.
Msemaji wa Bi Merkel , Steffen Seibert amesema kuwa matokea ya vipimo alivyofanyiwa Merkel yameonesha kuwa hakuambukiwa virusi hivyo.
Merkel alijitenga Jumampili kwa hofu aliokuwanayo baada ya kukutana na daktari mmoja aliepimwa na kukutwa na virusi vya corona.
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
-
NA REBECA DUWE TANGA Mkuu wa Mkoa wa Tanga Balozi Dkt Batlida Burian amewataka wananchi wenye migogoro mbalimbali ikiwemo ya ndoa na ardhi ...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
