Watu 40 wamekamatwa katika mji wa Yazd nchini Iran baada ya kupambana na polisi wakati wa maandamano ya kupinga ongezeko la bei ya petroli.
Taarifa hii ni kulingana na shirika la habari nchini humo la ISNA hii leo. Shirika hilo lilimnukuu mwendesha mashitaka wa serikali Mohammad Hadadzadeh akisema wale wanaoshikiliwa ni waliosababisha vurugu akiwatuhumu kwa matukio ya uharibifu na wengi miongoni mwao si wakaazi wa eneo hilo.
ISNA hata hivyo, haikuweka wazi ni wakati gani watu hao walikamatwa. Iran ilikabiliwa na maandamano makubwa siku ya Ijumaa masaa kadhaa baada ya tangazo la bei la petroli kupandishwa kwa asilimia 50 katika lita 60 za mwanzo na asilimia 300 kwa kiasi chochote kitakachozidi kila mwezi.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Hii hapa ngoma mpya ya Msanii wa Nyimbo za asili Mama Ushauri ameshirikiana na Ng'wana Ng'washi inaitwa Merimela ,imetengenezwa Lw...