Tanzania Daily Eye
Friday, October 18, 2019
Meneja was Diamond Salam Sk Naye Aamua Kuimba Kuachia Ngoma Yake Hivi Karibuni
Maneja wa msanii wa muziki wa Bongo Fleva Diamond Platnumz, Sallam SK huwenda naye akatumbukia kwenye muziki huo pendwa hapa nchini.
Ni baada ya Meneja huyo kutoa taarifa kuwa ataachia wimbo wake mpya hivi karibuni. Sallam SK
alitoa taarifa hiyo kupitia mtandao wa Insta Story.
Source
Newer Post
Older Post
Home